• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
Mkoa wa Morogoro
Mkoa wa Morogoro

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Morogoro

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Maelezo ya Mkoa
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Sehemu na Vitengo
      • Utawala na Rasilimali
      • Serikali za Mitaa
      • Uhasibu na Fedha
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Sheria
      • TEHAMA
      • Afya
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Kitengo cha Habari na Mawasiliano Serikalini
  • Wilaya
    • Morogoro
    • Mvomero
    • Gairo
    • Kilosa
    • Kilombero
    • Ulanga
    • Malinyi
  • Halmashauri
    • Manispaa ya Morogoro
    • Morogoro DC
    • Mvomero
    • Gairo
    • Ulanga
    • Malinyi
    • Mlimba
    • Ifakara Mji
    • Kilosa
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uchimbaji wa Madini
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Kilimo
    • Huduma za Mifugo
    • Huduma za Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
    • Huduma za Ugavi
  • Machapisho
    • Miongozo Mbalimbali
    • Majarida
    • Fomu Mbalimbali
    • Ripoti mbalimbali
    • Mpango Mkakati
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Sheria Ndogo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Videos
    • Hotuba
    • Picha

KUELEKEA UCHAGUZI MKUU, RC MALIMA ASEMA MOROGORO IKO SHWARI, AHIMIZA WANANCHI WALIOJIANDIKISHA KWENDA KUPIGA KURA

Posted on: October 28th, 2025



Zaidi ya wananchi 2.1Mil. Mkoani Morogoro waliojiandikisha kupiga kura, kesho Oktoba 29, 2025 wanatarajia kupiga kura ya kuchagua Madiwani, Wabunge na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania huku Mkuu wa Mkoa huo Mhe. Adam Kighoma Malima akibainisha kuwa hali ya Ulizi na Usalama ndani ya Mkoa huo iko shwari.


Mhe. Malima amebainisha hayo leo Oktoba 28, 2025 wakati wa Mkutano wake na waandishi wa habari uliofanyika katika ukumbi wa mikutano wa ofisi ya Mkuu wa Mkoa na kuzungumzia maandalizi ya uchaguzi wa kesho wenye kaulimbiu ya "kura yako haki yako, jitokeze kupiga kura".


Amesema, hali ya ulinzi na usalama ndani ya Mkoa umeimarishwa katika kukabiliana na wanaotaka kuleta vurugu huku akisisitiza wananchi wote 2, 114,052 waliojiandikisha  kujitokeza kwa wingi kupiga kura ili kutimiza haki yao ya msingi na ya kikatiba ya kuchagua na kuchaguliwa kwa maslahi mapana ya Taifa.


".. Nataka niwahakikishie wanamorogoro wenzangu kwamba nendeni mkapige kura tuko vizuri....kwenye upande wa ulinzi na usalama.." amesema Mhe. Adam Malima


Aidha amesema, Mkoa huo ulifanya vizuri katika zoezi la uandikishaji wa wapiga kura, sanjali na zoezi la kuboresha taarifa za Mpiga Kura na kubainisha kuwa Mkoa huo una jumla ya vituo vya kupigia kura 5,860 ambapo Vituo hivyo vimeandaliwa vizuri na viko tayari kwa ajili ya siku ya uchaguzi wa Octoba 29, 2025.


Katika hatua nyingine Malima amebainisha kuwa vituo vya kupigia kura vitafunguliwa kuanzia Saa 1:00 asubuhi na kufungwa saa 10:00 Jioni na kutoa wito kwa wananchi wenye sifa ya kupiga kura kuwahi kwenda kupiga kura na kuwaonyo wenye nia ya kuleta vurugu wakati wa zoezi hilo kuwa watachukulia hatua kali za kisheria.


Kwa upande wake Katibu Tawala wa Mkoa huo Kamishna mstaafu wa jeshi la Polisi Alhaji Dkt. Mussa Ali Mussa amezungumzia jografia ya Mkoa huo na kwamba mazingira hayo yanaweza kusababisha ucheleweshwaji wa taarifa za matokeo ya upigaji kura kwa baadhi ya maeneo, muhim ni wananchi na waandishi wa habari kuwa na subira.


Mwisho.

Matangazo

  • MATOKEO YA DARASA LA SABA 2024 October 30, 2024
  • TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI. May 13, 2025
  • View All

Habari Mpya

  • RC MALIMA AWASHUKURU VIONGOZI WA DINI, WANA MOROGORO WOTE

    November 04, 2025
  • KUELEKEA UCHAGUZI MKUU, RC MALIMA ASEMA MOROGORO IKO SHWARI, AHIMIZA WANANCHI WALIOJIANDIKISHA KWENDA KUPIGA KURA

    October 28, 2025
  • Morogoro kuimarisha ushirikiano na Zanzibar katika nyanja ya kilimo

    October 16, 2025
  • Morogoro kuanzisha jarida la programu ya PJT–MMMAM

    September 30, 2025
  • View All

Video

Mkuu wa Mkoa wa Morogoro Mhe. Adam Kighoma Malima akikagua ujenzi wa jengo la ofisi mpya ya Mkuu wa Mkoa.
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Maelezo ya Mkoa
  • Tangazo la Zabuni
  • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
  • Hotuba
  • Taarifa kwa Umma

Kurasa Mashuhuri

  • Tovuti ya Tanzania
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • TAMISEMI
  • Ikulu
  • Katibu Mkuu Kiongozi
  • Tovuti ya Ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Morogoro

    Sanduku la Posta: S.L.P 650 MOROGORO

    Simu: +2550232934305

    Simu: +255766828252

    Barua pepe: ras.morogoro@tamisemi.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki © 2024 Ofisi Ya Mkuu wa Mkoa Morogoro. Haki Zote Zimehifadhiwa.

  • AXL777
  • AXL777
  • AXL777
  • AXL777
  • AERO88
  • YAMITOTO
  • DORA77
  • DORA77
  • DORA77
  • YAMITOTO
  • Toto Slot Gacor
  • AXL777
  • AERO88
  • AXL777
  • Slot Gacor
  • Situs Slot Gacor
  • Toto Togel
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Slot Gacor
  • Situs Toto Online
  • Situs Toto
  • AXL777
  • YAMITOTO
  • NABITOTO
  • YAMITOTO
  • UFABET
  • KOI200
  • KOI200
  • KOI200