• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
Mkoa wa Morogoro
Mkoa wa Morogoro

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Morogoro

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Maelezo ya Mkoa
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Sehemu na Vitengo
      • Utawala na Rasilimali
      • Serikali za Mitaa
      • Uhasibu na Fedha
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Huduma za maji
      • Miundombinu
      • Huduma za Ugani
      • Elimu
      • Sheria
      • TEHAMA
      • Afya
  • Wilaya
    • Morogoro
    • Mvomero
    • Gairo
    • Kilosa
    • Kilombero
    • Ulanga
    • Malinyi
  • Halmashauri
    • Manispaa ya Morogoro
    • Morogoro DC
    • Mvomero
    • Gairo
    • Ulanga
    • Malinyi
    • Kilombero
    • Ifakara Mji
    • Kilosa
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za maji
    • Huduma za Kilimo
    • Huduma za Mifugo
    • Huduma za Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Miongozo Mbalimbali
    • Majarida
    • Fomu Mbalimbali
    • Ripoti mbalimbali
    • Mpango Mkakati
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Sheria Ndogo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Videos
    • Hotuba
    • Picha

Jafo: Halmashauri zote nchini undeni mabaraza ya watu wenye Ulemavu.

Posted on: July 26th, 2018

Jafo: Halmashauri zote nchini undeni mabaraza ya watu wenye Ulemavu.

Waziri wa Nchi ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa – TAMISEMI Mhe. Selemani Said Jafo ameziagiza Halmashauri zote nchini kuunda mabaraza ya watu wenye ulemavu yatakayo shughulikia na kutatua kero mbalimbali zinazo kabili kundi la watu wenye Ulemavu, Wazee na Watoto wa mitaani.

Waziri Jafo alisema hayo mwanzoni mwa wikii hii wakati akizungumza na wadau wa ustawi wa jamii wakati wa kuzindua mkutano uliowakutanisha wadau wote kutoka mashirika mbalimbali na asasi za kiraia zinazotoa na kushughulikia huduma za ustawi wa jamii kote nchini, mkutano huo ulifanyika katika Hotel ya Edema Mjini Morogoro.

Aidha Mhe. Jafo alifafanua kuwa mkutano huo Unalenga kupitia rasimu ya mfumo na mipango ya bajeti ya mamlaka ya Serikali za mitaa utakaopanga namna ya kusaidia Makundi ya watu wenye uhitaji.

“Tutapitia maoni yote ya wadau wetu kutoka serikali na sekta binafsi ili tupate njia nzuri ya kusaidie kundi hili la watu wenye Ulemavu,Wazee na Watoto wa mitaani na lazima tujiulize kama sisi wote tuko hapa kwanini watoto wa mitaani wanatokea”.Alisema Mhe. Jafo.

Pia Waziri huyo alisisitiza kuwa katika pesa wanazopata Halmashari aslimia 10 kwajili ya mfuko wa Vijana na Wanawake ni vema watu wenye ulemavu wakatengewa asilimia 2 kutoka kwenye mfuko huo.

Kwa Upande wake Mkuu wa Mkoa wa Morogoro Dkt. Kebwe S. Kebwe alisema kwa Mkoa wa Morogoro pekee watoto wanaoishi katika mazingira magumu wapo zaidi ya elfu kumi na sita (16000) ambao wanahitaji kusaidiwa.

Vile vile Mhe. Kebwe aliongeza kuwa familia nyingi ndizo zinazo sababisha wimbi kubwa la wahitaji kuongezeka pindi ndoa zinapo vunjika, akitolea mfano kwa mkoa wake Dkt. Alisema..

“kulingana na usajili wa ndoa tulionao kwa Mkoa wetu kwa mwezi  Aprili hadi Juni kulikuwa na mitafaluku zaidi ya mianne (400) kwenye ndoa na kinala  ni Wilaya ya Kilosa kesi zikiwa 106”

Nae Mkurugenzi Msaidizi Idara ya Afya za Ustawi wa jamii na lishe Ofisi ya Rais TAMISEMI Bw. Rashid Mafutaa amewashukuru USAID pamoja na Ps3 kwa kudhamini mkutano huo utakaofanyika kwa siku tatu kuanzia Tar 24 Julai Mwaka huu hadi Julai 26/2018.

Mwisho....

Matangazo

  • MATOKEO YA MTIHANI WA UTAMILIFU(MOCK) KIDATO CHA NNE MEI-2019 MOROGORO July 29, 2019
  • Karibu kuwekeza Mkoani Morogoro September 26, 2019
  • Ifahamu Miongozo ya uazishwaji wa minada ya mifugo, uuzaji wa mifugo katika minada, ukusanyaji wa mapato kupitia minada, nyaraka zinazohitajika katika kusafirisha mifugo n.k Bofya hapa.. February 14, 2020
  • ORODHA YA WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUGA NA KIDATO CHA KWANZA MWAKA 2020 - MKOA WA MOROGORO December 07, 2019
  • View All

Habari Mpya

  • NIMR YAANZA TAFITI ZA KUTIBU MALARIA.

    January 22, 2021
  • RC Morogoro atoa siku 11.

    January 21, 2021
  • WANACHI KIJIJI CHA WAMI LUHINDO WAHAMASIKA KUJENGA SHULE, WAOMBA SIKU YA HARAMBEE IPANGWE KARIBU.

    January 17, 2021
  • Miradi 67 ya maji kutekelezwa Morogoro.

    January 15, 2021
  • View All

Video

Anayetaka kumuheshimu Rais amuheshimu Mwananchi - RC Sanare
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Maelezo ya Mkoa
  • Tangazo la Zabuni
  • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
  • Hotuba
  • Taarifa kwa Umma

Kurasa Mashuhuri

  • Tovuti ya Tanzania
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • TAMISEMI
  • Ikulu
  • Katibu Mkuu Kiongozi
  • Tovuti ya Ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki © 2020 Ofisi Ya Mkuu wa Mkoa Morogoro. Haki Zote Zimehifadhiwa.