Katibu Tawala wa Mkoa wa Morogoro Mussa Ali Musa aliyeteuliwa hivi karibuni na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan amewasili rasmi leo Agosti 3,2022 ofisini kwake tayari kuanza majukumu yake mapya ya kiofisi na kuwahudumia wananchi wa Mkoa huo.
Haki Miliki © 2024 Ofisi Ya Mkuu wa Mkoa Morogoro. Haki Zote Zimehifadhiwa.