• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
Mkoa wa Morogoro
Mkoa wa Morogoro

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Morogoro

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Maelezo ya Mkoa
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Sehemu na Vitengo
      • Utawala na Rasilimali
      • Serikali za Mitaa
      • Uhasibu na Fedha
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Sheria
      • TEHAMA
      • Afya
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Kitengo cha Habari na Mawasiliano Serikalini
  • Wilaya
    • Morogoro
    • Mvomero
    • Gairo
    • Kilosa
    • Kilombero
    • Ulanga
    • Malinyi
  • Halmashauri
    • Manispaa ya Morogoro
    • Morogoro DC
    • Mvomero
    • Gairo
    • Ulanga
    • Malinyi
    • Mlimba
    • Ifakara Mji
    • Kilosa
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uchimbaji wa Madini
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Kilimo
    • Huduma za Mifugo
    • Huduma za Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
    • Huduma za Ugavi
  • Machapisho
    • Miongozo Mbalimbali
    • Majarida
    • Fomu Mbalimbali
    • Ripoti mbalimbali
    • Mpango Mkakati
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Sheria Ndogo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Videos
    • Hotuba
    • Picha

RAS KALOBELO AIPONGEZA HALMASHAURI YA MLIMBA.

Posted on: May 16th, 2021

Katibu Tawala wa Mkoa wa Morogoro Mhandisi Emmanuel Kalobelo ameipongeza Halmashauri ya Mlimba Wilayani Kilombero kwa kufanya Kazi kwa ubunifu huku akiitaka Halmashauri hiyo kutumia busara zaidi katika utendaji wao wa kazi.

Katibu Tawala wa Mkoa wa Morogoro Mhandisi Emmanuel Kalobelo (aliyesimama) akitoa ushauri wa kitaalamu wakati wa kikao hicho.

Mhandisi Kalobelo ametoa pongezi na nasaha hizo Mei 12 mwaka huu wakati wa kikao cha Kamati iliyoboreshwa ya Fedha, Uongozi na Mipango ya Halmashauri ya Mlimba Wilayani Kilombero iliyokaa kwa dharura kwa lengo la kuboresha utendaji kazi wa Halmashauri hiyo.

Amesema, kwa uzoefu wa kufanya Kazi Serikalini na kwa muda mfupi aliokuwepo Mkoani Morogoro, ameona Halmashauri ya Mlimba inafanya kazi kwa ubunifu zaidi ukilinganisha na Halmashauri nyingine za Mkoa huo ukiachilia mbali migogoro midogo inayojitokeza ndani ya Halmashauri hiyo.

“sitaki ni pre empty lakini katika halmashauri zilizopo hapa Mkoani kwangu bado ninaona Mlimba inaongoza kwa ubunifu” alisema Mhandisi Kalobelo.

Aidha, amezishauri Kamati mbalimbali za Baraza la Halmashauri hiyo kuwa wanapofika mahali ambapo wanatakiwa kutoa maamuzi makubwa ni lazima wafikirie kwa undani matokeo ya maamuzi hayo yanavyoweza kuathiri Maendeleo ya Halmashauri yenyewe na wananchi wake.

Baadhi ya wajumbe wa Kamati ya Ulinzi na Usalama Wilaya ya Kilombero wakiwa wanafuatailia kikao hicho. (kushoto ni Katibu Tawala wa Wilaya ya Kilombero Adam Bibangamba)

Sambamba na ushauri huo Katibu Tawala huyo amesema ili Halmashauri yoyote iweze kufanya kazi ILIYOTUKUKA inapaswa kutekeleza mambo matatu muhimu ambayo ni  UTAWALA BORA, UWAZI NA USHIRIKISHWAJI, mambo ambayo amesisitiza Baraza la Madiwani na Watendaji wa Halmashauri hiyo kuzingatia na kuyafanyia kazi.


Baadhi ya wataalamu wa Halmashauri ya Mlimba Wilayani Kilombero

MWISHO

Matangazo

  • MATOKEO YA DARASA LA SABA 2024 October 30, 2024
  • TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI. May 13, 2025
  • View All

Habari Mpya

  • WAHARIRI NCHINI WAPATIWA MAFUNZO USIMAMIZI WA MNYORORO WA UGAVI.

    June 17, 2025
  • ZAIDI YA TRILIONI 3 ZATEKELEZA MIRADI YA MAENDELEO MKOANI MOROGORO

    June 16, 2025
  • UPUNGUFU WATUMISHI WAIBUKA HOJA ZA CAG MLIMBA.

    June 11, 2025
  • UPUNGUFU WA TUMISHI WAIBUKA HOJA ZA CAG MLIMBA.

    June 11, 2025
  • View All

Video

Mkuu wa Mkoa wa Morogoro Mhe. Adam Kighoma Malima akikagua ujenzi wa jengo la ofisi mpya ya Mkuu wa Mkoa.
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Maelezo ya Mkoa
  • Tangazo la Zabuni
  • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
  • Hotuba
  • Taarifa kwa Umma

Kurasa Mashuhuri

  • Tovuti ya Tanzania
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • TAMISEMI
  • Ikulu
  • Katibu Mkuu Kiongozi
  • Tovuti ya Ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Morogoro

    Sanduku la Posta: S.L.P 650 MOROGORO

    Simu: +2550232934305

    Simu: +255766828252

    Barua pepe: ras.morogoro@tamisemi.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki © 2024 Ofisi Ya Mkuu wa Mkoa Morogoro. Haki Zote Zimehifadhiwa.