Posted on: February 19th, 2021
Mkuu wa Mkoa wa Morogoro Loata Ole Sanare amewataka wajumbe wa Bodi za Shule za Sekondari Mkoani hapa kutowafumbia macho Wanafunzi wote wanaofanya uhuni wowote Shuleni badala ya Kuzingatia masomo.
...
Posted on: February 28th, 2021
Afisa Mtendaji wa Mji mdogo wa Mikumi Wilayani Kilosa Mkoani Morogoro Bw. Omari Jaka amesimamishwa kazi ili kupisha uchunguzi wa tuhuma zinazomkabili za matumizi mabaya ya fedha na madaraka.
Omari ...
Posted on: February 15th, 2021
Mkoa wa Morogoro uko mafichoni kwa sasa kwa ajili ya kujitathmini na kuweka mpango mkakati wa kurudisha heshima ya Mkoa huo kuitwa ghala la Taifa ili jina hilo litafisiliwe kwa vitendo zaidi.
Hayo ...