• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
Mkoa wa Morogoro
Mkoa wa Morogoro

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Morogoro

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Maelezo ya Mkoa
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Sehemu na Vitengo
      • Utawala na Rasilimali
      • Serikali za Mitaa
      • Uhasibu na Fedha
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Sheria
      • TEHAMA
      • Afya
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Kitengo cha Habari na Mawasiliano Serikalini
  • Wilaya
    • Morogoro
    • Mvomero
    • Gairo
    • Kilosa
    • Kilombero
    • Ulanga
    • Malinyi
  • Halmashauri
    • Manispaa ya Morogoro
    • Morogoro DC
    • Mvomero
    • Gairo
    • Ulanga
    • Malinyi
    • Mlimba
    • Ifakara Mji
    • Kilosa
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uchimbaji wa Madini
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Kilimo
    • Huduma za Mifugo
    • Huduma za Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
    • Huduma za Ugavi
  • Machapisho
    • Miongozo Mbalimbali
    • Majarida
    • Fomu Mbalimbali
    • Ripoti mbalimbali
    • Mpango Mkakati
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Sheria Ndogo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Videos
    • Hotuba
    • Picha

RC Malima aendelea kutoa elimu wananchi kuondoka Pori la Akiba Kilombero, aruka na Chopa kubaini ukubwa wa tatizo.

Posted on: January 21st, 2024

Mkuu wa Mkoa wa Morogoro Mhe. Adam Kighoma Malima abaini uwepo wa makundi makubwa ya mifugo katika Pori la Akiba Kilombero na kutaka kujipanga zaidi ili kuwaondoa mifugo waliomo kwa lengo la kuhifadhi pori hilo ambalo ni moja ya chanzo kikubwa cha maji yanayo kwenda kufua umeme Bwawa la Mwalimu Nyerere.

Mkuu wa Mkoa ametoa kauli hiyo ya uwepo wa makundi makubwa ya mifugo ndani ya pori hilo Januari 20, 2024 mara baada ya kurejea kukagua pori hilo kwa njia ya ndege na kugundua uharibifu mkubwa unaoendelea kufanyika humo hususan kilimo na Ufugaji.

Kwa sababu hiyo, Pamoja na kuendelea na juhudi za kutoa uelewa kwa wananchi kuhusu umuhim wa pori hilo, Mhe. Malima amesema ni muhim kuwa na muda wa kujipanga zaidi katika kuliendea zoezi nzima la kuondoa makundi makubwa ya mifugo yaliyomo ndani ya Pori hilo la akiba.

“hayo maboma ya ng’ombe sio moja mawili matatu, hilo bonde lina maboma ya ng’ombe karibu mia tano…” amebainisha Mhe. Adam Malima.

Katika hatua nyingine, Kiongozi huyo wa Mkoa ameagiza Mamlaka ya Usimamizi wa Wanyama Pori Tanzania - TAWA kuimarisha kitengo cha wanamaji kilichopo ndani ya Taasisi yao ili kiweze kupambana na makambi makubwa ya wavuvi yaliyopo katika Pori hilo ambayo hayafikiki kirahisi kwa miguu.

Sambamba na maagizo hayo, Mkuu wa Mkoa Mhe. Adam Malima ameipongeza Mamlaka ya Usimamizi wa Wanyama Pori Tanzania – TAWA kwa kazi kubwa wanayofanya katika mazingira magumu ya uhifadhi wa pori hilo la Akiba. 

Baada ya ziara yake ya angani kutembelea bonde akiba Kilombero, siku hiyo hiyo, Mkuu wa Mkoa Adam Malima akafanya mikutano ya hadhara katika kijiji cha Lupilo na Kitongoji cha Ipela/Mbenja Wilayani Ulanga  na kusisitiza umuhim wa utunzaji wa Pori la akiba  Kilombero kwa maslahi mapana ya Taifa hususan upatikanaji wa umeme.

Kwa upande wao wananchi wa maeneo hayo walimuomba Mkuu wa Mkoa kuendelea kwa muda na kilimo katika maeneo waliyopo hadi mazao yao yatakapokomaa na kuvunwa ndipo waachie maeneo hayo ambayo ki msingi wengi wanakiri kuingia kimakosa maeneo hayo ombi ambalo lilikubaliwa na Mkuu wa Mkoa.

MWISHO

Matangazo

  • MATOKEO YA DARASA LA SABA 2024 October 30, 2024
  • TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI. May 13, 2025
  • View All

Habari Mpya

  • WAHARIRI NCHINI WAPATIWA MAFUNZO USIMAMIZI WA MNYORORO WA UGAVI.

    June 17, 2025
  • ZAIDI YA TRILIONI 3 ZATEKELEZA MIRADI YA MAENDELEO MKOANI MOROGORO

    June 16, 2025
  • UPUNGUFU WATUMISHI WAIBUKA HOJA ZA CAG MLIMBA.

    June 11, 2025
  • UPUNGUFU WA TUMISHI WAIBUKA HOJA ZA CAG MLIMBA.

    June 11, 2025
  • View All

Video

Mkuu wa Mkoa wa Morogoro Mhe. Adam Kighoma Malima akikagua ujenzi wa jengo la ofisi mpya ya Mkuu wa Mkoa.
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Maelezo ya Mkoa
  • Tangazo la Zabuni
  • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
  • Hotuba
  • Taarifa kwa Umma

Kurasa Mashuhuri

  • Tovuti ya Tanzania
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • TAMISEMI
  • Ikulu
  • Katibu Mkuu Kiongozi
  • Tovuti ya Ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Morogoro

    Sanduku la Posta: S.L.P 650 MOROGORO

    Simu: +2550232934305

    Simu: +255766828252

    Barua pepe: ras.morogoro@tamisemi.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki © 2024 Ofisi Ya Mkuu wa Mkoa Morogoro. Haki Zote Zimehifadhiwa.