• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
Mkoa wa Morogoro
Mkoa wa Morogoro

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Morogoro

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Maelezo ya Mkoa
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Sehemu na Vitengo
      • Utawala na Rasilimali
      • Serikali za Mitaa
      • Uhasibu na Fedha
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Sheria
      • TEHAMA
      • Afya
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Kitengo cha Habari na Mawasiliano Serikalini
  • Wilaya
    • Morogoro
    • Mvomero
    • Gairo
    • Kilosa
    • Kilombero
    • Ulanga
    • Malinyi
  • Halmashauri
    • Manispaa ya Morogoro
    • Morogoro DC
    • Mvomero
    • Gairo
    • Ulanga
    • Malinyi
    • Mlimba
    • Ifakara Mji
    • Kilosa
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uchimbaji wa Madini
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Kilimo
    • Huduma za Mifugo
    • Huduma za Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
    • Huduma za Ugavi
  • Machapisho
    • Miongozo Mbalimbali
    • Majarida
    • Fomu Mbalimbali
    • Ripoti mbalimbali
    • Mpango Mkakati
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Sheria Ndogo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Videos
    • Hotuba
    • Picha

Miundombinu


SEKTA YA MIUNDO MBINU

 

TAAARIFA YA UTEKELEZAJI WA MIRADI INAYOSIMAMIWA NA SEKRETARIETI YA MKOA

YALIYOMO

1.UTANGULIZI

2.LENGO LA IDARA

3.MAJUKUMU YA IDARA

4.WATUMISHI WALIOPO

5.MIRADI YA MAENDELEO INAYOTEKELEZWA NA SEKRETARIETI YA MKOA 2022/2023

6.MAANDALIZI YA MIRADI MIPYA YA MWAKA 2023/24

1.0 Utangulizi

•Majukumu ya Sehemu ya Miundombinu yamebainishwa katika Sheria ya kuanzisha Sekretarieti za Mikoa (The Regional Administaration Act) Namba 19 ya Mwaka 1997 kwa lengo la kuimarisha Mikoa pamoja na Serikali za Mitaa.

•Kabla ya marekebisho ya mwaka 2011, Sehemu ya Miundo mbinu ilijumuisha masuala ya Maendeleo ya miundombinu, maji na umwagiliaji. Baada ya kuondolewa kwa Sekta ya maji na umwagiliaji, Idara ya Miundombinu imebakia yenyewe kimuundo.

•2.0 Lengo la Idara

•Kutoa ushauri wa kitaalam kwenye Sekretarieti ya Mkoa na Mamlaka za Serikali za Mitaa kuhusu masuala ya maendeleo ya miundombinu (To provide backstopping expert services to RS and Local Government Authorities in the Development of Infrastructure).

•3.0 Majukumu ya Idara

i. Kuratibu na kufuatilia utekelezaji wa miongozo ”policies” katika barabara, majengo, nishati, maji, maji taka na mawasiliano,

ii. Kusimamia ujenzi na ukarabati wa majengo yanayomilikiwa na Sekretariet ya Mkoa

iii. Kuwa kiungo kati ya mkoa na Mamlaka zingine katika Serikali kuu na Serikali za Mitaa katika masuala ya kihandisi,

iv.  Kusimamia na kutoa ushauri katika kazi za ujenzi wa   majengo na barabara katika MSM na TARURA  

v.Kuratibu Taasisi za Serikali zinazojishughulisha na maswala ya Miundombinu mfano: TANROADS, TARURA, TANESCO, RUWASA, MORUWASA, TBA, MADINI.

vi.Kuwa Sekretariet ya vikao vya Bodi ya Barabara ya Mkoa

vii.Kufuatilia na kushauri kuhusu kazi za kihandisi   zinazofanywa ndani ya Mkoa

4.0 Idadi ya Watumishi

•Katibu Tawala Msaidizi   1

•Wahandisi   2

•Afisa Mipangomiji  Mkuu  1

Hivyo basi, kwa mujibu wa Ikama ya Idara ya Miundombinu, kuna upungufu wa watumishi watatu(3).

