• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
Mkoa wa Morogoro
Mkoa wa Morogoro

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Morogoro

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Maelezo ya Mkoa
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Sehemu na Vitengo
      • Utawala na Rasilimali
      • Serikali za Mitaa
      • Uhasibu na Fedha
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Sheria
      • TEHAMA
      • Afya
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Kitengo cha Habari na Mawasiliano Serikalini
  • Wilaya
    • Morogoro
    • Mvomero
    • Gairo
    • Kilosa
    • Kilombero
    • Ulanga
    • Malinyi
  • Halmashauri
    • Manispaa ya Morogoro
    • Morogoro DC
    • Mvomero
    • Gairo
    • Ulanga
    • Malinyi
    • Mlimba
    • Ifakara Mji
    • Kilosa
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uchimbaji wa Madini
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Kilimo
    • Huduma za Mifugo
    • Huduma za Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
    • Huduma za Ugavi
  • Machapisho
    • Miongozo Mbalimbali
    • Majarida
    • Fomu Mbalimbali
    • Ripoti mbalimbali
    • Mpango Mkakati
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Sheria Ndogo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Videos
    • Hotuba
    • Picha

RC Malima awataka watumishi Morogoro kufanya kazi kwa umoja, mshikamano.

Posted on: February 1st, 2024

Mkuu wa Mkoa wa Morogoro Mhe. Adam Kighoma Malima amewataka  Watumishi wa Serikali wa Halmashauri ya Wilaya ya Morogoro kufanya kazi kwa umoja na mshikamano ili kuiletea halmashauri hiyo maendeleo kwa faida ya wananchi wake.

Mhe. Adam Malima ametoa kauli hiyo Januari 31, 2024 wakati wa kikao cha kupitia na kuhakiki bajeti ya Halmashauri hiyo kwa mwaka wa fedha 2024/2025 ikiwa ni muendelezo wa Vikao vya kupitia na kuhakiki bajeti za Halmashauri zote za Mkoa huo.

Mkuu huyo wa Mkoa amesema ili Halmashauri iweze kupata maendeleo ni muhim kwa watendaji wake kuwa wamoja, kushikamana na kufanya kazi kama timu huku akiwasisitiza kuachana na mitafaruku isiyo na tija kwenye utendaji wao.

“...nyie nendeni amueni kufanya kazi kama timu mchukueni huyo bibi (Mkurugenzi) semeni ni boss wenu fanyeni kazi mtafanya maajabu hapa...” amesema Mkuu wa Mkoa.

Aidha, kwenye kikao hicho Mhe. Malima amewataka watendaji kusimamia suala nzima la ukusanyaji mapato na kuwa na matumizi sahihi ya mapato hayo na kuwataka kubuni vyanzo vya mapato vingine kuliko kutegemea fedha zinazotokana na mradi wa Bwawa la Mwalimu Nyerere.

Nao wajumbe wa kikao hicho akiwemo Katibu Tawala Msaidizi sehemu ya Mipango na Uratibu Bw. Anza-Ameni Ndosa ameitaka Halmashauri hiyo kutenga fedha kwa mwaka 2024/2024 kwa ajili ya kununua madawati, viti na meza kwa shule za msingi ambazo zimekosa madawati miundombinu hiyo.

Katika hatua nyingine Mkuu huyo wa Mkoa amewataka watendaji hao kukamilisha miradi yote viporo ambayo muda wake wa ujenzi umeshapita lakini miradi hiyo haijakamilika na kuitaka ikamilike kabla au ifikapo mwezi Machi mwaka huu.

MWISHO.

Matangazo

  • MATOKEO YA DARASA LA SABA 2024 October 30, 2024
  • TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI. May 13, 2025
  • View All

Habari Mpya

  • MSEMAJI MKUU WA SERIKALI AWATAKA MAAFISA HABARI KUFANYA KAZI ZAO KIMKAKATI.

    May 26, 2025
  • MWAROBAINI WA CHANGAMOTO YA MAJI MOROGORO HII HAPA, RC MALIMA ATOA MAAGIZO.

    May 24, 2025
  • UZALISHAJI WA MAZIWA KUCHANGIA BIL. 18 KWA MWAKA MOROGORO

    May 23, 2025
  • MAAFISA HABARI TOENI UFAFANUZI DHIDI YA UPOTOSHAJI- MCHENGERWA

    May 23, 2025
  • View All

Video

Mkuu wa Mkoa wa Morogoro Mhe. Adam Kighoma Malima akikagua ujenzi wa jengo la ofisi mpya ya Mkuu wa Mkoa.
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Maelezo ya Mkoa
  • Tangazo la Zabuni
  • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
  • Hotuba
  • Taarifa kwa Umma

Kurasa Mashuhuri

  • Tovuti ya Tanzania
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • TAMISEMI
  • Ikulu
  • Katibu Mkuu Kiongozi
  • Tovuti ya Ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Morogoro

    Sanduku la Posta: S.L.P 650 MOROGORO

    Simu: +2550232934305

    Simu: +255766828252

    Barua pepe: ras.morogoro@tamisemi.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki © 2024 Ofisi Ya Mkuu wa Mkoa Morogoro. Haki Zote Zimehifadhiwa.