• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
Mkoa wa Morogoro
Mkoa wa Morogoro

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Morogoro

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Maelezo ya Mkoa
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Sehemu na Vitengo
      • Utawala na Rasilimali
      • Serikali za Mitaa
      • Uhasibu na Fedha
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Huduma za maji
      • Miundombinu
      • Huduma za Ugani
      • Elimu
      • Sheria
      • TEHAMA
      • Afya
  • Wilaya
    • Morogoro
    • Mvomero
    • Gairo
    • Kilosa
    • Kilombero
    • Ulanga
    • Malinyi
  • Halmashauri
    • Manispaa ya Morogoro
    • Morogoro DC
    • Mvomero
    • Gairo
    • Ulanga
    • Malinyi
    • Kilombero
    • Ifakara Mji
    • Kilosa
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za maji
    • Huduma za Kilimo
    • Huduma za Mifugo
    • Huduma za Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Miongozo Mbalimbali
    • Majarida
    • Fomu Mbalimbali
    • Ripoti mbalimbali
    • Mpango Mkakati
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Sheria Ndogo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Videos
    • Hotuba
    • Picha

RC SANARE AWATAKA WAFANYABIASHARA SUKARI KUFUATA UTARATIBU

Posted on: May 13th, 2020

RC Sanare awanga’ang’ania wafanyabiashara wakubwa wa Sukari

Mkuu wa Mkoa wa Morogoro Loata Sanare ameendelea kuwang’ang’ania wafanya biashara wa maduka ya jumla Mkoani humo kuuza sukari wanayoletewa kwa kufuata bei elekezi ya Serikali kama walivyokubaliana wakati wa kikao kati yake na wafanyabiashara hao.

Loata Ole Sanare ametoa kauli hiyo Mei 13 mwaka huu alipofanya ziara ya kushtukiza ya kutembelea baadhi ya wafanyabiashara wa maduka hayo ili kujionea uhalisia wa kuuza suakari unavyofanyika katika Manispaa ya Morogoro.

Akiongozana na Wajumbe wa Kamati ya Ulinzi na Usalama ya Mkoa Mkuu huyo wa Mkoa bado amebaina baadhi yao wafanyabiashara hao wameendelea kuuza Bidhaa hiyo zaidi ya bei elekezi ya shilingi 127, 000 kwa mfuko mmoja wa sukari wa kilogramu 50 hivyo kukiuka maagizo ya Serikali.

Sanare amewataka Wafanyabiashara hao kufuata utaratibu na maelekezo ya Serikali ya kuuza sukari hiyo na kuridhika na faida wanayopata ili wauzaji wadogo nao wanapowauzia wananchi wa kawaida waweze kupata faida.

Amesema bila kufanya hivyo wananchi wataendelea kuumia kwa kukosa Sukari ama kupata kwa kuuziwa bei ya juu jambo ambalo yeye hatakubaliana nalo. “fuateni maelekezo, tumekaa na wataalamu wetu  hapa wamepiga mahesabu wameona bei elekezi kwa Mkoa wetu wa Morogoro inafaa” alisisitiza Mkuu wa Mkoa.

Ikumbukwe kabla ya ziara hii mei 8 mwaka huu Mkuu wa Mkoa huo alikutana na wafanyabiashara wakubwa wa sukari hapa Mkoani Morogoro na kukubalina kuuza Sukari itakayoletwa kwa bei elekezi ambayo ni shilingi 127,000 kwa kila mfuko mmoja wa sukari wa kilo hamsini.

MWISHO

Matangazo

  • MATOKEO YA MTIHANI WA UTAMILIFU(MOCK) KIDATO CHA NNE MEI-2019 MOROGORO July 29, 2019
  • Karibu kuwekeza Mkoani Morogoro September 26, 2019
  • Ifahamu Miongozo ya uazishwaji wa minada ya mifugo, uuzaji wa mifugo katika minada, ukusanyaji wa mapato kupitia minada, nyaraka zinazohitajika katika kusafirisha mifugo n.k Bofya hapa.. February 14, 2020
  • ORODHA YA WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUGA NA KIDATO CHA KWANZA MWAKA 2020 - MKOA WA MOROGORO December 07, 2019
  • View All

Habari Mpya

  • Serikali inapoteza Bil. 18 kwa mwaka

    March 03, 2021
  • Wahasibu Halmashauri za Morogoro waonywa.

    March 03, 2021
  • Mkoa wa Morogoro wajipanga kuwa wa kiutalii.

    February 26, 2021
  • RC SANARE: NENDENI MKAJIFUNZE MALINYI.

    February 26, 2021
  • View All

Video

Anayetaka kumuheshimu Rais amuheshimu Mwananchi - RC Sanare
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Maelezo ya Mkoa
  • Tangazo la Zabuni
  • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
  • Hotuba
  • Taarifa kwa Umma

Kurasa Mashuhuri

  • Tovuti ya Tanzania
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • TAMISEMI
  • Ikulu
  • Katibu Mkuu Kiongozi
  • Tovuti ya Ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki © 2020 Ofisi Ya Mkuu wa Mkoa Morogoro. Haki Zote Zimehifadhiwa.