• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
Mkoa wa Morogoro
Mkoa wa Morogoro

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Morogoro

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Maelezo ya Mkoa
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Sehemu na Vitengo
      • Utawala na Rasilimali
      • Serikali za Mitaa
      • Uhasibu na Fedha
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Sheria
      • TEHAMA
      • Afya
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Kitengo cha Habari na Mawasiliano Serikalini
  • Wilaya
    • Morogoro
    • Mvomero
    • Gairo
    • Kilosa
    • Kilombero
    • Ulanga
    • Malinyi
  • Halmashauri
    • Manispaa ya Morogoro
    • Morogoro DC
    • Mvomero
    • Gairo
    • Ulanga
    • Malinyi
    • Mlimba
    • Ifakara Mji
    • Kilosa
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uchimbaji wa Madini
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Kilimo
    • Huduma za Mifugo
    • Huduma za Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
    • Huduma za Ugavi
  • Machapisho
    • Miongozo Mbalimbali
    • Majarida
    • Fomu Mbalimbali
    • Ripoti mbalimbali
    • Mpango Mkakati
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Sheria Ndogo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Videos
    • Hotuba
    • Picha

MWENYEKITI WA CCM MKOA WA MOROGORO AMJIA JUU MKANDARASI

Posted on: October 5th, 2024

Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Morogoro Mhandisi Joseph Masunga amekasilishwa na utendaji kazi usioridhisha wa mkandarasi anayejenga Barabara ya Mfunguakinywa iliyopo Manispaa ya Morogoro na kumuagiza mkandarasi huyo kukamilisha kazi hiyo kabla au ifikapo Novemba Mwaka huu.


Mhandisi Masunga ametoa agizo hilo Oktoba 5, 2024  wakati wa ziara yake pamoja na wajumbe wa kamati ya siasa ya Halmashauri kuu ya Mkoa huo iliyolenga kutembelea miradi ya maendeleo inayotekelezwa ndani ya Halmashauri ya Manispaa ya Morogoro.

Mwenyekiti huyo amesema, mradi huo utakaogharimu shilingi Mil. 464 ulipashwa kukamilika Oktoba 8, Mwaka huu, hadi sasa haujakamilika na kutakiwa kuomba muda wa nyongeza ili kukamilisha, huku akiagizwa kutotoa kisingizio chochote cha kutokamilisha kazi hiyo ifikapo Novemba 2024, badala yake akabidhi mradi huo kwa wananchi ili waanze kuutumia.

“…umepewa barabara ya kipande cha mita 350, mwaka mzima mimi naona bado kasi yako ni ndogo hairidhishi sasa tukija hapa mwezi Novemba mradi huu uwe umekamilika…” ameagiza Mwenyekiti huyo wa CCM.

Katika hatua nyingine, Mhandisi Masunga amewapongeza wasimamizi wa ujenzi wa madarasa 8 na matundu 8 ya vyoo vya shule ya sekondari Mkundi Mlimani kwa usimamizi thabiti na kumaliza ujenzi huo kwa wakati na kuwataka Walimu wa shule hiyo kutekeleza majukumu yao kwa weledi na kutoa elimu bora kwa wanafunzi wa shule hiyo.

Kwa upande wake msimamizi wa mradi wa Barabara ya Mfunguakinywa Mhandisi Mboka Mkwela  amesema mpaka sasa mradi huo umefikia asilimia 45 na kudokeza kuwa baada ya kukamilika, barabara hiyo itarahisisha usafiri na usafirishaji kwa wananchi wa Manispaa ya  Morogoro na watumiaji wengine lakini pia itakuwa njia mbadala ya kutoka mjini kati kwenda stendi ya mabasi ya Msamvu. 

Mwisho








Matangazo

  • MATOKEO YA DARASA LA SABA 2024 October 30, 2024
  • TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI. May 13, 2025
  • View All

Habari Mpya

  • MSEMAJI MKUU WA SERIKALI AWATAKA MAAFISA HABARI KUFANYA KAZI ZAO KIMKAKATI.

    May 26, 2025
  • MWAROBAINI WA CHANGAMOTO YA MAJI MOROGORO HII HAPA, RC MALIMA ATOA MAAGIZO.

    May 24, 2025
  • UZALISHAJI WA MAZIWA KUCHANGIA BIL. 18 KWA MWAKA MOROGORO

    May 23, 2025
  • MAAFISA HABARI TOENI UFAFANUZI DHIDI YA UPOTOSHAJI- MCHENGERWA

    May 23, 2025
  • View All

Video

Mkuu wa Mkoa wa Morogoro Mhe. Adam Kighoma Malima akikagua ujenzi wa jengo la ofisi mpya ya Mkuu wa Mkoa.
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Maelezo ya Mkoa
  • Tangazo la Zabuni
  • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
  • Hotuba
  • Taarifa kwa Umma

Kurasa Mashuhuri

  • Tovuti ya Tanzania
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • TAMISEMI
  • Ikulu
  • Katibu Mkuu Kiongozi
  • Tovuti ya Ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Morogoro

    Sanduku la Posta: S.L.P 650 MOROGORO

    Simu: +2550232934305

    Simu: +255766828252

    Barua pepe: ras.morogoro@tamisemi.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki © 2024 Ofisi Ya Mkuu wa Mkoa Morogoro. Haki Zote Zimehifadhiwa.