• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
Mkoa wa Morogoro
Mkoa wa Morogoro

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Morogoro

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Maelezo ya Mkoa
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Sehemu na Vitengo
      • Utawala na Rasilimali
      • Serikali za Mitaa
      • Uhasibu na Fedha
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Sheria
      • TEHAMA
      • Afya
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Kitengo cha Habari na Mawasiliano Serikalini
  • Wilaya
    • Morogoro
    • Mvomero
    • Gairo
    • Kilosa
    • Kilombero
    • Ulanga
    • Malinyi
  • Halmashauri
    • Manispaa ya Morogoro
    • Morogoro DC
    • Mvomero
    • Gairo
    • Ulanga
    • Malinyi
    • Mlimba
    • Ifakara Mji
    • Kilosa
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uchimbaji wa Madini
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Kilimo
    • Huduma za Mifugo
    • Huduma za Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
    • Huduma za Ugavi
  • Machapisho
    • Miongozo Mbalimbali
    • Majarida
    • Fomu Mbalimbali
    • Ripoti mbalimbali
    • Mpango Mkakati
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Sheria Ndogo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Videos
    • Hotuba
    • Picha

Picha na Matukio.

Posted on: January 7th, 2021
  • PICHA NA MATUKIO.

Ni matukio mbalimbali yaliyotokea wakati Mkuu wa Mkoa wa Morogoro Martine Shigela akishiriki mabaraza ya madiwani yaliyokaa vikao maaluma kwa ajili ya kujibu hoja za Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali - CAG za mwaka wa fedha 2019/2020. Katika kushiriki Mabaraza hayo, Mhe. Shigela aliambatana na Katibu Tawala wa Mkoa huo Bi. Mariam Mtunguja pamoja na watumishi wengine wa Ofisi ya RC. 

RC Shigela (wa Nne kulia) akiwa katika picha ya pamoja na Wahe. Madiwani wa Halmashauri ya Wilaya ya Morogoro DC.

Baraza la Madiwani Halmashauri ya Wilaya ya Mlimba. wa nne kulia ni RC Shigela na kushoto kwake ni Katibu Tawala wa Mkoa huo Bi. Mariam Mtunguja.

Baraza la Madiwani la Halmashauri ya Wilaya ya Kilosa


Mhe. Shigela (aliyevaa tai) akiwa katika picha ya pamoja na baadhi ya viongozi wa Halmashauri ya Wilaya ya Gairo wakati wa Kikao Maalum cha Baraza la Madiwani.

Wahe. Madiwani wa Halmashauri ya Wilaya ya Mvomero wakimsikiliza RC Shigela wakati wa baraza hilo.



Katibu Tawala wa Mkoa wa Morogoro Bi. Mariam Mtunguja (wa kwanza kushoto) akiwa na Mwenyekiti wa CCM Mkoa katika baraza la Madiwani Halmashauri ya Manispaa ya Morogoro.


Baraza la Madiwani la Halmashauri ya Wilaya ya Ulanga.


Mhe. Shigela (wa nne kushoto) akiwa katika picha ya pamoja na baadhi ya viongozi wa Halmashauri ya Mji Ifakara wakati wa Kikao Maalum cha Baraza la Madiwani.



RC Shigela akisalimiana na Mkuu wa Wilaya ya Malinyi Mathayo Maselle kabla ya kuanza kwa baraza maalum la Wahe. Madiwani wa Halmashauri ya Wilaya hiyo.




Matangazo

  • MATOKEO YA DARASA LA SABA 2024 October 30, 2024
  • View All

Habari Mpya

  • RC MALIMA AKEMEA ULANGUZI WA MAZAO.

    May 08, 2025
  • WAAJIRI MOROGORO WATAKIWA KUTATUA CHANGAMOTO ZA WAFANYA KAZI WAO.

    May 01, 2025
  • SERIKALI KUJENGA BARABARA YA LUPILO – MALINYI KWA KIWANGO CHA LAMI, Bil. 18 ZATOLEWA KUJENGA MADARAJA MAWILI.

    April 25, 2025
  • MWENGE WA UHURU 2025 WATAJA TUNU NNE ZA TAIFA.

    April 19, 2025
  • View All

Video

Mkuu wa Mkoa wa Morogoro Mhe. Adam Kighoma Malima akikagua ujenzi wa jengo la ofisi mpya ya Mkuu wa Mkoa.
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Maelezo ya Mkoa
  • Tangazo la Zabuni
  • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
  • Hotuba
  • Taarifa kwa Umma

Kurasa Mashuhuri

  • Tovuti ya Tanzania
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • TAMISEMI
  • Ikulu
  • Katibu Mkuu Kiongozi
  • Tovuti ya Ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Morogoro

    Sanduku la Posta: S.L.P 650 MOROGORO

    Simu: +2550232934305

    Simu: +255766828252

    Barua pepe: ras.morogoro@tamisemi.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki © 2024 Ofisi Ya Mkuu wa Mkoa Morogoro. Haki Zote Zimehifadhiwa.