• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
Mkoa wa Morogoro
Mkoa wa Morogoro

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Morogoro

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Maelezo ya Mkoa
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Sehemu na Vitengo
      • Utawala na Rasilimali
      • Serikali za Mitaa
      • Uhasibu na Fedha
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Huduma za maji
      • Miundombinu
      • Huduma za Ugani
      • Elimu
      • Sheria
      • TEHAMA
      • Afya
  • Wilaya
    • Morogoro
    • Mvomero
    • Gairo
    • Kilosa
    • Kilombero
    • Ulanga
    • Malinyi
  • Halmashauri
    • Manispaa ya Morogoro
    • Morogoro DC
    • Mvomero
    • Gairo
    • Ulanga
    • Malinyi
    • Kilombero
    • Ifakara Mji
    • Kilosa
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za maji
    • Huduma za Kilimo
    • Huduma za Mifugo
    • Huduma za Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Miongozo Mbalimbali
    • Majarida
    • Fomu Mbalimbali
    • Ripoti mbalimbali
    • Mpango Mkakati
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Sheria Ndogo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Videos
    • Hotuba
    • Picha

Ujenzi wa Vituo vya Afya sasa ni usiku na mchana

Posted on: April 27th, 2019

Dkt. Kebwe asisitiza Ujenzi  Miradi ya maendeleo kufanywa usiku na mchana

Na. Andrew Chimesela – Morogoro

Mkuu wa Mkoa wa Morogoro Dkt. Kebwe Stephen Kebwe ameendelea na msimamo wake kwa kuwaagiza waandamizi wake Mkoani humo kuendelea kutekeleza usiku na mchana ujenzi wa miradi ya maendeleo inayotekelezwa Mkoani humo.

Dkt. Kebwe ameonesha msimamo huo na kutoa maagizo hayo wakati wa ziara yake aliyoifanya mwishoni mwa wiki ambapo alitembelea Wilaya za Ulanga na Malinyi kwa ajili ya kukagua miradi ya maendeleo inayotekelezwa katika Wilaya hizo.

Miradi iliyotembelewa ni pamoja na Ujenzi wa Vyumba vya madarasa katika shule ya Sekondari ya Iragua (Ulanga), Hospitali ya Wilaya ya Malinyi, Vituo vya Afya vya Ngohelanga (Malinyi) na wakati akirejea kutoka katika ziara hiyo alikagua kituo cha Afya cha Mikumi kilichopo katika Wilaya ya Kilosa.

Miradi yote hiyo aliyotembelea alisisitiza ujenzi kufanyika usiku na mchana ili kwenda na wakati ingawa tayari baadhi ya miradi iko nyuma ya wakati lengo wananchi waweze kupata huduma zinazohitajika kupitia vituo hivyo huku akiwataka watendaji wa Halmashauri hizo kuanza kuandaa utaratibu wa kuwapata haraka wahudumia watakaohudumia vituo hivyo.

Wakati wa ziara hiyo pia Mkuu wa Mkoa huyo kupitia mikutano ya wananchi alihamasisha wananchi kujiunga na mfuko wa Afya iliyoboreshwa – CHF ili mifuko hiyo iweze kuwasaidia kupata matibabu hata pale ambapo wamepatwa na maradhi lakini hawana fedha taslimu.

“ugonjwa hauna adabu, haupigi hodi wakati unakuja unaweza kuugua hata wakati hauna fedha, hivyo ni vema wananchi kujiunga na Mfuko huu wa Afya wa CHF ili uwe salama utakaokuwezesha kupata tiba hata kama huna fedha mkononi” alisema Dkt. Kebwe.

Katika hatua nyingine Dkt. Kebwe alimuagiza kaimu Mganga Mkuu wa Mkoa wa Morogoro Dkt. Tarimo kuratibu kikao cha pamoja baina ya Uongozi wa Mkoa na Wamiliki wa Hospitali binafsi zikiwemo za Lugala (Malinyi), St. Kizito  (Kilosa), Bwagala (Mvomero)  na nyingine ili kuona namna hospitali hizo kuweza kutoa huduma za Afya kwa wananchi wenye kadi za CHF.

Hii inatokana na kubainika kwa baadhi ya Hospitali hizo kutokubali kutoa tiba kwa wananchi kupitia  mfuko wa CHF kwa sababu mbalimbali ikiwemo ile inayodaiwa kuwa ni ucheleweshwaji wa malipo kwa Hospitali hizo kutoka Serikalini.

CHF iliyoboreshwa kwa sasa inapokea wananchama kuanzia mmoja hadi sita kwa malipo ya shilingi thelathini tu kwa mwaka na kutibiwa bure kwa kipindi hicho popote atakapokuwa, hii ni sawa na mtu mmoja kulipa shilingi elfu tano tu kwa kupata matibabu ya mwaka mzima.

 

MWISHO

Matangazo

  • MATOKEO YA MTIHANI WA UTAMILIFU(MOCK) KIDATO CHA NNE MEI-2019 MOROGORO July 29, 2019
  • Karibu kuwekeza Mkoani Morogoro September 26, 2019
  • Ifahamu Miongozo ya uazishwaji wa minada ya mifugo, uuzaji wa mifugo katika minada, ukusanyaji wa mapato kupitia minada, nyaraka zinazohitajika katika kusafirisha mifugo n.k Bofya hapa.. February 14, 2020
  • ORODHA YA WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUGA NA KIDATO CHA KWANZA MWAKA 2020 - MKOA WA MOROGORO December 07, 2019
  • View All

Habari Mpya

  • NIMR YAANZA TAFITI ZA KUTIBU MALARIA.

    January 22, 2021
  • RC Morogoro atoa siku 11.

    January 21, 2021
  • WANACHI KIJIJI CHA WAMI LUHINDO WAHAMASIKA KUJENGA SHULE, WAOMBA SIKU YA HARAMBEE IPANGWE KARIBU.

    January 17, 2021
  • Miradi 67 ya maji kutekelezwa Morogoro.

    January 15, 2021
  • View All

Video

Anayetaka kumuheshimu Rais amuheshimu Mwananchi - RC Sanare
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Maelezo ya Mkoa
  • Tangazo la Zabuni
  • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
  • Hotuba
  • Taarifa kwa Umma

Kurasa Mashuhuri

  • Tovuti ya Tanzania
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • TAMISEMI
  • Ikulu
  • Katibu Mkuu Kiongozi
  • Tovuti ya Ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki © 2020 Ofisi Ya Mkuu wa Mkoa Morogoro. Haki Zote Zimehifadhiwa.