• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
Mkoa wa Morogoro
Mkoa wa Morogoro

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Morogoro

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Maelezo ya Mkoa
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Sehemu na Vitengo
      • Utawala na Rasilimali
      • Serikali za Mitaa
      • Uhasibu na Fedha
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Sheria
      • TEHAMA
      • Afya
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Kitengo cha Habari na Mawasiliano Serikalini
  • Wilaya
    • Morogoro
    • Mvomero
    • Gairo
    • Kilosa
    • Kilombero
    • Ulanga
    • Malinyi
  • Halmashauri
    • Manispaa ya Morogoro
    • Morogoro DC
    • Mvomero
    • Gairo
    • Ulanga
    • Malinyi
    • Mlimba
    • Ifakara Mji
    • Kilosa
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uchimbaji wa Madini
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Kilimo
    • Huduma za Mifugo
    • Huduma za Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
    • Huduma za Ugavi
  • Machapisho
    • Miongozo Mbalimbali
    • Majarida
    • Fomu Mbalimbali
    • Ripoti mbalimbali
    • Mpango Mkakati
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Sheria Ndogo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Videos
    • Hotuba
    • Picha

Maelezo ya Mkoa

Utangulizi:

Wakati Tanganyika inapata uhuru wake tarehe 9 Desemba 1961, Mkoa wa Morogoro ilikuwa ni Sehemu ya Jimbo la Mashariki. Jimbo hilo lilijumuisha Mikoa ya sasa ya Dar es Salaam, Pwani na Morogoro.

Makao Makuu ya Jimbo yalikuwa Morogoro mjini ambapo pia Mkuu wa Jimbo aliweka makazi na Ofisi yake hapo. Mbunge wa kwaza Mwafrika kuongoza Jimbo hilo alikuwa hayati Mwalimu Julius Kambarage Nyerere.

Mkoa wa Morogoro ulianza rasmi mwaka 1962 ukiwa na Wilaya tatu ambazo ni Morogoro Kilosa na Ulanga. Ni Mkoa wa pili kwa ukubwa hapa nchini kwa sasa ukitanguliwa na Mkoa wa Tabora.

Mipaka na ukubwa wa Mkoa

Mkoa wa Morogoro ni Mkoa wa pili kwa ukubwa nchini ukitanguliwa na Mkoa wa Tabora. Mkoa una eneo la kilometa za mraba 73,039. Eneo hili ni sawa na asilimia 7.7 ya eneo lote la Tanzania Bara, kati ya eneo hili Km2 2,240 ni eneo la maji. Mkoa umepakana na Mikoa ya Pwani na Lindi kwa upande wa Mashariki, Manyara na Tanga kwa upande wa Kaskazini na kwa upande wa Magharibi umepakana na Mikoa ya Dodoma na Iringa na Upande wa Kusini unapakana na Mkoa wa Ruvuma na Njombe.

Hali ya Hewa

Mkoa hupata mvua mara mbili kwa mwaka. Mvua za vuli hunyesha kuanzia mwezi Oktoba hadi katikati ya mwezi Januari, na mvua za masika hunyesha katikati ya mwezi Februari na kuishia mwezi Mei mwishoni. Kiwango cha mvua ni kati ya milimita 600 katika sehemu za tambarare na milimita 1,200 katika miinuko. Hata hivyo, zipo sehemu zilizo na ukame ambazo hupata mvua chini ya milimita 600 kwa mwaka. Sehemu hizo ni pamoja na Tarafa za Gairo katika wilaya ya Gairo, Mamboya katika Wilaya ya Kilosa na Tarafa ya Ngerengere katika Wilaya ya Morogoro.

Utawala

Mkoa wa Morogoro kiutawala umegawanyika katika Wilaya saba ambazo ni Wilaya za Morogoro, Mvomero, Kilosa, Kilombero, Ulanga, Malinyi na Gairo.

Kufuatana na Muundo wa Serikali za Mitaa Mkoa una Halmashauri saba za Wilaya na Halmashauri ya Manispaa moja na halmashauri ya Mji wa Ifakara. Halmashauri za Wilaya ni pamoja na Kilosa, Gairo, Kilombero, Morogoro, Ulanga, Mvomero na Malinyi. Mkoa una majimbo ya Uchaguzi 11, Kata 214, Vijiji 673, Mitaa 295, vitongoji 3,452

Idadi ya watu

Kwa mujibu wa matokeo ya Sensa ya Watu na Makazi ya mwaka 2022 idadi ya kaya za Mkoa wa Morogoro ni 489,688 zenye watu 3,197,104 ambapo kati yao wanawake ni 1, 617,235 sawa asilimia  na wanaume ni 1,579,869. sawa na asilimia . Wastani wa idadi ya watu katika Kaya ni


               WAKUU WA MKOA WA MOROGORO TANGU UHURU MWAKA 1961 

NA.

