• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
Mkoa wa Morogoro
Mkoa wa Morogoro

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Morogoro

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Maelezo ya Mkoa
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Sehemu na Vitengo
      • Utawala na Rasilimali
      • Serikali za Mitaa
      • Uhasibu na Fedha
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Sheria
      • TEHAMA
      • Afya
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Kitengo cha Habari na Mawasiliano Serikalini
  • Wilaya
    • Morogoro
    • Mvomero
    • Gairo
    • Kilosa
    • Kilombero
    • Ulanga
    • Malinyi
  • Halmashauri
    • Manispaa ya Morogoro
    • Morogoro DC
    • Mvomero
    • Gairo
    • Ulanga
    • Malinyi
    • Mlimba
    • Ifakara Mji
    • Kilosa
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uchimbaji wa Madini
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Kilimo
    • Huduma za Mifugo
    • Huduma za Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
    • Huduma za Ugavi
  • Machapisho
    • Miongozo Mbalimbali
    • Majarida
    • Fomu Mbalimbali
    • Ripoti mbalimbali
    • Mpango Mkakati
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Sheria Ndogo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Videos
    • Hotuba
    • Picha

MASHINA YA MIGOMBA NI UTAJIRI ULIOPINDUKIA - RAS MOROGORO .

Posted on: June 22nd, 2024


Wananchi wa Wilaya za Mlimba na Morogoro Vijijini Mkoani Morogoro wameshauriwa kutumia nyuzi zinazotokana na mashina ya migomba kama chanzo cha kujipatia kipato ndani ya familia na kuinua mapato ya halmashauri hizo kwa kutumia nyuzi za migomba kutengeneza vifaa mbalimbali, kuviuza na kuratibu fursa hiyo kuwa ajira kwa vijana.

Ushauri huo umetolewa Juni 20, 2024 na Katibu Tawala wa Mkoa wa Morogoro Alhaji Dkt. Mussa Ali Mussa wakati wa Kikao cha Baraza la Madiwani wa Halmashauri ya Wilaya ya Mlimba na halmashauri ya Wilaya ya Malinyi wakati wa kujadili hoja za Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Serikali (CAG) baada ya kupewa nafasi ya kutoa salamu katika vikao hivyo.

Amesema, Migomba imekuwa hatumiki kwa chochote katika halmashauri hizo ambazo zina utajiri mkubwa wa zao hilo bila kujua kuwa migomba hiyo ni utajiri uliopindukia kwa kuwa inatoa nyuzi zinazoweza kutengeneza vifaa mbalimbali vikiwemo vikapu, mikoba, mikeka, vitambaa na hata taulo za kike.

“Tuliloligundua na wataalamu wangu, migomba ni utajiri uliopindukia na tukijipanga vizuri utaweza kusaidia kunyanyua mapato..” amesisitiza Dkt. Mussa.

Kwa sababu hiyo, Katibu Tawala huyo amezishauri Halmashauri za Morogoro DC na Mlimba na Maeneo mengine yanayostawisha zao hilo kutotupa migomba hiyo badala yake wachangamkie fursa hiyo kuitumia kama moja ya chanzo cha kukuza mapato ya Halmashauri na kukuza Uchumi wa jamii inayowazunguka.

Aidha, Dkt. Mussa Ali Mussa amebainisha kuwa mashine inayotumika kutengeneza bidhaa hizo zinazotokana na migomba ikiwemo mikoba, vikapu, mikeka, nguo n.k. kwa kutumia nyuzi zake inapatikana Chuo  cha Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi - VETA Mikumi, Wilayani Kilosa Mkoani Morogoro kwa bei ndogo ya shilingi 1.2 Mil.


MWISHO

Matangazo

  • MATOKEO YA DARASA LA SABA 2024 October 30, 2024
  • TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI. May 13, 2025
  • View All

Habari Mpya

  • MSEMAJI MKUU WA SERIKALI AWATAKA MAAFISA HABARI KUFANYA KAZI ZAO KIMKAKATI.

    May 26, 2025
  • MWAROBAINI WA CHANGAMOTO YA MAJI MOROGORO HII HAPA, RC MALIMA ATOA MAAGIZO.

    May 24, 2025
  • UZALISHAJI WA MAZIWA KUCHANGIA BIL. 18 KWA MWAKA MOROGORO

    May 23, 2025
  • MAAFISA HABARI TOENI UFAFANUZI DHIDI YA UPOTOSHAJI- MCHENGERWA

    May 23, 2025
  • View All

Video

Mkuu wa Mkoa wa Morogoro Mhe. Adam Kighoma Malima akikagua ujenzi wa jengo la ofisi mpya ya Mkuu wa Mkoa.
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Maelezo ya Mkoa
  • Tangazo la Zabuni
  • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
  • Hotuba
  • Taarifa kwa Umma

Kurasa Mashuhuri

  • Tovuti ya Tanzania
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • TAMISEMI
  • Ikulu
  • Katibu Mkuu Kiongozi
  • Tovuti ya Ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Morogoro

    Sanduku la Posta: S.L.P 650 MOROGORO

    Simu: +2550232934305

    Simu: +255766828252

    Barua pepe: ras.morogoro@tamisemi.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki © 2024 Ofisi Ya Mkuu wa Mkoa Morogoro. Haki Zote Zimehifadhiwa.