MATOKEO YA DARASA LA SABA MKOA WA MOROGORO
Serikali ya awamu ya sita inayoongozwa na Jemedari wake na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan imeendelea kuweka mazingira kwa ajili ya wanafunzi wa kitanzania ili waweze kufaulu masomo yao kwa maana ya kuwajengea madarasa mqazuri na madawati yanayofaa.
Haki Miliki © 2024 Ofisi Ya Mkuu wa Mkoa Morogoro. Haki Zote Zimehifadhiwa.