• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
Mkoa wa Morogoro
Mkoa wa Morogoro

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Morogoro

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Maelezo ya Mkoa
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Sehemu na Vitengo
      • Utawala na Rasilimali
      • Serikali za Mitaa
      • Uhasibu na Fedha
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Sheria
      • TEHAMA
      • Afya
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Kitengo cha Habari na Mawasiliano Serikalini
  • Wilaya
    • Morogoro
    • Mvomero
    • Gairo
    • Kilosa
    • Kilombero
    • Ulanga
    • Malinyi
  • Halmashauri
    • Manispaa ya Morogoro
    • Morogoro DC
    • Mvomero
    • Gairo
    • Ulanga
    • Malinyi
    • Mlimba
    • Ifakara Mji
    • Kilosa
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uchimbaji wa Madini
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Kilimo
    • Huduma za Mifugo
    • Huduma za Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
    • Huduma za Ugavi
  • Machapisho
    • Miongozo Mbalimbali
    • Majarida
    • Fomu Mbalimbali
    • Ripoti mbalimbali
    • Mpango Mkakati
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Sheria Ndogo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Videos
    • Hotuba
    • Picha

Morogoro yajipanga kuongeza uzalishaji wa zao la Mpunga

Posted on: November 25th, 2020

Mkoa wa Morogoro umeandaa Mpango Mkakati wa Miaka Mitano wa Kilimo, Mifugo na uvuvi, (2020/2021 hadi  2025/2026) ambapo zao la Mpunga kwa Mkoa huo limekuwa  ni zao la kwanza kwa uzalishaji na limewekewa malengo kwenye mpango kuwa na ongezeko katika uzalishaji kutoka tani 905,425 mwaka 2021 kufikia tani 1,489,436 kwa mwaka 2026.

Hayo yamebainisha Novemba 24 mwaka huu na Katibu Tawala wa Mkoa wa Morogoro ambaye alikuwa Mgeni rasmi katika ufunguzi wa Warsha ya kujengeana uwezo na kubadilishana uzoefu katika Mnyororo wa thamani wa zao la Mpunga kupitia mradi wa SOUTH – SOUTH AND TRIANGULA  COOPERATION (SSTC) uliofanyika katika Ukumbi wa Kings Way katika Halmashauri ya Manispaa ya Morogoro.

Mhandisi Kalobelo amesema mpango mkakati huo umetokana na zao la Mpunga kuwa zao la pili  la chakula Tanzania baada ya Mahindi  ambapo idadi kubwa ya wananchi hutegemea zao hilo kwa ajili ya chakula  na biashara.

Pia amesema Serikali ya wawamu ya tano  ya Mhe. Dkt John Pombe ,Magufuli Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Novemba 13 2020 wakati akifungua bunge la 12 alitaja Kilimo kuwa moja ya kipaumbele katika Serikali kwa miaka mitano ijayo ikilenga kuongeza ufanisi katika tasnia hiyo ili kukifanya kilimo kuwa zao la kibiashara.

Aidha, Mhandisi Kalobelo huyo amesema kuongezeka kwa zao la mpunga kunapelekea kuimalika kwa usalama wa chakula, kuongezeka kwa ajira na kipato kwa wakulima walio wengi hususan wadogo.

Sambamba na hayo, Serikali imeandaa mkakati wa Taifa wa  mazao baada ya kuvuna kwa miaka 5 2019/2029 ambao umesambazwa katika Halmashauri zote za Mkoa wa Morogoro na uongozi umeundwa kwa ajili ya kusimamia na kuzuia upotevu wa mazao likiwepo zao la mpunga.


Kwa upande wake Mwakilishi Msaidizi wa Shirika la Kilimo na Chakula la Umoja wa Kimataifa (FAO) Charles Tulahi amesema uzalishaji wa mpunga unahitaji usimamizi mzuri kabla na baada ya mavuno na matumizi sahihi ya zana za Kilimo kwa kuzingatia Teknolojia za kisasa.

Akizungumzia changamoto zinazoikumba sekta ya Kilimo cha Mpunga, Tulahi amesema zao hilo linakumbwa na changamoto mbalimbali zikiwemo ubovu wa miundombinu katika usafirishaji wa zao hilo  mara baada ya mavuno.

Amesema changamoto nyingine sekta ya kilimo ni Elimu ndogo waliyonayo Wakulima juu ya upandaji wa zao hilo hali inayopelekea kupungua kwa uzalishaji wa zao hilo la mpunga wakati wa mavuno.

Tanzania ni Nchi ya pili kwa uzalishaji wa zao la mpunga katika bara la Afrika baada ya Madagascar, ambapo Mkoa wa Morogoro ndio Mkoa wa kwanza kwa uzalishaji wa zao hilo hapa nchini.

MWISHO.

Matangazo

  • MATOKEO YA DARASA LA SABA 2024 October 30, 2024
  • TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI. May 13, 2025
  • View All

Habari Mpya

  • MSEMAJI MKUU WA SERIKALI AWATAKA MAAFISA HABARI KUFANYA KAZI ZAO KIMKAKATI.

    May 26, 2025
  • MWAROBAINI WA CHANGAMOTO YA MAJI MOROGORO HII HAPA, RC MALIMA ATOA MAAGIZO.

    May 24, 2025
  • UZALISHAJI WA MAZIWA KUCHANGIA BIL. 18 KWA MWAKA MOROGORO

    May 23, 2025
  • MAAFISA HABARI TOENI UFAFANUZI DHIDI YA UPOTOSHAJI- MCHENGERWA

    May 23, 2025
  • View All

Video

Mkuu wa Mkoa wa Morogoro Mhe. Adam Kighoma Malima akikagua ujenzi wa jengo la ofisi mpya ya Mkuu wa Mkoa.
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Maelezo ya Mkoa
  • Tangazo la Zabuni
  • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
  • Hotuba
  • Taarifa kwa Umma

Kurasa Mashuhuri

  • Tovuti ya Tanzania
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • TAMISEMI
  • Ikulu
  • Katibu Mkuu Kiongozi
  • Tovuti ya Ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Morogoro

    Sanduku la Posta: S.L.P 650 MOROGORO

    Simu: +2550232934305

    Simu: +255766828252

    Barua pepe: ras.morogoro@tamisemi.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki © 2024 Ofisi Ya Mkuu wa Mkoa Morogoro. Haki Zote Zimehifadhiwa.