• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
Mkoa wa Morogoro
Mkoa wa Morogoro

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Morogoro

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Maelezo ya Mkoa
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Sehemu na Vitengo
      • Utawala na Rasilimali
      • Serikali za Mitaa
      • Uhasibu na Fedha
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Sheria
      • TEHAMA
      • Afya
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Kitengo cha Habari na Mawasiliano Serikalini
  • Wilaya
    • Morogoro
    • Mvomero
    • Gairo
    • Kilosa
    • Kilombero
    • Ulanga
    • Malinyi
  • Halmashauri
    • Manispaa ya Morogoro
    • Morogoro DC
    • Mvomero
    • Gairo
    • Ulanga
    • Malinyi
    • Mlimba
    • Ifakara Mji
    • Kilosa
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uchimbaji wa Madini
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Kilimo
    • Huduma za Mifugo
    • Huduma za Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
    • Huduma za Ugavi
  • Machapisho
    • Miongozo Mbalimbali
    • Majarida
    • Fomu Mbalimbali
    • Ripoti mbalimbali
    • Mpango Mkakati
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Sheria Ndogo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Videos
    • Hotuba
    • Picha

Huduma za Mifugo

MIFUGO

Mkoa wa Morogoro unakadiriwa kuwa na Ng’ombe 1,129,883, Mbuzi 468,210, Kondoo 185,487 na Punda 9,026. Kwa kuzingatia idadi hiyo ya mifugo, Mkoa unahitaji wastani wa eneo la malisho lenye ukubwa wa hekta 1,269,668. Hivyo kwa eneo lililopo la hekta 323,686 ambalo limepimwa, Mkoa una upungufu wa zaidi ya hekta 945,982.59 za Malisho.

Jedweli Na. 1: Idadi ya Mifugo na Maeneo ya Malisho kwa kila Halmashauri, 2022


Na.

 

Halmashauri

Idadi ya Mifugo

 

Ukubwa wa Eeneo la Malisho pimwa

Ng’ombe
Mbuzi
Kondoo
Punda
1.
Morogoro DC

204,836

103,048

43,504

1,113

38,548

2.
Mvomero

212,154

90,080

13,627

2,128

10,385.

3.
Kilosa

328,169

131,854

42,675

3,753

225,150

4.
Malinyi

130,048

41,218

31,767

169

14,119

5.
Mlimba

103,783

28,287

26,457

126

5,395

6.
Gairo

45,494

45,310

11,811

1,426

86.6

7.
Ulanga

80,634

18,367

10,484

238

21,720

8.
Ifakara

15,739

4,854

3,778

73

8,282

9.
Manispaa

9026

5192

1384

0

0

JUMLA

1,129,883

468,210

185,487

9,026

323,686


Chanzo: Taarifa kutoka Halmashauri, 2022

Miundombinu ya Mifugo

Mkoa una jumla ya Minada 35, Majosho 71, malambo 42, mabanio 23, Machinjio 19, Makaro 51, Mabanda ya ngozi 8, Maabara 2, vituo vinavyotoa huduma ya mifugo (vet centre) 28 na Hospitali ya mifugo 1.

Majosho 45 yanafanya kazi na 23 ni mabovu. Katika Mwaka wa fedha 2022/2023 majosho mapya 32 yenye jumla ya shilingi 736,000,000/= yamepangwa kujengwa katika Halmashauri 8 za mkoa wa Morogoro kwa fedha kutoka Wizara ya Mifugo na Uvuvi.

Jedweli Na. 2: Mahitaji ya Majosho katika Mkoa wa Morogoro

Na
Halmashauri

Mahitaji

Yaliyopo

Yanayofanyakazi

Mabovu

1
Mvomero

31

14

10

4

2
Ulanga

14

6

4

2

3
Mlimba

8

3

3

0

4
Gairo

20

18

11

7

5
MoroDC

39

12

8

4

6
Ifakara

4

3

1

1

7
Kilosa

51

12

7

3

8
Malinyi

14

2

1

1

9
Manispaa

2

1

0

1

 
JUMLA

183

71

45

23

Miradi ya Mifugo inayotekelezwa kwa Mwaka Wa Fedha 2022/2023 kupitia Fedha za Mfuko wa Serikali Kuu

  

Gairo

 

3

 

69,000,000

  

Ifakara

 

3

 

69,000,000

  

Malinyi

 

4

 

92,000,000

  

Kilosa

 

3

 

69,000,000

  

Mlimba

 

