Sekta ya Kilimo
Utangulizi
Mkoa wa Morogoro una eneo la hekta 2,226,396 linalofaa kwa Kilimo na kati ya eneo hilo zaidi ya hekta 862,092 ndizo zinazolimwa kwa sasa sawa na asilimia 39. Eneo linalofaa kwa Kilimo cha Umwagiliaji ni hekta 1,510,339.51 na eneo linalomwagiliwa kwa sasa ni hekta 40,558 sawa na asilimia tatu. Mkoa una Mito 143 inayotitirisha maji mwaka mzima, una udongo mzuri na mabonde mengi ambayo bado hayajaendelezwa. Wananchi wa Mkoa wa Morogoro (75%) wanategemea zaidi kilimo kwa ajili ya ajira, kipato na chakula. Mazao ya chakula yanayolimwa kwa wingi ni Mahindi, Mpunga, Mtama, Mihogo, Viazi vitamu, Maharage na Ndizi. Mazao makuu ya biashara ni Miwa, Alizeti, Ufuta, Korosho, Pamba, matunda na mbogamboga.
Katika Msimu wa 2017/2018 Mkoa wa Morogoro ulilenga kulima hekta 867,666.53 ili kuvuna tani 2,878,865.62 za mazao ya chakula, mazao ya biashara Mkoa ulilenga kulima hekta 168,294.06 ili kuvuna tani 2,910,377.74.
Utekelezaji wake hekta 808,669 zililimwa sawa na asilimia 93 na kuvuna tani 2,262,227 sawa na asilimia 79 ya lengo kwa mazao ya chakula na mazao ya biashara zililimwa hekta 151,365 sawa na asilimia 90 na kuvunwa tani 2,233,995 sawa na asilimia 77 ya lengo.
Katika Msimu wa 2018/2019 Mkoa wa Morogoro umelenga kulima hekta 903,649.53 ili kuvuna tani 2,773,971.61 za mazao ya chakula, mazao ya biashara Mkoa umelenga kulima hekta 190,021.46 ili kuvuna tani 2,249,327.12.
Hali ya Chakula
Hali ya chakula kwa msimu wa 2018/2019 ni ya kuridhisha katika Halmashauri zote kutokana na mavuno mazuri ya msimu wa 2017/2018. Kwa mujibu wa matokeo ya Sensa ya Watu na Makazi ya mwaka 2012 idadi ya watu ilikuwa 2,218,492 ambapo ongezeko la watu katika Mkoa wa Morogoro ni asilimia 2.4 kwa mwaka. Hivyo kulingana na ongezeko la watu na uhitaji wa chakula kwa kila mwaka, kuanzia mwaka 2014/2015 hadi 2017/2018 mwenendo wa uzalishaji na ziada katika Mkoa wa Morogoro ni kama inavyo onekana katika jedwali.
Jedwali Na.1: Uzalishaji na mahitaji ya chakula 2014/2015 hadi 2017/2018
Mwaka
|
Eneo lililo limwa (He)
|
Uzalishaji
(Tani) |
Mahitaji ya chakula (Tani)
|
Ziada
(Tani) |
2014/2015
|
589,231.00 |
1, 877,942.1 |
549,910.20 |
1,328,031.90 |
2015/2016
|
563,826.18 |
1,597,895.65 |
563,108.00 |
1,034,787.65 |
2016/2017
|
738,282 .00 |
2,298,859.00 |
596,915.30 |
1,701,944.00 |
2017/2018
|
808,669.00 |
2,262,227.00 |
650,159.10 |
1,612,067.90 |
2018/2019
|
Mkoa umelenga kulima Hekta 903,649.53 ili kuvuna tani, 2,773,971.61 za mazao ya chakula.
|
Chanzo: Taarifa kutoka Halmashauri
MAZAO YA BIASHARA
Katika kipindi cha Januari, 2016 hadi Juni, 2018 Uzalishaji wa mazao makuu ya biashara kwa Mkoa wa Morogoro kama vile Pamba umeongezeka kutoka tani 217.2 hadi tani 5,141, Korosho imeongezeka kutoka tani 49 hadi tani 5,743, Cocoa imeongezeka kutoka tani 422 hadi kufikia tani 1,128, Alizeti imeongezeka kutoka tani 18,310 hadi tani 29,773 na Ufuta umeongezeka kutoka tani 39,698 hadi tani 57,316. Uhamasishaji wa kulima Mazao ya Mkakati ya Taifa (Kahawa, Korosho na Pamba) unaendelea.
