• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
Mkoa wa Morogoro
Mkoa wa Morogoro

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Morogoro

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Maelezo ya Mkoa
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Sehemu na Vitengo
      • Utawala na Rasilimali
      • Serikali za Mitaa
      • Uhasibu na Fedha
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Sheria
      • TEHAMA
      • Afya
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Kitengo cha Habari na Mawasiliano Serikalini
  • Wilaya
    • Morogoro
    • Mvomero
    • Gairo
    • Kilosa
    • Kilombero
    • Ulanga
    • Malinyi
  • Halmashauri
    • Manispaa ya Morogoro
    • Morogoro DC
    • Mvomero
    • Gairo
    • Ulanga
    • Malinyi
    • Mlimba
    • Ifakara Mji
    • Kilosa
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uchimbaji wa Madini
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Kilimo
    • Huduma za Mifugo
    • Huduma za Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
    • Huduma za Ugavi
  • Machapisho
    • Miongozo Mbalimbali
    • Majarida
    • Fomu Mbalimbali
    • Ripoti mbalimbali
    • Mpango Mkakati
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Sheria Ndogo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Videos
    • Hotuba
    • Picha

Michezo ya Majeshi Tanzania (BAMMATA) kufanyika Morogoro

Posted on: August 17th, 2024

Baraza la Michezo ya Majeshi hapa nchini (BAMMATA) linatarajia kuanza kutimua vumbi Mkoani Morogoro kuanzia Septemba 6 hadi 15 mwaka huu ambapo mashindano ya michezo mbalimbali itafanyika na zaidi ya wanamichezo 1300 kutoka Kanda 8 za michezo hiyo hapa nchini watashiriki mashindano hayo.

Hayo yamebainishwa Agosti 17, mwaka huu na Mwenyekiti wa BAMMATA Brigedia Jenerali Said Hamis Said katika kikao na Mkuu wa Mkoa wa Morogoro Mhe. Adam Kighoma Malima kilichofanyika kwenye ukumbi wa mikutano wa ofisi yake kikiwa na lengo la kujitambulisha na kutoa adhima ya kusudio la kuanzisha mashindano hayo Mkoani humo.

Akifafanua zaidi Brigedia Jenerali Said Hamis amesema mashindano hayo yatajumiisha kanda 8 ambazo ni Ngome, Ngome visiwani, polisi, magereza, ujamiaji, zimamoto, Jeshi la Kujenga Taifa (JKT) na Vikosi maalum vya Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar katika kushiriki michezo mbalimbali Mkoani humo.

"... sisi kama Baraza la michezo la majeshi tumeona tuje Morogoro tuwe sehemu ya kuimarisha Ulinzi na Usalama kwa kuwakutanisha wanausalama wote kupitia michezo..." Amesema Brigedia Jenerali huyo

Kwa upande wake, Mhe. Adam Kighoma Malima ambaye ni Mkuu wa Mkoa wa Morogoro amesema michezo huunganisha wananchi wote kuwa sehemu moja bila kujali chama, kabila hata tofauti zao hivyo amevipongeza vyombo vya Ulinzi na Usalama kwa kuanzisha mashindano hayo Mkoani humo.

Aidha, amesema mashindano hayo yana manufaa makubwa katika kuimarisha umoja wa kitaifa na kimataifa katika kuleta ushirikiano baina ya majeshi na wananchi sambamba na kuimarisha Ulinzi na Usalama  na ustawi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania..

Hata hivyo Mhe. Adam Malima ameyataka mashindano hayo kuwa daraja la kubaini vipaji vilivyo ndani ya majeshi hayo na kuendelezwa ili kupata wanamichezo watakaoiwakilisha nchi katika mashindano ya kimataifa kwa sababu hiyo amewataka wananchi wa Mkoa huo kujitokeza kwa wingi kushiriki michezo hiyo ili kuwapa nguvu majeshi yao na kujifunza michezo itakayochezwa.

Mashindano hayo yanayoratibiwa na BAMMATA hufanyika kila mwaka ambapo mwaka 2023 yalifanyika Mkoa wa Mtwara na mwaka 2024 kufanyika Mkoani Morogoro ambapo michezo inayotarajiwa kuwepo ni pamoja na mpira wa Miguu, mpira wa pete, mpira wa kikapu, mpira wa wavu, riadha na shabaha


Mwisho.



Matangazo

  • MATOKEO YA DARASA LA SABA 2024 October 30, 2024
  • TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI. May 13, 2025
  • View All

Habari Mpya

  • Zaidi ya Mil. 125 zachangwa kupitia chakula cha hisani kukarabati Hospitali ya Rufaa Morogoro.

    May 18, 2025
  • RC MALIMA ASHIRIKI MATEMBEZI YA HISANI, ASEMA HOSPITALI YA RUFAA INAHIMILI WAGONJWA.

    May 17, 2025
  • VYAMA VYA SIASA NCHINI VYATAHADHARISHWA

    May 15, 2025
  • RC MALIMA ATAKA VYAMA VYA USHIRIKA VYA WAFUGAJI

    May 15, 2025
  • View All

Video

Mkuu wa Mkoa wa Morogoro Mhe. Adam Kighoma Malima akikagua ujenzi wa jengo la ofisi mpya ya Mkuu wa Mkoa.
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Maelezo ya Mkoa
  • Tangazo la Zabuni
  • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
  • Hotuba
  • Taarifa kwa Umma

Kurasa Mashuhuri

  • Tovuti ya Tanzania
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • TAMISEMI
  • Ikulu
  • Katibu Mkuu Kiongozi
  • Tovuti ya Ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Morogoro

    Sanduku la Posta: S.L.P 650 MOROGORO

    Simu: +2550232934305

    Simu: +255766828252

    Barua pepe: ras.morogoro@tamisemi.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki © 2024 Ofisi Ya Mkuu wa Mkoa Morogoro. Haki Zote Zimehifadhiwa.