• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
Mkoa wa Morogoro
Mkoa wa Morogoro

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Morogoro

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Maelezo ya Mkoa
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Sehemu na Vitengo
      • Utawala na Rasilimali
      • Serikali za Mitaa
      • Uhasibu na Fedha
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Huduma za maji
      • Miundombinu
      • Huduma za Ugani
      • Elimu
      • Sheria
      • TEHAMA
      • Afya
  • Wilaya
    • Morogoro
    • Mvomero
    • Gairo
    • Kilosa
    • Kilombero
    • Ulanga
    • Malinyi
  • Halmashauri
    • Manispaa ya Morogoro
    • Morogoro DC
    • Mvomero
    • Gairo
    • Ulanga
    • Malinyi
    • Kilombero
    • Ifakara Mji
    • Kilosa
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za maji
    • Huduma za Kilimo
    • Huduma za Mifugo
    • Huduma za Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Miongozo Mbalimbali
    • Majarida
    • Fomu Mbalimbali
    • Ripoti mbalimbali
    • Mpango Mkakati
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Sheria Ndogo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Videos
    • Hotuba
    • Picha

Ulanga


Wilaya ya Ulanga

Wilaya ya Ulanga ni mojawapo ya Wilaya saba (7) za Mkoa wa Morogoro  ambazo ni Mvomero,Morogoro, Gairo, Kilosa, Kilombero, Malinyi na Ulanga yenyewe.

Wilaya ya Ulanga iko umbali wa Kilometa 512 kutoka Jiji la Dar es Salaam. Ipo kati ya Latitudo 4.5 Kusini na Longitudo 37.4 Mashariki. Ipo kiasi cha futi 1,600 kutoka usawa wa bahari.Ulanga inapakana na milima ya Uluguru, pia imepakana na Mkoa wa Iringa, Songea, na wilaya ya Malinyi na Kilombero.

Wilaya ya Ulanga ina eneo la Kilometa za Mraba 14,423 sehemu kubwa ni mapori ya Hifadhi na Misitu, Hifadhi ya Selous kwa upande wa kusini Mashariki.

Wilaya ya Ulanga ina wastani wa nyuzi joto 180C hadi 260C wakati wa baridi (Julai– Novemba) mvua za vuli huanza mwezi wa Octoba hadi Februari, mvua za masika kuanzia mwezi machi hadi Mei. Mvua hizo hunyesha kwa wastani wa kati ya milimita 800 hadi 1,600. Kwa maelezo zaidi bonyeza  http://www.ulangadc.go.tz/

Matangazo

  • Karibu kuwekeza Morogoro April 17, 2018
  • Usafi wa Mazingira April 22, 2018
  • View All

Habari Mpya

  • Hakuna haki bila wajibu

    March 16, 2018
  • TFRA YAHAMASISHA MFUMO WA UNUNUZI WA MBOLEA WA PAMOJA

    April 13, 2018
  • RC Morogoro aenderea kuhimiza kilimo cha pamba

    April 11, 2018
  • DC Morogoro aiomba China kuongeza misaada

    March 24, 2018
  • View All

Video

RC Morogoro atembelea mashamba ya pamba na korosho wilaya za Gairo na Kilosa
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Maelezo ya Mkoa
  • Tangazo la Zabuni
  • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
  • Hotuba
  • Taarifa kwa Umma

Kurasa Mashuhuri

  • Tovuti ya Tanzania
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • TAMISEMI
  • Ikulu
  • Katibu Mkuu Kiongozi
  • Tovuti ya Ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana nasi

Other Contacts

   

Visitors Counter

writingMasterThesis

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki © 2018 Mkoa wa Morogoro. Haki Zote Zimehifadhiwa