Kilimo cha Kahawa
Zao la Kahawa lilikuwa likilimwa kwa wingi hapa Mkoani Morogoro Katika Wilaya za Mvomero, Morogoro, Gairo na Ulanga. Kwa sasa uzalishaji unaendelea katika Wilaya za Mvomero na Morogoro tu. Wilaya ya Ulanga na Gairo waliacha kuzalisha baada ya kukumbana na changamoto mbalimbali ikiwemo kukosekana kwa soko la uhakika. Aina ya kahawa inayolimwa katika Mkoa wetu ni Robusta na Arabica. Ili kuhakikisha kuwa zao la Kahawa linafufuliwa Mkoa unashirikiana na Watafiti kutoka Taasisi ya utafiti wa kahawa Tanzania – TACRI ili kutoa elimu ya kuzalisha zao la Kahawa kwa wataalam wetu. TACRI walitoa mafunzo kwa wataalam wa Halmashauri ya Wilaya ya Morogoro na Mvomero, Januari 2018. Hata hivyo, upandaji wa Kahawa zilizo oteshwa kwenye vitaru unatarajia kuanza msimu wa Mvua za Vuli mwaka 2018/2019 ambapo jumla ya Miche 300,089 itapandwa
.
Zao la Korosho
Mkoa wa Morogoro ni moja kati ya Mikoa inayolima korosho nchini na umeendelea na utekelezaji wa maendeleo ya zao la Korosho katika Wilaya za Mvomero, Kilosa, Ulanga na Malinyi. Aidha kwa msimu wa 2017/2018 Wilaya za Morogoro na Gairo pia zimeanza kilimo cha zao hili. Katika msimu wa kilimo wa 2017/2018 Mkoa ulilima ha. 3,353 na kuvuna jumla ya tani 5,743 za korosho.
Upatikanaji wa Pembejeo za Zao la Korosho
Katika msimu wa 2017/2018 Mkoa ulipatiwa mgao wa pembejeo, jumla ya kilo 74,491 za sulphur na lita 1,261 za dawa za maji kwa ajili ya kudhibiti visumbufu vya zao la korosho ambapo kiasi kilichopokelewa ni kilo 6,900 za sulphur na lita 480 za dawa za maji.
Jumla ya kilo 8,923 za mbegu zilipokelewa na zimepandwa katika eneo la hekta 15,581.4. Mgao wa mbegu ni kama unavyoonekana katika jedwali hapo chini. Pia Mkao ulipokea na kusambaza vifaa kwa ajili ya kuzalisha miche kwa njia ya vitalu.
Mgao wa Mbegu za Korosho 2017/2018
Na. |
H/Wilaya
|
Jumla ya mbegu
|
Mbegu kwa ajili ya miche (kilo)
|
Mbegu za kupanda (kilo)
|
1. |
Gairo
|
742 |
436 |
306 |
2. |
Kilosa
|
1,703 |
547 |
1,156 |
3. |
Malinyi
|
2,113 |
1,809 |
304 |
4. |
Morogoro
|
960 |
95 |
865 |
5. |
Mvomero
|
1,790 |
541 |
1,249 |
6. |
Ulanga
|
1,615 |
1,341 |
274 |
|
Mkoa
|
8,923 |
4,769 |
4,154 |
Picha: Kitalu cha Korosho- Malinyi DC
Kilimo cha pamba
Wilaya zinazozalisha Pamba ni Kilosa, Malinyi, Morogoro, Mvomero na Ulanga. Kutokana na hamasa ya kilimo cha zao la pamba kwa msimu wa 2017/2018 Halmashauri za Wilaya Gairo na Kilombero nazo zilihamasika kuanza kuzalisha zao hili la pamba kwa kujiwekea malengo na mikakati endelevu.
Upatikanaji wa Pembejeo kilimo cha Pamba.
