• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
Mkoa wa Morogoro
Mkoa wa Morogoro

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Morogoro

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Maelezo ya Mkoa
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Sehemu na Vitengo
      • Utawala na Rasilimali
      • Serikali za Mitaa
      • Uhasibu na Fedha
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Huduma za maji
      • Miundombinu
      • Huduma za Ugani
      • Elimu
      • Sheria
      • TEHAMA
      • Afya
  • Wilaya
    • Morogoro
    • Mvomero
    • Gairo
    • Kilosa
    • Kilombero
    • Ulanga
    • Malinyi
  • Halmashauri
    • Manispaa ya Morogoro
    • Morogoro DC
    • Mvomero
    • Gairo
    • Ulanga
    • Malinyi
    • Kilombero
    • Ifakara Mji
    • Kilosa
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za maji
    • Huduma za Kilimo
    • Huduma za Mifugo
    • Huduma za Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Miongozo Mbalimbali
    • Majarida
    • Fomu Mbalimbali
    • Ripoti mbalimbali
    • Mpango Mkakati
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Sheria Ndogo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Videos
    • Hotuba
    • Picha

Kikokotoo

Posted on: January 11th, 2019

Wafanyakazi Morogoro wampongeza Rais kurejesha kikokotoo cha zamani, wamuomba kumulika Sekta Binafsi.

Na Andrew Chimesela – Morogoro

Wafanyakazi mbali mbali wa Umma na wasio wa Umma Mkoa wa Morogoro, leo Januari 11, 2019 wameungana na kufanya maandamano ya Amani yaliyolenga Kumpongeza Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. John Pombe Magufuli kwa kurejesha kikokotoo cha zamani cha mafao ya wastaafu.

Maandamano hayo ambayo yameanzia Ofisi za Vyama vya Wafanyakazi Barabara ya Stesheni hadi Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Morogoro, yamepokelewa na Mkuu wa Mkoa huo Dkt. Kebwe Stephen Kebwe ambaye pia alikuwa Mgeni rasmi.

Katika Risala yao iliyosomwa na Katibu washirikisho la vyama vya wafanyakazi (TUCTA) Mkoani Morogoro Abubakari Rashidi, Wafanyakazi hao wamesema kuwa hatua ya Mhe. Rais ya kurejesha kikokotoo cha zamani kutumika hadi mwaka 2023 ni cha huruma, busara na kinaoonesha upendo wake kwa wafanyakazi, huku wakimuomba Rais kuangalia kikokotoo kinachotumika kwenye mifuko ya Sekta Binafsi.

“Tunaendelea kumuomba Mhe. Rais atupie jicho lake lenye huruma kwenye mifuko ya mafao yanayotolewa na mifuko ya Sekta binafsi  nchini… inayolipa mafao kidogo 25% ambapo inalenga  wafanyakazi waliopo Sekta Binafsi na kulipwa mafao kidogo licha ya usawa katika uchangiaji” imesema sehemu ya taarifa hiyo.

Akiongea mara baada ya kupokea maandamano hayo Mkuu wa Mkoa wa Morogoro Dkt. Kebwe Stephen Kebwe amewataka wafanyakazi kuiishi kaulimbiu ya Mhe. Rais John Pombe Magufuli ya “hapa kazi tu” kwa kufanya kazi kwa bidii, uaminifu na nidhamu ya hali ya Juu.

Aidha, amewataka wafanyakazi kuondoa dhana potofu ya kujenga maisha yao kwa kutegemea mafaao ya baada ya kustaafu bali waaze kujenga maisha yao kuanzia sasa kwa kutumia njia nyingine kama kupata mikopo kwenye taasisi za kibennki na fedha zinazotokana na mafao zitakuja kumsaidia mfanyakazi wakati hana nguvu ya kufanya kazi na hana kipato kingine.

Sambamba na hilo Mkuu wa Mkoa Dkt Kebwe amewaagiza viongozi wa TUCTA kumpelekea orodha ya taasisi/makapuni ambayo hayaruhusu wafanyakazi wake kujiunga na mifuko ya kijamii ili aweze kuyachukulia hatua za kisheria kwani kutofanya hivyo ni kukiuka sheria za nchi na kuwanyonya wafanyakazi.

Kwa upande wake Mwenyekiti wa TUCTA Mkoa wa Morogoro Bw. Mohamed Simbee amesema pamoja na kumpongeza Rais kwa kurejesha kikokotoo cha zamani wanamuomba Mhe. Rais aendelee kuangali namna ambayo kikokotoo hicho kutoishia mwaka 2023 bali kiwe endelevu hata baada ya mwaka 2023.

MWISHO

Matangazo

  • MATOKEO YA MTIHANI WA UTAMILIFU(MOCK) KIDATO CHA NNE MEI-2019 MOROGORO July 29, 2019
  • Karibu kuwekeza Mkoani Morogoro September 26, 2019
  • Ifahamu Miongozo ya uazishwaji wa minada ya mifugo, uuzaji wa mifugo katika minada, ukusanyaji wa mapato kupitia minada, nyaraka zinazohitajika katika kusafirisha mifugo n.k Bofya hapa.. February 14, 2020
  • ORODHA YA WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUGA NA KIDATO CHA KWANZA MWAKA 2020 - MKOA WA MOROGORO December 07, 2019
  • View All

Habari Mpya

  • NIMR YAANZA TAFITI ZA KUTIBU MALARIA.

    January 22, 2021
  • RC Morogoro atoa siku 11.

    January 21, 2021
  • WANACHI KIJIJI CHA WAMI LUHINDO WAHAMASIKA KUJENGA SHULE, WAOMBA SIKU YA HARAMBEE IPANGWE KARIBU.

    January 17, 2021
  • Miradi 67 ya maji kutekelezwa Morogoro.

    January 15, 2021
  • View All

Video

Anayetaka kumuheshimu Rais amuheshimu Mwananchi - RC Sanare
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Maelezo ya Mkoa
  • Tangazo la Zabuni
  • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
  • Hotuba
  • Taarifa kwa Umma

Kurasa Mashuhuri

  • Tovuti ya Tanzania
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • TAMISEMI
  • Ikulu
  • Katibu Mkuu Kiongozi
  • Tovuti ya Ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki © 2020 Ofisi Ya Mkuu wa Mkoa Morogoro. Haki Zote Zimehifadhiwa.