• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
Mkoa wa Morogoro
Mkoa wa Morogoro

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Morogoro

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Maelezo ya Mkoa
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Sehemu na Vitengo
      • Utawala na Rasilimali
      • Serikali za Mitaa
      • Uhasibu na Fedha
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Huduma za maji
      • Miundombinu
      • Huduma za Ugani
      • Elimu
      • Sheria
      • TEHAMA
      • Afya
  • Wilaya
    • Morogoro
    • Mvomero
    • Gairo
    • Kilosa
    • Kilombero
    • Ulanga
    • Malinyi
  • Halmashauri
    • Manispaa ya Morogoro
    • Morogoro DC
    • Mvomero
    • Gairo
    • Ulanga
    • Malinyi
    • Kilombero
    • Ifakara Mji
    • Kilosa
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za maji
    • Huduma za Kilimo
    • Huduma za Mifugo
    • Huduma za Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Miongozo Mbalimbali
    • Majarida
    • Fomu Mbalimbali
    • Ripoti mbalimbali
    • Mpango Mkakati
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Sheria Ndogo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Videos
    • Hotuba
    • Picha

Huduma za Mifugo

MIFUGO

Mkoa wa Morogoro kwa sasa unakadiriwa kuwa na jumla ya ng’ombe 840,944 Mbuzi 356,169, Kondoo 125,652, Punda 9,867, Nguruwe 45,238, Mbwa 46,396, Paka 45,766, Kanga 83,654, Bata 61,443, Kuku wa asili 5,244,894.

 

Idadi ya watumishi

Mkoa wa Morogoro una jumla ya watumishi 251 wa sekta ya Mifugo kama jedwali linavyoonesha hapo chini

NA

KADA
WALIOPO
MAHITAJI
UPUNGUFU

1

Madaktari wa Mifugo

10

16

6

2

Maafisa Mifugo

41

59

18

3

Maafisa Mifugo wasaidizi

200

543

343

JUMLA

251

618

367

 

Miundombinu ya Mifugo

Mkoa una jumla ya Minada 27 Majosho 69 malambo 50 mabanio 23 Machinjio 9 Makaro 63 Mabanda ya ngozi 8, Maabara 2, vituo vinavyotoa huduma ya mifugo (vet centre) 28 na Hospitali ya mifugo 1

 

Uzalishaji wa maziwa

Jumla ya lita 6,600,000 za maziwa zenye thamani ya Tsh 6,600,000,000/= Zilizalishwa katika Mkoa wa morogoro kwa kipindi cha Januari hadi Novemba,2017.

Uzalishaji mayai

Jumla ya Trei za mayai 342,521 yenye thamani ya Tsh. 2,568,907,500/= yalizalishwa na kuuzwa katika Mkoa wa morogoro kwa kipindi cha Januari hadi Novemba,2017.

  • Mauzo yamifugo Hai Minadani

Jumla ya ng’ombe 108,649 wenye thamani ya Tsh. 43,459,600,000 mbuzi 10,340 wenye thamani ya Tsh. 517,000,000 na kondoo 29,777 zikiwa na thamani ya Tsh. 1,488,850,000 waliuzwa katika minada kwa kipindi cha Januari hadi Novemba,2017.

 

Mauzo ya Ngozi

Vipande vya ngozi kwa ipindi cha Januari hadi Novemba 2017 ni kama ifuatavyo; ngozi za ng’ombe vipande 5841 vyenye thamani ya shilingi 269,205,000 mbuzi vipande 28015 vyenye thamani ya shilingi 28,015,000 na kondoo vipande 13390 vyenye thamani ya shilingi 13,390,000.

Mauzo ya Kuku

Kwa kipindi cha Januari 2017 hadi desemba 2017 jumla ya kuku 577,000 wenye thamani ya shilingi 5,770,000,000 waliuzwa.

  •  
  • Uboreshaji wa kosaafu za mifugo kwa njia ya Uhimilishaji

Jumla ya ngombe 196 wamepandishwa kwa njia ya chupa na jumla ya ndama 175 wamezaliwa kwa njia ya chupa kwa kipindi cha Januari hadi Novemba 2017.

