Maadhimisho ya kilele cha siku ya wanawake duniani yamepamba moto. Mkoani Morogoro maadhimisho hayo yanafanyika Wilayani Gairo

Hawa ni baadhi ya tu ya akina mama wakiwa kwenye maandamano Leo tarehe 8, machi 2023

Hawa ni baadhi tu ya akina mama wakiwa kwenye maandamano hayo ya kusherekea maadhimisho



Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Morogoro
Sanduku la Posta: S.L.P 650 MOROGORO
Simu: +2550232934305
Simu: +255719112299
Barua pepe: ras.morogoro@tamisemi.go.tz
Haki Miliki © 2024 Ofisi Ya Mkuu wa Mkoa Morogoro. Haki Zote Zimehifadhiwa.