4

 

92,000,000

  

Morogoro DC

 

5

 

115,000,000

  

Mvomero

 

4

 

92,000,000

  

Ulanga

 

4

 

92,000,000

 

JUMLA

 

30

 

690,000,000

 

  

Kilosa

3

15

19,965,000

Morogoro DC

3

15

13,310,000

Mvomero

2

10

19,965,000

Ulanga

5

25

33,275,000

JUMLA

13

65

86,515,000

 

Mikakati ya Kuboresha Sekta ya Mifugo Mkoa Wa Morogoro

Mkoa umeweka mikakati ya kufuga mifugo kisasa kwa kuzingatia eneo lililopo ili kufuga kwa tija na kupunguza uharibifu wa mazingira na kumuingiliano kati ya wafugaji na wakulima.

Kuwahamasisha wafugaji kutumia Ranchi ndogo ndogo katika kufuga mifugo yao. Mkoa utatumia maeneo yaliyotengwa kwa ajili ya mifugo kuwapanga wafugaji katika Ranchi ndogondogo.

Unenepeshaji wa mifugo na kupeleka katika kiwanda cha nyama cha Nguru Hill ambacho kina uwezo wa kuchinja ngombe 100 na mbuzi 1,000 kwa siku. Uwepo wa kiwanda hiki utasaidia wafugaji kuvuna mifugo yao na kuuza kwa faida.

Unenepeshaji wa mifugo utafanyika kwa hatua 2, hatua ya kwanza Katika kila Halmashauri kutakuwepo na ranchi zisizopungua 5 zenye ukubwa wa hekta 500 kila moja ambazo zitatumika kunenepesha mifugo inayotoka kwa wafugaji wa kawaida. Mifugo ikitoka katika hatua ya kwanza itapelekwa hatua ya pili ya unenepeshaji kwenye eneo lililotengwa na mkoa lililopo Wilaya ya Mvomero lenye ukubwa wa Ekari 30,000. Baada ya kutoka katika hatua hii mifugo itauzwa kiwandani ikiwa na uzito wa zaidi ya kilo 250 ambao ndio unaokubalika na kiwanda

Kila Halmashauri kuhakikisha kwamba Wafugaji wanafuga mifugo yao kisasa kwa kuzingatia eneo lililopo ili kufuga kwa tija na kupunguza uharibifu wa mazingira.

Kila Halmashauri kuanzisha mashamba darasa ya Malisho na kutumia mashamba hayo kuwafundisha na kuwahamasisha wafugaji kuzalisha malisho.

Kila Halmashauri kuwahamasisha Wafugaji kuboresha Kosaafu za mifugo yao kwa kutumia madume bora yatakayosambazwa na Wizara ya Mifugo kupitia vikundi vya wafugaji.

Matangazo

  • MATOKEO YA DARASA LA SABA 2024 October 30, 2024
  • TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI. May 13, 2025
  • View All

Habari Mpya

  • Vyama vya Ushirika Vyatakiwa Kutumia TEHAMA

    May 14, 2025
  • ZINGATIENI SHERIA, KATIBA NA KANUNI YA VYAMA VYENU - MUTUNGI.

    May 14, 2025
  • WANAFUNZI 214 WA KIDATO CHA KWANZA SEKONDARI ZA MONGOLA, MGETA WAPEWA MICHE 2140 YA MIKARAFUU

    May 13, 2025
  • RC MALIMA ATOA WITO KWA WANANCHI KUSHIRIKI MAADHIMISHO MIAKA 80 YA HOSPITALI, AMSHUKURU RAIS SAMIA.

    May 13, 2025
  • View All

Video

Mkuu wa Mkoa wa Morogoro Mhe. Adam Kighoma Malima akikagua ujenzi wa jengo la ofisi mpya ya Mkuu wa Mkoa.
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Maelezo ya Mkoa
  • Tangazo la Zabuni
  • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
  • Hotuba
  • Taarifa kwa Umma

Kurasa Mashuhuri

  • Tovuti ya Tanzania
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • TAMISEMI
  • Ikulu
  • Katibu Mkuu Kiongozi
  • Tovuti ya Ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Morogoro

    Sanduku la Posta: S.L.P 650 MOROGORO

    Simu: +2550232934305

    Simu: +255766828252

    Barua pepe: ras.morogoro@tamisemi.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki © 2024 Ofisi Ya Mkuu wa Mkoa Morogoro. Haki Zote Zimehifadhiwa.