• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
Mkoa wa Morogoro
Mkoa wa Morogoro

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Morogoro

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Maelezo ya Mkoa
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Sehemu na Vitengo
      • Utawala na Rasilimali
      • Serikali za Mitaa
      • Uhasibu na Fedha
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Huduma za maji
      • Miundombinu
      • Huduma za Ugani
      • Elimu
      • Sheria
      • TEHAMA
      • Afya
  • Wilaya
    • Morogoro
    • Mvomero
    • Gairo
    • Kilosa
    • Kilombero
    • Ulanga
    • Malinyi
  • Halmashauri
    • Manispaa ya Morogoro
    • Morogoro DC
    • Mvomero
    • Gairo
    • Ulanga
    • Malinyi
    • Kilombero
    • Ifakara Mji
    • Kilosa
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za maji
    • Huduma za Kilimo
    • Huduma za Mifugo
    • Huduma za Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Miongozo Mbalimbali
    • Majarida
    • Fomu Mbalimbali
    • Ripoti mbalimbali
    • Mpango Mkakati
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Sheria Ndogo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Videos
    • Hotuba
    • Picha

Wanafunzi 1,194 wapata Mimba.

Posted on: September 15th, 2020

 

Jumla ya Wanafunzi 1,194 wa Shule za Msingi na Sekondari Katika Mkoa wa Morogoro wamepata Mimba katika kipindi cha Miaka Minne (2016-2019) nakukatiza ndoto zao za Kusoma

Takwimu hizo zimetolewa na Mkuu wa Mkoa Morogoro Loata Ole Sanare Septemba 15 Mwaka huu katika kikao kilicho wahusisha Viongozi mbalimbali wa Mkoa huo wakiwemo wajumbe wa Kamati ya Ulinzi na Usalama Mkoa, Wakuu wa Wilaya, Wakurugenzi wa Halmashauri za Mkoa na Wajumbe wa Sekretarieti ya Mkoa wa Morogoro.

“Suala la Wanafunzi wetu kupata mimba wakiwa shuleni bado ni tatizo kubwa katika Mkoa wetu. Mwaka 2016 jumla ya Wanafunzi 37 wa Msingi na 204 wa Sekondari walipata Mimba, Mwaka 2017 idadi hiyo iliongezeka hadi kufikia Wanafunzi 67 wa msingi na 237 wa Sekondari. Kama vile haitoshi mwaka 2018 idadi hiyo ilipanda zaidi na kufikia wanafunzi 76 wa Masingi na 255 wa Sekondari kupata mimba. Mwaka 2019 Wanafunzi wa Msingi waliopata mimba walifikia 69 na Sekondari 169”amesema Sanare

Aidha, amesema mpaka sasa baadhi ya watuhumiwa waliowabebesha Mimba Wanafunzi hao wameshakamatwa na kufikishwa katika vyombo husika kujibu mashitaka yanayo wakabili.

Hata hivyo Sanare amesema Mkoa wa Morogoro umedhamiria kuboresha elimu katika Ngazi zote za Msingi na Sekondari kwa nia ya kuinua kiwango cha ufaulu katika Mitihani ya Taifa.

” Takwimu tulizo nazo tuna kazi ya kumalizia maboma ya miundombinu ya elimu msingi na Sekondari kama ifuatavyo: Vyumba vya madarasa 192, Nyumba 69 za Walimu shule za msingi, vyumba 138 vya madarasa shule za Sekondari, nyumba 57 za walimu wa Sekondari, Mabweni 12, Vyumba vya maabara za Sayansi 355”amesema Sanalele

Pia Sanale amesema Ujenzi wa Mabweni kwa Wanafunzi utasaidia kutatua changamoto ya Mimba ambazo zimekuwa changamoto za kutowatimizia wanafunzi ndoto zao na kuwataka Wazazi kuwa na utaratibu wakufuatilia mienendo ya watoto .


MWISHO

 

Matangazo

  • MATOKEO YA MTIHANI WA UTAMILIFU(MOCK) KIDATO CHA NNE MEI-2019 MOROGORO July 29, 2019
  • Karibu kuwekeza Mkoani Morogoro September 26, 2019
  • Ifahamu Miongozo ya uazishwaji wa minada ya mifugo, uuzaji wa mifugo katika minada, ukusanyaji wa mapato kupitia minada, nyaraka zinazohitajika katika kusafirisha mifugo n.k Bofya hapa.. February 14, 2020
  • ORODHA YA WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUGA NA KIDATO CHA KWANZA MWAKA 2020 - MKOA WA MOROGORO December 07, 2019
  • View All

Habari Mpya

  • RC SANARE ATATUA MGOGORO WA ARDHI.

    April 13, 2021
  • Morogoro kumuenzi JPM kwa kudumisha Amani na Utulivu.

    March 24, 2021
  • RC MSTAAFU STEVEN MASHISHANGA ATOA SALAMU ZA POLE.

    March 19, 2021
  • RC Sanare awapa pole Wanamorogoro kwa Msiba Mkubwa, awataka watulie

    April 28, 2021
  • View All

Video

Anayetaka kumuheshimu Rais amuheshimu Mwananchi - RC Sanare
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Maelezo ya Mkoa
  • Tangazo la Zabuni
  • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
  • Hotuba
  • Taarifa kwa Umma

Kurasa Mashuhuri

  • Tovuti ya Tanzania
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • TAMISEMI
  • Ikulu
  • Katibu Mkuu Kiongozi
  • Tovuti ya Ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki © 2020 Ofisi Ya Mkuu wa Mkoa Morogoro. Haki Zote Zimehifadhiwa.