•Mbunifu na Msanifu majenzi “Architect”

•Mkadiriaji majenzi “QS”

•Mhandisi

5.0 MIRADI YA MAENDELEO.

Katika mwaka wa fedha 2022/2023 Sekretarieti ya Mkoa inatekeleza miradi ifuatayo;

>Ujenzi wa Ofisi ya Mkuu wa Mkoa

>Ujenzi wa Ofisi ya Mkuu wa Wilaya Ulanga

>Ujenzi wa Ofisi za Tarafa tano(5) Mlimba, Mikumi, Masanze, Ngerengere na Mvuha

>Umaliziaji wa Ofisi za Wakuu wa Wilaya Gairo na Malinyi

>Ujenzi wa Rest House Malinyi

>Ujenzi wa Servant Quarter Gairo

Hatua ya utekelezaji hadi Mei 2023

1.0  Ujenzi wa Ofisi ya Mkuu wa Mkoa

Mkandarasi : MCB Company Ltd

Msimamizi: Meneja wa Mkoa TBA

Mkataba: TZS 6,597,777,757.90 (Usimamizi TZS 527,822,220.63)

Malipo:

     - Mkandarasi: TZS 989.67m Plus 354.54m

  - Msimamizi: TZS 316.7M

Kuanza: 27 Mei, 2022 

Kukamilisha: 26Mei,2024

Utekelezaji: 45%


Ofisi ya Mkuu wa Mkoa ujenzi wake unaendelea.


Ofisi ya Mkuu wa Wilaya Ulanga

>Mradi huu ulianza utekelezaji mwaka 2021/2022 ambapo zilipokelewa TZS 600m

>Mwaka 2022/2023 zilipokelewa TZS 750M

Mkandarasi : Cooperation Sole Superitendent

Msimamizi: Mhandisi wa Mkoa

Mkataba:  Ufundi TZS 248,092,950(Usimamizi TZS 0)

Malipo:

     - Mkandarasi: TZS 93.02m

  - Msimamizi: TZS 0

Kuanza: 12 Machi, 2022  Kukamilisha: 15 Julai,2023

Utekelezaji: 75%


Ofisi ya Mkuu wa Wilaya ya Ulanga.

Ujenzi wa Ofisi za Tarafa

Sekretarieti ya Mkoa ilipokea TZS 400M kwa ajili ya ujenzi wa Ofisi 5 za Tarafa

Ujenzi huu ulifanyika kwa FORCE ACCOUNT

Kuanza: Feb 2023 Kumaliza: Mei 2023

Utekelezaji: Ofisi 3 zimekamilika

 Ofisi 2 zipo hatua ya Umaliziaji


Ofisi ya Tarafa - Mikumi.

Ofisi ya Tarafa - Mlimba

Ujenzi wa Rest House Malinyi.

Sekretarieti ya Mkoa ilipokea TZS 500m kwa ajili ya ujenzi wa Rest house Malinyi

Mkandarasi: Meneja wa TBA Mkoa

Mkataba: 618,749,981

Msimamizi: Mhandisi wa Mkoa

Kuanza: 30 Machi, 2023   Kumaliza: 30 Machi, 2024

Malipo: Advance: TZS 92,812,497.18

 Hatua ya Utekeleza: Ujenzi wa Msingi

Ujenzi wa Servant Quorter Gairo.

Sekretarieti ya Mkoa ilipokea TZS 65M kwa ajili ya ujenzi wa nyumba ya Mtumishi katika makazi ya Mkuu wa Wilaya Gairo

Ujenzi ulifanyika kwa F/A

Fundi : Michael Nnko

Mkataba wa fundi: TZS 7M

Mkataba wa Vifaa: TZS

Utekelezaji: Kazi imekamilika

Nyumba ya mtumishi - Gairo.