Mbegu za pamba zilisambazwa kwa Wakulima na Kampuni ya Biosustain Tanzania Ltd yenye makao yake Mkoani Singida wakishirikiana na Bodi ya pamba. Usambazaji kwa msimu wa kilimo 2017/18 ulianza mapema ambapo jumla ya tani 130.73 za mbegu zilisambazwa.
PEMBEJEO ZA KILIMO
Mahitaji ya Pembejeo za Kilimo Msimu wa 2017/2018
Mkoa ulihitaji jumla ya Tani 1,967.6 za mbolea ya kupandia, tani 5,346.9 za mbolea ya kukuzia na lita 4,200 za viuatilifu.
Pembejeo za Ruzuku 2017/2018
Mfumo wa ruzuku kwa mwaka 217/18 ulitekelezwa kwa kufuata bei elekezi ya mbolea ya kupandia (DAP) na ya kukuzia (UREA). Bei elekezi ya mbolea ilipangwa na Mamlaka ya Udhibiti wa Mbolea Nchini (TFRA) kwa kuzingatia gharama za ununuzi wa mbolea kutoka kwenye chanzo (free on board), usafirishaji wake kwa meli, tozo mbalimbali, pamoja na faida ya wafanyabiashara. Bei elekezi iliyopangwa katika Mkoa wa Morogoro na Mamlaka ya udhibiti wa Mbolea Tanzania msimu wa 2017/2018 ilikuwa kama ifuatavyo;
Bei elekezi ya Mbolea ya UREA na DAP katika vituo vya Mauzo na Bei ya Mkulima katika Mkoa wa Morogoro 2017/2018.
Kituo cha Mauzo
|
UREA |
DAP |
||||||
Bei ya Jumla |
Bei ya Rejareja kwa Mkulima
|
Bei ya Jumla |
Bei ya Rejareja kwa Mkulima
|
|||||
Njia ya Barabara
|
Njia ya Reli
|
Njia ya barabara
|
Njia ya Reli
|
Njia ya Barabara
|
Njia ya Reli
|
Njia ya barabara
|
Njia ya Reli
|
|
Gairo DC
|
|
|
51,999 |
|
|
|
50,464
|
|
Ifakara
|
|
|
52,629 |
|
|
49,029
|
51,094
|
50,915
|
Kidatu (TRL)
|
|
|
52,178 |
|
|
|
50,643
|
|
Kilombero
(Ruaha) |
|
|
52,195 |
|
|
|
50,660
|
|
Kilosa
|
|
|
52,350 |
|
|
|
50,815
|
|
Kisaki
|
|
|
51,340 |
|
|
48,163
|
49,805
|
50,015
|
Malinyi
|
|
|
53,526 |
|
|
|
51,991
|
|
Mang’ula
|
|
|
52,284 |
|
|
48,775
|
50,750
|
50,651
|
Mikumi
|
|
|
51,999 |
|
|
48,523
|
50,464
|
50,389
|
Mlimba
|
|
|
52,671 |
|
|
49,854
|
51,136
|
51,771
|
Morogoro DC
|
|
|
51,287 |
|
|
|
49,751
|
|
Morogoro MC
|
48,437
|
48,437
|
51,287 |
|
|
48,780
|
49,752
|
|
Msolwa
|
|
|
52,207 |
|
|
48,684
|
50,672
|
50,556
|
Mvomero DC
|
|
|
51,548 |
|
|
|
50,013
|
|
Ulanga (Mahenge)
|
|
|
53,051 |
|
|
|
51,516
|
|
Chanzo: Taarifa kutoka TFRA2017/2018
Changamoto
Utatuzi wa changamoto.
Na.
