• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
Mkoa wa Morogoro
Mkoa wa Morogoro

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Morogoro

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Maelezo ya Mkoa
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Sehemu na Vitengo
      • Utawala na Rasilimali
      • Serikali za Mitaa
      • Uhasibu na Fedha
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Huduma za maji
      • Miundombinu
      • Huduma za Ugani
      • Elimu
      • Sheria
      • TEHAMA
      • Afya
  • Wilaya
    • Morogoro
    • Mvomero
    • Gairo
    • Kilosa
    • Kilombero
    • Ulanga
    • Malinyi
  • Halmashauri
    • Manispaa ya Morogoro
    • Morogoro DC
    • Mvomero
    • Gairo
    • Ulanga
    • Malinyi
    • Kilombero
    • Ifakara Mji
    • Kilosa
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za maji
    • Huduma za Kilimo
    • Huduma za Mifugo
    • Huduma za Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Miongozo Mbalimbali
    • Majarida
    • Fomu Mbalimbali
    • Ripoti mbalimbali
    • Mpango Mkakati
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Sheria Ndogo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Videos
    • Hotuba
    • Picha

Serikali za Mitaa

Ugatuaji Madaraka

Kipindi cha 2008 hadi 2014 ni cha utekelezaji wa dhana ya Ugatuaji na Upelekaji wa Madaraka kwa Umma ambapo hadi sasa sekretarieti za Mikoa zimekabidhiwa majukumu yaliyokuwa yakitekelezwa na Kanda za Maboresho.

Majukumu hayo matatu (3) ni yafuatayo:-

  • Ufuatiliaji na kuzishauri Serikali za Mitaa juu ya Uimarishaji wa Utawala Bora.
  • Ufuatiliaji na kuzishauri Serikali za Mitaa juu ya uboreshaji wa vyanzo na taarifa za mapato na matumizi ya fedha.
  •   Ufuatiliaji na kuzishauri Serikali za mitaa juu ya Uimarishaji wa Rasilimali watu na Muundo wa Halmashauri.

Kutunga na kusimamia sheria ndogo ili kudhibiti uvunjaji wa sheria.

Halmashauri zote na Sekretarieti ya Mkoa zimeanzisha Ofisi za kushughulikia malalamiko na kero za wananchi. Rejesta na masanduku ya maoni yamewekwa katika sehemu zote za huduma. Aidha, Ofisi zote za Tarafa, Kata na Serikali za Vijiji zinapokea malalamiko na kero za wananchi na kuzifuatilia.

Kuwashirikisha wananchi katika kupanga mipango ya bajeti kwa kutumia mfumo wa fursa na vikwazo vya maendeleo (O & OD).

Taarifa zote za Halmashauri zinazohusu mapato na matumizi, zabuni na taarifa za miradi ya maendeleo zimetangazwa kwenye magazeti na kubandikwa katika mbao za matangazo ili kukuza dhana ya uwazi na uwajibikaji kwa wananchi na wadau wengine.

Halmashauri na Mkoa zimezingatia masuala ya jinsia katika ajira na shughuli mbalimbali za kiutumishi.

Halmashauri na Mkoa zimeunda Kamati za Kisheria na kuendesha vikao vya kamati husika kwa mujibu wa sheria na miongozo iliyopo.

Halmashauri zote ndani ya Mkoa zimeendelea kuendesha vikao vya Serikali za Vijiji/Mitaa na mikutano ya wananchi ili kutoa fursa kwa wananchi kushiriki moja kwa moja katika shughuli za utawala na uendeshaji wa mambo mbalimbali yanayohusu maendeleo yao.

Mkoa wa Morogoro tayari umeunda kamati ya Ushauri ngazi ya Mkoa (RCC) na Wilaya (DCC) na kufanya vikao kila mwaka.

Matokeo ya mikakati hiyo imepelekea Makusanyo ya ndani ya Halmashauri kuongezeka kutoka sh.1,513,529,439.89 mwaka 2005 hadi kufikia sh.12,938,688,999.19 mwaka 2014. Kiasi hiki ni sawa na ongezeko la asilimia .88.30


Matangazo

  • MATOKEO YA MTIHANI WA UTAMILIFU(MOCK) KIDATO CHA NNE MEI-2019 MOROGORO July 29, 2019
  • Karibu kuwekeza Mkoani Morogoro September 26, 2019
  • Ifahamu Miongozo ya uazishwaji wa minada ya mifugo, uuzaji wa mifugo katika minada, ukusanyaji wa mapato kupitia minada, nyaraka zinazohitajika katika kusafirisha mifugo n.k Bofya hapa.. February 14, 2020
  • MAONESHO YA NANENANE July 27, 2022
  • View All

Habari Mpya

  • WAALIMU WAAGIZWA KUSIMAMIA USALAMA NA MALEZI BORA KWA WANAFUNZI.

    January 28, 2023
  • MAAFISA ELIMU WAAGIZWA KUSIMAMIA MATUMIZI YA FEDHA ZA MIRADI YA MAENDELEO

    January 28, 2023
  • RC FATMA MWASSA AWAAPISHA WAKUU WA WILAYA WAWILI.

    January 27, 2023
  • REA MKOANI MOROGORO KUMCHUKULIA HATUA MKANDARASI WA KAMPUNI YA HXJDL.

    January 26, 2023
  • View All

Video

Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Maelezo ya Mkoa
  • Tangazo la Zabuni
  • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
  • Hotuba
  • Taarifa kwa Umma

Kurasa Mashuhuri

  • Tovuti ya Tanzania
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • TAMISEMI
  • Ikulu
  • Katibu Mkuu Kiongozi
  • Tovuti ya Ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki © 2020 Ofisi Ya Mkuu wa Mkoa Morogoro. Haki Zote Zimehifadhiwa.