• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
Mkoa wa Morogoro
Mkoa wa Morogoro

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Morogoro

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Maelezo ya Mkoa
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Sehemu na Vitengo
      • Utawala na Rasilimali
      • Serikali za Mitaa
      • Uhasibu na Fedha
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Sheria
      • TEHAMA
      • Afya
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Kitengo cha Habari na Mawasiliano Serikalini
  • Wilaya
    • Morogoro
    • Mvomero
    • Gairo
    • Kilosa
    • Kilombero
    • Ulanga
    • Malinyi
  • Halmashauri
    • Manispaa ya Morogoro
    • Morogoro DC
    • Mvomero
    • Gairo
    • Ulanga
    • Malinyi
    • Mlimba
    • Ifakara Mji
    • Kilosa
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uchimbaji wa Madini
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Kilimo
    • Huduma za Mifugo
    • Huduma za Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
    • Huduma za Ugavi
  • Machapisho
    • Miongozo Mbalimbali
    • Majarida
    • Fomu Mbalimbali
    • Ripoti mbalimbali
    • Mpango Mkakati
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Sheria Ndogo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Videos
    • Hotuba
    • Picha

RAS Morogoro awataka wakulima kutunza teknolojia ya Kilimo

Posted on: July 29th, 2024

Katibu Tawala wa Mkoa wa Morogoro Dkt. Mussa Ali Mussa amewataka wakulima kutunza na kuendeleza teknolojia walizojifunza na kuzitumia katika maeneo yao kwa ajili ya maslahi mapana kwa jamii na Taifa Zima.


Dkt. Mussa amesema hayo Julai 29, 2023 wakati wa hafla ndogo ya mavuno katika kijiji cha Mtego wa Simba kwa kushirikiana na Chuo kikuu cha kilimo cha China ikiwa na lengo la kusherehekea mafanikio ya mradi wa kilimo cha soya.


akifafanua zaidi Dkt. Mussa amesema Jamii inapaswa kutambua mchango wa Chuo hicho katika sekta ya kilimo na kuwataka wakulima Kutumia rasilimali zilizopo yakiwemo maeneo yao madogo kupata mazao mengi kulingana na teknolojia walizojifunza.


"...kwa hii teknolojia mliojifunza mnatakiwa kuitunza na kuendeleza kwa manufaa yenu kwa kutumia rasilimali zilizopo..." amesema Dkt. Mussa Ali Mussa.


Sambamba na hilo, Dkt. Mussa amesema mradi wa soya una mafunzo makubwa sana na inatakiwa kuendeleza kwa ajili ya kupata manufaa zaidi katika jamii zetu.


katika hatua nyingine, Katibu Tawala huyo amesema Mkoa wa Morogoro ni Mkoa tajiri katika mazao mengi likiwemo zao la ndizi kwani migomba ni mali kuliko ndizi ambayo  hutengeza nyuzi ngumu kufuma mikoba, mikeka, mazulia na pedi za kike.


Kwa upande wake, Prof. Tang Lixia wa Chuo Kikuu cha Kilimo cha China amesema wana mpango wa kuanzisha mradi wa lishe ya soya shule za Kijiji hicho kwani watoto ni nguvu kazi ya Taifa la kesho, hivyo kukabiliana na tatizo la lishe ni muhimu kwa jamii na Taifa Zima.


Naye, Dkt. Rozalia Rwegasira Katibu Tawala msaidizi sehemu ya uchumi na uzalishaji Mkoa wa Morogoro amesema mradi huo umekuwa na Maendeleo makubwa hasa katika kuwapatia kipato na kujikwamua kiuchumi.


mwisho.




Matangazo

  • MATOKEO YA DARASA LA SABA 2024 October 30, 2024
  • TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI. May 13, 2025
  • View All

Habari Mpya

  • MSEMAJI MKUU WA SERIKALI AWATAKA MAAFISA HABARI KUFANYA KAZI ZAO KIMKAKATI.

    May 26, 2025
  • MWAROBAINI WA CHANGAMOTO YA MAJI MOROGORO HII HAPA, RC MALIMA ATOA MAAGIZO.

    May 24, 2025
  • UZALISHAJI WA MAZIWA KUCHANGIA BIL. 18 KWA MWAKA MOROGORO

    May 23, 2025
  • MAAFISA HABARI TOENI UFAFANUZI DHIDI YA UPOTOSHAJI- MCHENGERWA

    May 23, 2025
  • View All

Video

Mkuu wa Mkoa wa Morogoro Mhe. Adam Kighoma Malima akikagua ujenzi wa jengo la ofisi mpya ya Mkuu wa Mkoa.
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Maelezo ya Mkoa
  • Tangazo la Zabuni
  • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
  • Hotuba
  • Taarifa kwa Umma

Kurasa Mashuhuri

  • Tovuti ya Tanzania
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • TAMISEMI
  • Ikulu
  • Katibu Mkuu Kiongozi
  • Tovuti ya Ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Morogoro

    Sanduku la Posta: S.L.P 650 MOROGORO

    Simu: +2550232934305

    Simu: +255766828252

    Barua pepe: ras.morogoro@tamisemi.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki © 2024 Ofisi Ya Mkuu wa Mkoa Morogoro. Haki Zote Zimehifadhiwa.