Umaliziaji Ofisi ya DC Gairo

Kuanza ujenzi 2020/2021- 750m

Kuendelea na ujenzi 2021/2022- 700m

Kumalizia ujenzi 2022/2023- 200m

Hatua ya utekelezaji - Jengo la Ofisi limekamilika limeanza kutoa huduma

Kazi ambayo haijafanyika ni ujenzi wa uzio na kibanda cha mlinzi

Umaliziaji Ofisi ya DC Malinyi.

Kuanza ujenzi 2020/2021- 750m

Kuendelea na ujenzi 2021/2022- 700m

Kumalizia ujenzi 2022/2023- 250m

Hatua ya utekelezaji -Jengo la Ofisi limekamilika lipo tayari kwa matumizi

Kazi zinazoendelea ni ujenzi wa power house na kusawazisha kifusi

Ofisi ya Mkuu wa Wilaya ya Gairo.


Ofisi ya Mkuu wa Wilaya ya Malinyi.


6.0 Maandalizi ya Miradi ya Mwaka wa fedha 2023/24.

Katika mwaka wa fedha 2023/24 Sekretarieti ya Mkoa wa Morogoro inatarajia kutekeleza miradi ifuatayo;

•Ujenzi wa Ofisi ya Mkuu wa Wilaya Kilombero awamu ya kwanza Tsh. 700,000,000.00

•Ujenzi wa Ofisi ya Mkuu wa Wilaya Ulanga awamu ya Tatu Tsh. 240,000,000.00

•Ujenzi wa Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Morogoro awamu ya Tatu Tsh. 1,000,000,000.00

•Ujenzi wa Ofisi za Maafisa Tarafa tano(5) Tsh. 450,000,000.00

•Ukarabati wa Ofisi ya Mkuu wa Mkoa ya Sasa 200,000,000.00

•Ujenzi wa Ikulu ndogo Malinyi 415,000,000

•Mchanganuo wa mahitaji ya vifaa “Schedule of Material” kwa ajili ya miradi yote ya mwaka 2023/2024 yameandaliwa na kuwasilishwa kitengo cha manunuzi kwa ajili ya msako wa bei.

Muonekano wa ofisi mpya ya Mkuu wa Mkoa wa Morogoro baada ya ujenzi wake kukamilika.


Matangazo

  • MATOKEO YA DARASA LA SABA 2024 October 30, 2024
  • TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI. May 13, 2025
  • View All

Habari Mpya

  • Vyama vya Ushirika Vyatakiwa Kutumia TEHAMA

    May 14, 2025
  • ZINGATIENI SHERIA, KATIBA NA KANUNI YA VYAMA VYENU - MUTUNGI.

    May 14, 2025
  • WANAFUNZI 214 WA KIDATO CHA KWANZA SEKONDARI ZA MONGOLA, MGETA WAPEWA MICHE 2140 YA MIKARAFUU

    May 13, 2025
  • RC MALIMA ATOA WITO KWA WANANCHI KUSHIRIKI MAADHIMISHO MIAKA 80 YA HOSPITALI, AMSHUKURU RAIS SAMIA.

    May 13, 2025
  • View All

Video

Mkuu wa Mkoa wa Morogoro Mhe. Adam Kighoma Malima akikagua ujenzi wa jengo la ofisi mpya ya Mkuu wa Mkoa.
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Maelezo ya Mkoa
  • Tangazo la Zabuni
  • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
  • Hotuba
  • Taarifa kwa Umma

Kurasa Mashuhuri

  • Tovuti ya Tanzania
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • TAMISEMI
  • Ikulu
  • Katibu Mkuu Kiongozi
  • Tovuti ya Ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Morogoro

    Sanduku la Posta: S.L.P 650 MOROGORO

    Simu: +2550232934305

    Simu: +255766828252

    Barua pepe: ras.morogoro@tamisemi.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki © 2024 Ofisi Ya Mkuu wa Mkoa Morogoro. Haki Zote Zimehifadhiwa.