Kwa mwaka huu 2017 Shirika la Land O’ Lakes kwa kushirikiana na Kampuni ya ABEA wanatoa huduma ya uhimilishaji na elimu kwa wafugaji juu ya uboreshaji wa koosafu za ng’ombe katika Halmashauri zote 9 za Mkoa wa Morogoro. Wafugaji wamehamasishwa kuvuna mifugo yao na kununua madume bora ya Boran kwa ajili ya kuboresha koosafu za mifugo yao ambapo hadi hivi sasa jumla ya wafugaji 10 wamenunua madume wapatao 50 wa aina ya Borani.

 

Utekelezaji wa Utambuzi wa Mifugo hadi kufikia Tarehe 15 Januari 2018

Katika kutekeleza zoezi la Usajili, Utambuzi na Ufuatiliaji wa mifugo, hadi kufikia tarehe 15/1/2018 jumla ya ng’ombe 703,753 wamepigwa Chapa kati ya ng’ombe         841,044 waliosajiliwa sawa na asilimia 84%. Utekelezaji kwa kila Halmashauri ni kama ifuatavyo;

Na

HALMASHAURI

WAFUGAJI WALIOSAJILIWA.

IDADI YA NG’OMBE WALISAJILIWA/ LENGO

IDADI YA NG’OMBE WALIOPIGWA CHAPA

ASILIMIA YA NG’OMBE WALIOPIGWA CHAPA %

1

Morogoro DC

1,481

116,173

81,710

70

2

Manispaa

465

9,377

8,187

87

3

Mvomero

2,929

189,708

161,030

85

4

Kilosa

6,558

208,279

147,218

70

5

Malinyi

5,154

122,776

122,776

100

6

Ifakara TC

252

5,720

7,030

100

7

Kilombero

5,853

91,314

91,314

100

8

Gairo

2,181

50,927

37,718

74

9

Ulanga

2,503

46,770

46,770

100

JUMLA KIMKOA

27,376

               841,044

703,753

84

 

Mikakati ya kutatua changamoto katika Sekta ya Mifugo

Kusimamia Sheria na 12 ya mwaka 2010 ya Utambuzi, Usajili na Ufuatiliaji mifugo kwa kupiga chapa ng’ombe.

Kila Halmashauri imeweka katika bajeti ya mwaka 2017/2018 fedha kwa ajili ya ujenzi wa miundombinu ya mifugo ili kuboresha afya za mifugo.

Zoezi la mpango wa matumizi bora ya ardhi linaendelea katika Halmashauri za Wilaya ya Ulanga, Malinyi na Kilombero, zoezi hili litaainisha maeneo kwa ajili ya malisho

Matangazo

  • MATOKEO YA MTIHANI WA UTAMILIFU(MOCK) KIDATO CHA NNE MEI-2019 MOROGORO July 29, 2019
  • Karibu kuwekeza Mkoani Morogoro September 26, 2019
  • Ifahamu Miongozo ya uazishwaji wa minada ya mifugo, uuzaji wa mifugo katika minada, ukusanyaji wa mapato kupitia minada, nyaraka zinazohitajika katika kusafirisha mifugo n.k Bofya hapa.. February 14, 2020
  • MAONESHO YA NANENANE July 27, 2022
  • View All

Habari Mpya

  • WAALIMU WAAGIZWA KUSIMAMIA USALAMA NA MALEZI BORA KWA WANAFUNZI.

    January 28, 2023
  • MAAFISA ELIMU WAAGIZWA KUSIMAMIA MATUMIZI YA FEDHA ZA MIRADI YA MAENDELEO

    January 28, 2023
  • RC FATMA MWASSA AWAAPISHA WAKUU WA WILAYA WAWILI.

    January 27, 2023
  • REA MKOANI MOROGORO KUMCHUKULIA HATUA MKANDARASI WA KAMPUNI YA HXJDL.

    January 26, 2023
  • View All

Video

Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Maelezo ya Mkoa
  • Tangazo la Zabuni
  • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
  • Hotuba
  • Taarifa kwa Umma

Kurasa Mashuhuri

  • Tovuti ya Tanzania
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • TAMISEMI
  • Ikulu
  • Katibu Mkuu Kiongozi
  • Tovuti ya Ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki © 2020 Ofisi Ya Mkuu wa Mkoa Morogoro. Haki Zote Zimehifadhiwa.