• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
Mkoa wa Morogoro
Mkoa wa Morogoro

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Morogoro

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Maelezo ya Mkoa
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Sehemu na Vitengo
      • Utawala na Rasilimali
      • Serikali za Mitaa
      • Uhasibu na Fedha
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Huduma za maji
      • Miundombinu
      • Huduma za Ugani
      • Elimu
      • Sheria
      • TEHAMA
      • Afya
  • Wilaya
    • Morogoro
    • Mvomero
    • Gairo
    • Kilosa
    • Kilombero
    • Ulanga
    • Malinyi
  • Halmashauri
    • Manispaa ya Morogoro
    • Morogoro DC
    • Mvomero
    • Gairo
    • Ulanga
    • Malinyi
    • Kilombero
    • Ifakara Mji
    • Kilosa
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za maji
    • Huduma za Kilimo
    • Huduma za Mifugo
    • Huduma za Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Miongozo Mbalimbali
    • Majarida
    • Fomu Mbalimbali
    • Ripoti mbalimbali
    • Mpango Mkakati
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Sheria Ndogo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Videos
    • Hotuba
    • Picha

JPM amuita Mkurugenzi NIDA Morogoro

Posted on: November 20th, 2019

Na. Andrew Chimesela, Morogoro.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli amemtaka Mkurugenzi Mkuu wa wa Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa Nchini (NIDA) kufika Mkoani Morogoro ili kumaliza tatizo la msongamano wa wananchi wanaohitaji kupata vitambulisho vya Taifa katika ofisi za Mamlaka hiyo Mkoani humo.

Rais  Magufuli ameyasema hayo Novemba 20 mwaka huu akiwa eneo la Msamvu  katika Halmashauri ya Manispaa ya Morogoro aliposimama kuwasalimia wananchi wa Halmashauri hiyo akiwa safarini kuelekea Jijijini Dodoma.

Aidha, Dkt. Magufuli akiwa katika Mji mdogo wa Gairo amebainisha kwamba Serikali yake haitampangia mkulima bei ya kuuzia mahindi  akisisitiza kwamba lazima biashara hiyo iwe huru ili kuwa na tija kwa Mkulima.

 “nataka mkulima ashangilie bei ya mahindi ,wakati wa kumpangia Mkulima bei ya mahindi umekwisha, bei ya mahindi itajipanga yenyewe”, alisema Dkt. Magufuli.


                                                                                                            MWISHO

Matangazo

  • MATOKEO YA MTIHANI WA UTAMILIFU(MOCK) KIDATO CHA NNE MEI-2019 MOROGORO July 29, 2019
  • Karibu kuwekeza Mkoani Morogoro September 26, 2019
  • ORODHA YA WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUGA NA KIDATO CHA KWANZA MWAKA 2020 - MKOA WA MOROGORO December 07, 2019
  • View All

Habari Mpya

  • Magereza Yarejesha Eneo kwa Wananchi Ifakara

    December 06, 2019
  • Waziri Kairuki ampongeza RC Sanare kutenga maeneo ya uwekezaji Morogoro.

    December 04, 2019
  • Sanare awataka wakazi wa morogoro kuwa na tabia ya kufuatilia nyaraka muhimu

    November 28, 2019
  • Uchaguzi, Serikali za Mitaa 2019

    November 24, 2019
  • View All

Video

Anayetaka kumuheshimu Rais amuheshimu Mwananchi - RC Sanare
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Maelezo ya Mkoa
  • Tangazo la Zabuni
  • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
  • Hotuba
  • Taarifa kwa Umma

Kurasa Mashuhuri

  • Tovuti ya Tanzania
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • TAMISEMI
  • Ikulu
  • Katibu Mkuu Kiongozi
  • Tovuti ya Ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki © 2018 Mkoa wa Morogoro. Haki Zote Zimehifadhiwa