|
Aina ya Pembejeo
|
Kiasi (Tani)
|
|
Mbolea ya DAP
|
7,552.76
|
|
Mbolea ya UREA
|
10,0046.3
|
|
Mbolea ya TSP
|
33
|
|
Mbolea ya CAN
|
355.6
|
|
Mbolea ya Yara Amidas
|
480.1
|
|
Mbolea ya NPK
|
2,798.88
|
|
Mbolea ya SA
|
1,543.1
|
|
Mbolea ya MINJINGU MAZAO
|
278.94
|
|
Mbolea ya YARAMILA NAFAKA
|
634.9
|
|
Mbolea ya MINJINGU NAFAKA
|
119
|
|
Mbolea ya YARA OTESHA
|
748.82
|
|
Mbegu bora ya Mahindi (CHOTARA)
|
220.7
|
|
Mbegu bora ya Mahindi (OPV)
|
3,227.1
|
|
Mbegu bora ya Mpunga
|
6,190.4
|
|
Mbegu bora ya Alizeti
|
89.824
|
|
Mbegu bora ya Ufuta
|
160.8
|
|
Mbegu bora ya Pamba
|
130.73
|
|
Mbegu bora ya Korosho
|
15.43
|
|
Miche bora ya Kahawa
|
Miche 300,089
|
Mahitaji ya Pembejeo Kimkoa kwa msimu wa mwaka 2018/2019 ni kama inavyo oneshwa kwenye jedwali lifuatalo.
Chanzo: Taarifa kutoka Mamlaka ya Udhibiti wa Mbolea Tanzania (TFRA) 2018/2019
|
UREA |
|
DAP |
|
||||||
Kituo cha Mauzo
|
Jumla Kg 50
|
Mkulima Kg 50
|
Mkulima Kg 25
|
Mkulima Kg 10
|
Mkulima Kg 5
|
Jumla Kg 50
|
Mkulima Kg 50
|
Mkulima Kg 25
|
Mkulima Kg 10
|
Mkulima Kg 5
|
JUMLA MKOA
|
51,043
|
54,908
|
29,454
|
11,982
|
6,091
|
58,914
|
63,237
|
33,619
|
13,647
|
7,524
|
Gairo DC
|
|
54,735
|
29,368 |
11,947
|
6,074
|
|
63,065
|
33,532
|
13,613
|
7,506
|
Ifakara
|
|
55,371
|
29,685 |
12074
|
6,137
|
|
63,700
|
33,850
|
13,740
|
7,570
|
Kidatu (TRL)
|
|
54,915
|
29,458 |
11,983
|
6,092
|
|
63,245
|
33,622
|
13,649
|
7,524
|
Kilombero
(Ruaha) |
|
54,933
|
29,467 |
11,987
|
6,093
|
|
63,263
|
33,631
|
13,653
|
7,526
|
Kilosa
|
|
55,089
|
29,545 |
12,018
|
6,109
|
|
63,419
|
33,709
|
13,684
|
7,542
|
Kisaki
|
|
54,070
|
29,035 |
11,814
|
6,007
|
|
62,400
|
33,200
|
13,480
|
7,440
|
Malinyi
|
|
56,276
|
30,138 |
12,255
|
6,228
|
|
64,606
|
34,303
|
13,921
|
7,661
|
Mang’ula
|
|
55,023
|
29,512 |
12,005
|
6,102
|
|
63,353
|
33,676
|
13,671
|
7,537
|
Mikumi
|
|
54,735
|
29,368 |
11,947
|
6,074
|
|
63,065
|
33,532
|
13,613
|
7,506
|
Mlimba
|
|
55,413
|
29,706 |
12,083
|
6,141
|
|
63,742
|
33,871
|
13,748
|
7,574
|
Morogoro DC
|
|
54,016
|
29,008 |
11,803
|
6,002
|
|
62,346
|
33,173
|
13,469
|
7,435
|
Morogoro MC
|
51,043
|
54,016
|
29,008 |
11,803
|
6,002
|
58,914
|
62,346
|
33,173
|
13,469
|
7,435
|
Msolwa
|
|
54,945
|
29,473 |
11,989
|
6,095
|
|
63,275
|
33,637
|
13,655
|
7,527
|
Mvomero DC
|
|
54,280
|
29,140 |
11,856
|
6,028
|
|
62,609
|
33,305
|
13,522
|
7,461
|
Ulanga (Mahenge)
|
|
55,797
|
29,898 |
12,159
|
6,180
|
|
64,126
|
34,063
|
13,825
|
7,613
|
Bei elekezi ya Mbolea ya UREA na DAP katika vituo vya Mauzo na Bei ya Mkulima katika Mkoa wa Morogoro 2018/2019.
