• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
Mkoa wa Morogoro
Mkoa wa Morogoro

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Morogoro

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Maelezo ya Mkoa
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Sehemu na Vitengo
      • Utawala na Rasilimali
      • Serikali za Mitaa
      • Uhasibu na Fedha
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Sheria
      • TEHAMA
      • Afya
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Kitengo cha Habari na Mawasiliano Serikalini
  • Wilaya
    • Morogoro
    • Mvomero
    • Gairo
    • Kilosa
    • Kilombero
    • Ulanga
    • Malinyi
  • Halmashauri
    • Manispaa ya Morogoro
    • Morogoro DC
    • Mvomero
    • Gairo
    • Ulanga
    • Malinyi
    • Mlimba
    • Ifakara Mji
    • Kilosa
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uchimbaji wa Madini
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Kilimo
    • Huduma za Mifugo
    • Huduma za Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
    • Huduma za Ugavi
  • Machapisho
    • Miongozo Mbalimbali
    • Majarida
    • Fomu Mbalimbali
    • Ripoti mbalimbali
    • Mpango Mkakati
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Sheria Ndogo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Videos
    • Hotuba
    • Picha

Mikakati

Mikakati ya Mkoa wa Morogoro

Mkoa kwa upande wake umeendelea kutoa kipaumbele katika suala la upangaji mipango ya matumizi bora ya ardhi ambapo mpaka sasa jumla ya vijiji 276 kati ya vijiji 659 vina mpango wa matumizi bora ya ardhi na zoezi bado linaendelea katika wilaya ya Mvomero.

 Aidha, programu mpya ya kitaifa ya kupima maeneo ilizinduliwa rasmi tarehe 18/2/2016 ambapo wilaya za Ulanga,Malinyi na Kilombero zinahusika kama maeneo ya kuanzia. MIKAKATI YA MKOA

Kuimarisha usimamizi wa makusanyo ya fedha katika vituo na kuhakikisha halmashauri zinahakikisha watu wote wenye Bima/CHF hata wa makundi maalum wanatumia kadi zao.Pia kufunga mifumo ya ki electronic kwa ajili ya kukusanyia mapato.Hii itasaidia kuboresha upatikanaji wa dawa na kutatua kero mbalimbali ikiwemo madeni/stahili za watumishi.

Kuboresha uhamasishaji, uchangiaji, upatikanaji wa fedha za tele kwa tele na matumizi ya fedha za uchangiaji wa Mfuko wa Bima ya Afya ya Jamii.

Kusimamia na kuhakikisha vituo vyote vinafikia nyota tatu ili viweze kutoa huduma bora kwa wagonjwa.

Kuhakikisha kuwa dawa na vifaa tiba zinakuwepo vituoni na kuhimiza Halmashauri pale dawa zinapokosekana katika Kitengo Taifa cha kuhifadhi dawa (MSD) basi dawa hizo zinanunuliwa kwa Mzabuni (Prime Vendor) aliyeteuliwa na Mkoa kwa kufuata taratibu za manunuzi.

Kuzisimamia Halmashauri pamoja na Hospitali za rufaa ili kuhakikisha wametenga fedha za kutosha kwa ajili ya kukarabati majengo,vifaa tiba na magari.

Kuzisimamia halmashauri ili kutenga bajeti kwa ajili ya  kuratibu na kuelimisha jamii jinsi  ya kuwahudumia na kuwatambua watoto walio katika mazingira  hatarishi, wazee na watu wenye ulemavu.

Kushirikiana na wadau mbalimbali ndani na nje ya Mkoa ili kusaidia kutatua baadhi ya changamoto.

 Kuimarisha upatikanaji wa watumishi wa afya

Matangazo

  • MATOKEO YA DARASA LA SABA 2024 October 30, 2024
  • TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI. May 13, 2025
  • View All

Habari Mpya

  • Vyama vya Ushirika Vyatakiwa Kutumia TEHAMA

    May 14, 2025
  • ZINGATIENI SHERIA, KATIBA NA KANUNI YA VYAMA VYENU - MUTUNGI.

    May 14, 2025
  • WANAFUNZI 214 WA KIDATO CHA KWANZA SEKONDARI ZA MONGOLA, MGETA WAPEWA MICHE 2140 YA MIKARAFUU

    May 13, 2025
  • RC MALIMA ATOA WITO KWA WANANCHI KUSHIRIKI MAADHIMISHO MIAKA 80 YA HOSPITALI, AMSHUKURU RAIS SAMIA.

    May 13, 2025
  • View All

Video

Mkuu wa Mkoa wa Morogoro Mhe. Adam Kighoma Malima akikagua ujenzi wa jengo la ofisi mpya ya Mkuu wa Mkoa.
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Maelezo ya Mkoa
  • Tangazo la Zabuni
  • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
  • Hotuba
  • Taarifa kwa Umma

Kurasa Mashuhuri

  • Tovuti ya Tanzania
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • TAMISEMI
  • Ikulu
  • Katibu Mkuu Kiongozi
  • Tovuti ya Ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Morogoro

    Sanduku la Posta: S.L.P 650 MOROGORO

    Simu: +2550232934305

    Simu: +255766828252

    Barua pepe: ras.morogoro@tamisemi.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki © 2024 Ofisi Ya Mkuu wa Mkoa Morogoro. Haki Zote Zimehifadhiwa.