• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
Mkoa wa Morogoro
Mkoa wa Morogoro

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Morogoro

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Maelezo ya Mkoa
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Sehemu na Vitengo
      • Utawala na Rasilimali
      • Serikali za Mitaa
      • Uhasibu na Fedha
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Huduma za maji
      • Miundombinu
      • Huduma za Ugani
      • Elimu
      • Sheria
      • TEHAMA
      • Afya
  • Wilaya
    • Morogoro
    • Mvomero
    • Gairo
    • Kilosa
    • Kilombero
    • Ulanga
    • Malinyi
  • Halmashauri
    • Manispaa ya Morogoro
    • Morogoro DC
    • Mvomero
    • Gairo
    • Ulanga
    • Malinyi
    • Kilombero
    • Ifakara Mji
    • Kilosa
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za maji
    • Huduma za Kilimo
    • Huduma za Mifugo
    • Huduma za Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Miongozo Mbalimbali
    • Majarida
    • Fomu Mbalimbali
    • Ripoti mbalimbali
    • Mpango Mkakati
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Sheria Ndogo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Videos
    • Hotuba
    • Picha

Mifugo itakayoharibu mazao sasa kutaifishwa Morogoro

Posted on: December 20th, 2019

Na. Andrew Chimesela, Morogoro.

Mkuu wa Mkoa wa Morogoro Loata Sanare amesema endapo wafugaji hawatotii kanuni, taratibu na maelekezo ya namna bora ya kufuga mifugo yao ataruhusu kutaifishwa mifugo yote itakayobainika kuingizwa katika mashamba ya wakulima na kuharibu mazao ili kuwa sehemu ya kudhibiti migogoro baina ya wakulima na wafugaji Mkoani humo.

Mkuu wa Mkoa ameyasema Disemba 20, mwaka huu katika ukumbi wa mikutano wa Chuo cha Ualimu Morogoro wakati akifungua kikao cha Ushauri cha Mkoa (RCC) kinachojadili masuala mbalimbali yanayohusu maendeleo.

Sanare amesema mbali na kutaifishwa mifugo kwa upande wa wafugaji watakaokiuka taratibu na maelekezo,wakulima watakaovamia maeneo ya wafugaji mazao yao yataruhusiwa kulishia mifugo.

Aidha, Sanare ameziagiza Halmashauri zote za Mkoa huo kuhakikisha Fedha zote za mapato zinazokusanywa katika vyanzo mbalimbali zinawekwa Benki kwa kufuata utaratibu na maelekezo ya Serikali kabla ya matumizi yoyote.

Hata hivyo Mkuu wa Mkoa, ameonesha masikitiko yake kwa baadhi ya wakandarasi wanaoshindwa kukamilisha miradi kwa wakati na wale wanaojenga chini ya kiwango ameagiza wakandarasi wote ambao bado hawajakamilisha miradi yao kulingana na muda waliopewa wakamilishe mara moja.

Sambamba na hayo amewataka wadau wa Elimu katika Halmashauri zote kuhakikisha wanafunzi wote wenye sifa za kujiunga kidato cha kwanza wanaanza masomo yaomuda utakapofika na kuagiza kutolewa vibali kwa shule zilizokidhi vigezo ili zipokee wanafunzi lengo likiwa ni kuhakikisha hakuna mtoto aneyekosa kwenda shule kwa sababu ya upungufu wa vyumba vya madarasa.

                                                                MWISHO

Matangazo

  • MATOKEO YA MTIHANI WA UTAMILIFU(MOCK) KIDATO CHA NNE MEI-2019 MOROGORO July 29, 2019
  • Karibu kuwekeza Mkoani Morogoro September 26, 2019
  • Ifahamu Miongozo ya uazishwaji wa minada ya mifugo, uuzaji wa mifugo katika minada, ukusanyaji wa mapato kupitia minada, nyaraka zinazohitajika katika kusafirisha mifugo n.k Bofya hapa.. February 14, 2020
  • ORODHA YA WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUGA NA KIDATO CHA KWANZA MWAKA 2020 - MKOA WA MOROGORO December 07, 2019
  • View All

Habari Mpya

  • RC SANARE ATATUA MGOGORO WA ARDHI.

    April 13, 2021
  • Morogoro kumuenzi JPM kwa kudumisha Amani na Utulivu.

    March 24, 2021
  • RC MSTAAFU STEVEN MASHISHANGA ATOA SALAMU ZA POLE.

    March 19, 2021
  • RC Sanare awapa pole Wanamorogoro kwa Msiba Mkubwa, awataka watulie

    April 28, 2021
  • View All

Video

Anayetaka kumuheshimu Rais amuheshimu Mwananchi - RC Sanare
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Maelezo ya Mkoa
  • Tangazo la Zabuni
  • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
  • Hotuba
  • Taarifa kwa Umma

Kurasa Mashuhuri

  • Tovuti ya Tanzania
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • TAMISEMI
  • Ikulu
  • Katibu Mkuu Kiongozi
  • Tovuti ya Ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki © 2020 Ofisi Ya Mkuu wa Mkoa Morogoro. Haki Zote Zimehifadhiwa.