JINA

KUANZIA

KUISHIA

1.
Mhe. Suleimani Kitundu (Mb)
1962
1963
2.
Mhe. Chifu Humbi Ziota (Mb)
1963
1964
3.
Mhe. Joseph Kapilima (Mb)
1964
1965
4.
Mhe. Edward Barongo (Mb)
1965
1968
5.
Mhe. Joseph Namata (Mb)
1968
1971
6.
Mhe. Anselm Lyanda (Mb)
1971
1976
7.
Mhe. Anna Margareth Abdallah (Mb)
1976
1982
8.
Mhe.  Chrisant Majiyatanga Mzindakaya (Mb)
1982
1986
9.
Mhe. John A. Mhavile (Mb)
1986
1990
10
Mhe. Mustafa Nyang’anyi (Mb)
1990
1991
11
Mhe. Yusufu Rajabu Makamba (Mb)
1991
1993
12
Mhe. Guntram Mkolokoti Aman Itatiro
1993
1995
13
Mhe. Ahmed Mayanja Katorogo Kiwanuka
1995
1996
14
Dkt. Lawrence Mtazama Gama (Mb)
1996
2000
15
Mhe. Alhaji Mussa Sekume kinanga Nkangaa
2000
2003
16
Mhe. Stephen Joshua Mashishanga (Mnec)
2003
2006
17
Mhe. Said bin Said Kalembo (Meja Jeneral Mstaafu)
2006
2009
18
Mhe. Issa Salehe Machibya
(Luteni Kanali Mstaafu)
2009
2011
19
Mhe.  Joel Nkaya Bendera
2011
2014
20
Mhe. Rajab Mtumwa Rutengwe
2014
2016
21
Mhe. Kebwe Steven Kebwe
2016
2019
22 Mhe. Loata Erasto Olesanare 2019 2021
23 Mhe. Martine Reuben Shigela 2021 2022
24 Mhe. Fatma Abubakari Mwassa 2022 2023
25 Mhe. Adam Kighoma Malima 2023 hadi sasa

 

MAKATIBU TAWALA WA MIKOA WALIOONGOZA MKOA WA MOROGORO TANGU 1997

NA JINA KUANZIA KUISHIA
1 Bi. Ndeshukurwa A. Sumari 1997 2001
2 Bw. Paul Chikira 2001 2005
3 Bw. Daud Mfwangavo 2005 2006
4 Bw. Godfrey Ngaleya 2006 2009
5 Bw. Hussein A. Kattanga 2009 2010
6 Bi. Mgeni S. Baruani 2010 2012
7 Bw. Eliya N. Ntandu 2012 2016
8 Dr. John S. Ndunguru 2016 2017
9 Bw. Clifford K. Tandali 2017 2019
10 Eng. Emmanuel N. M. Kalobelo 2019 2021
11 Bi. Mariam Mtunguja 2021 2022
12 Dr. Mussa Ali Mussa 2022 hadi sasa

 

Matangazo

  • MATOKEO YA DARASA LA SABA 2024 October 30, 2024
  • TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI. May 13, 2025
  • View All

Habari Mpya

  • MSEMAJI MKUU WA SERIKALI AWATAKA MAAFISA HABARI KUFANYA KAZI ZAO KIMKAKATI.

    May 26, 2025
  • MWAROBAINI WA CHANGAMOTO YA MAJI MOROGORO HII HAPA, RC MALIMA ATOA MAAGIZO.

    May 24, 2025
  • UZALISHAJI WA MAZIWA KUCHANGIA BIL. 18 KWA MWAKA MOROGORO

    May 23, 2025
  • MAAFISA HABARI TOENI UFAFANUZI DHIDI YA UPOTOSHAJI- MCHENGERWA

    May 23, 2025
  • View All

Video

Mkuu wa Mkoa wa Morogoro Mhe. Adam Kighoma Malima akikagua ujenzi wa jengo la ofisi mpya ya Mkuu wa Mkoa.
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Maelezo ya Mkoa
  • Tangazo la Zabuni
  • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
  • Hotuba
  • Taarifa kwa Umma

Kurasa Mashuhuri

  • Tovuti ya Tanzania
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • TAMISEMI
  • Ikulu
  • Katibu Mkuu Kiongozi
  • Tovuti ya Ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Morogoro

    Sanduku la Posta: S.L.P 650 MOROGORO

    Simu: +2550232934305

    Simu: +255766828252

    Barua pepe: ras.morogoro@tamisemi.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki © 2024 Ofisi Ya Mkuu wa Mkoa Morogoro. Haki Zote Zimehifadhiwa.