• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
Mkoa wa Morogoro
Mkoa wa Morogoro

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Morogoro

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Maelezo ya Mkoa
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Sehemu na Vitengo
      • Utawala na Rasilimali
      • Serikali za Mitaa
      • Uhasibu na Fedha
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Huduma za maji
      • Miundombinu
      • Huduma za Ugani
      • Elimu
      • Sheria
      • TEHAMA
      • Afya
  • Wilaya
    • Morogoro
    • Mvomero
    • Gairo
    • Kilosa
    • Kilombero
    • Ulanga
    • Malinyi
  • Halmashauri
    • Manispaa ya Morogoro
    • Morogoro DC
    • Mvomero
    • Gairo
    • Ulanga
    • Malinyi
    • Kilombero
    • Ifakara Mji
    • Kilosa
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za maji
    • Huduma za Kilimo
    • Huduma za Mifugo
    • Huduma za Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Miongozo Mbalimbali
    • Majarida
    • Fomu Mbalimbali
    • Ripoti mbalimbali
    • Mpango Mkakati
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Sheria Ndogo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Videos
    • Hotuba
    • Picha

Hifadhi

Posted on: January 22nd, 2019

Onyo la kuvamia maeneo yaliyohifadhiwa.

Morogoro

Mkuu wa Mkoa wa Morogoro Dkt. Kebwe Stephen Kebwe amewataka Wananchi wa Mkoa huo na watu wote wanaoingia ndani ya Mkoa wa Morogoro kutovamia kwa makusudi maeneo oevu, Hifadhi za misitu kwa kisingizio cha kuruhusiwa na Serikali na kwamnba atakayefanya hivyo atachukuliwa hatua za kisheria.

Dkt. Kebwe ametoa onyo hilo wakati wa kikao chake na waandishi wa Habari jana Januari 21 Ofsini kwake akitoa tahadhari kulingana na uwepo wa makundi makubwa  ya wakulima na wafugaji kuingia Mkoani humo hususan Wilaya za Kilombero, Ulanga na Malinyi wakidai kuwa Serikali imeruhusu kufanya shughuli za kibinadamu katika maeneo hayo jambo ambalo amesema ni upotoshaji wa maelekezo ya Serikali.

Akifafanua maelekezo ya Serikali, Dkt. Kebwe amesema, Serikali ilitoa maelekezo ambayo hayakuwa na utata kuwa, Serikali kupitia Wiazara husika ndani ya mwezi mmoja zitakaa pamoja na kuangalia maeneo ambayo yamepoteza hadhi ya kuwa hifadhi yatatolewa kwa wananchi kwa utaratibu utakaotolewa.

“Maelekezo ya Serikali yalivyotolewa katika kipindi cha mwezi mmoja Wizara husika zitakaa chini zitatoa maelekezo vizuri na kuainisha maeneo yale ambayo yameshapoteza hadhi ya kuwa hifadhi yaweze kuondolewa na kutolewa kwa wananchi, lakini maeneo yale ambayo bado yana umuhimu wa uhifadhi yaweze kubaki kuendeleza hifadhi zetu” alisema Dkt. Kebwe

Dkt. Kebwe amesema kuna wananchi wakorofi ambao wametafsiri tofauti maelekezo hayo kwa makusudi na kuanza kuvamia maeneo hayo kwa kisingizio cha kuruhusiwa na kuwataka watu hao kuacha mara moja uvamizi huo au kuwa na subira hadi Serikali itakapotoa mwongozo wa namna ya kuyapata maeneo yale ambayo yataonekana yamekosa hadhi ya kuwa hifadhi, vinginevyo watachukuliwa hatua za kisheria.

Hata Hivyo Dkt. Kebwe amewataka Wakuu wa Wilaya zote Mkoani humo kutoa Elimu katika suala hilo kabla hawajawachukulia hatua za kisheria wale watakaokaidi maelekezo ya kuvamia maeneo ya Hifadhi na maeneo oevu likiwemo Bonde la Mto Kilombero ambalo sasa lina ukubwa wa Km za Mraba 2,190 tu ambapo kabla ya kumegwa na kurasimishwa kuwa makazi ya watu lilikuwa na km za mraba 6500.

Matangazo

  • Karibu kuwekeza Morogoro April 17, 2018
  • Fomu za Kujiunga Kidato cha Tano kwa Shule za Sekondari za Serikali Tanzania Bara.. June 19, 2018
  • ORODHA YA HATI ZILIZO TAYARI WIZARA YA ARDHI.. August 29, 2018
  • MATOKEO YA MTIHANI WA DARASA LA SABA December 14, 2018
  • View All

Habari Mpya

  • Dkt. Kebwe watuliza Wakazi Mindu

    February 21, 2019
  • Waziri Kakunda Atoa Wito Kwa Watanzania

    February 17, 2019
  • Uchimbaji wa Madini

    February 12, 2019
  • Vitambulisho vya Wajasiliamali

    February 04, 2019
  • View All

Video

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa azungumzia mradi wa umeme rufiji
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Maelezo ya Mkoa
  • Tangazo la Zabuni
  • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
  • Hotuba
  • Taarifa kwa Umma

Kurasa Mashuhuri

  • Tovuti ya Tanzania
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • TAMISEMI
  • Ikulu
  • Katibu Mkuu Kiongozi
  • Tovuti ya Ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana nasi

Other Contacts

   

Visitors Counter

writingMasterThesis

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki © 2018 Mkoa wa Morogoro. Haki Zote Zimehifadhiwa