Mkoa wa Morogoro una zaidi ya matrekta mazima 1055, mabovu 268 na upungufu ni matrekta 551. Pia Mkoa una power tiller nzima 438, mbovu 58 na majembe ya kukokotwa na wanyamakazi 18,616.
|
|
|
|
|
|
|
|
275,000,000 |
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
670,000,000
|
Umaliaziaji wa banio.
Ujenzi wa mfereji mkuu wa mita 1250 kati ya hizo mita 500 zitasakafiwa. Ujenzi wa mifereji ya upili 2, mmoja ukiwa na urefu wa mita 500, na mwingine mita 1575. |
|
|
Jedwali Na. 1: Hali Ya Utekelezaji wa Miradi ya Kuendeleza Skimu Ndogo za Umwagiliaji (Small Scale Irrigation Development Projects)
Katika mwaka wa fedha 2016/2017, Mkoa wa Morogoro ulipokea kiasi cha shilingi bilioni mbili na milioni mia saba arobaini (Tshs. 2, 740, 000,000/=) kwa ajili ya kuendeleza skimu kupitia mpango wa kuendeleza skimu ndogo za umwagilaji (Small scale irrigation Project) kama ifuatavyo;
Utekelezaji wa mradi wa kuendeleza Skimu ndogo za Umwagiliaji (Small Scale Irrigation Development Projects - SSIDP).
Mkoa una jumla ya skimu za umwagiliaji 112 ambazo zinajumuisha Skimu za asili 70 pamoja na Skimu zilizoendelezwa 42. Katika Skimu zilizoendelezwa, Skimu tano (5) zipo katika hatua mbalimbali za umaliziaji ambazo ni Lumuma (Kilosa), Dakawa (Mvomero), Mwega (Kilosa), Itete (Malinyi) na Mbalangwe (Morogoro Vijijini). Skimu zilizobaki zipo katika hatua mbalimbali za ujenzi, ingawa baadhi zinatumika katika shughuli za kilimo.
Elimu ya Kilimo shadidi imetolewa katika skimu za umwagiliaji za Wilaya ya Kilombero, Kilosa, Malinyi, Morogoro, Mvomero na Ulanga. Wakulima walianzisha mashamba darasa na kila mkulima alieshiriki alipatiwa pembejeo za ruzuku kwa kuchangia 50% na Mradi kuchangia 50%. Jumla ya wakulima 5,616 wamepatiwa elimu ya Kilimo Shadidi kuanzia msimu wa 2016/17 hadi 2017/2018 ambapo tija imeongezeka kutoka tani 3 hadi tani 5 kwa wakulima hao. Lengo ni kufikia Wakulima 22,000 ifikapo msimu wa 2020/2021.
Kilimo shadidi
Ujenzi Miundombinu ya umwagiliaji na maghala utafanyika katika skimu 5 za Wilaya ya Kilombero, Kilosa na Mvomero. Michoro na tenda vimeshakamilika, utaratibu wa kutangaza tenda unaendelea.
Ujenzi wa Miundombinu ya Umwagiliaji na Maghala
Kipengele hiki kinafanywa na ASA, Katrin, TOSCI na Halmashauri. Msimu uliopita jumla ya aina 11 za mbegu za mpunga wa mabondeni na wa nchi kavu zilipandwa katika Halmashauri ya Gairo, Mvomero, Kilombero, Kilosa, Morogoro DC, Malinyi na Ulanga. Wakulima wa maeneo hayo waliweza kuchagua aina tano za mbegu za mpunga ambazo zilipandwa kwa ajili ya kufanya uchaguzi zaidi. Aina zilizochaguliwa ni Komboka, Saro 5, Supa (mabondeni) na NERICA 4 na NERICA 7 (nchi kavu).
Uwepo wa Mfumo wa Mbegu wa kueleweka
Mradi unatekelezwa katika maeneo (component) manne ambayo ni Uwepo wa Mfumo wa mbegu wa kueleweka, Ujenzi wa Miundombinu ya Umwagiliaji na maghala, Upatikanaji wa Masoko pamoja na Ufuatiliaji na tathmini.
Serikali kwa kushirikiana na Benki ya Dunia inatekeleza Mradi wa Kilimo na Usalama wa Chakula ambao unalenga kuongeza uzalishaji na tija kwa zao la mpunga katika maeneo ya umwagiliaji. Mradi huu ni wa miaka mitano (2015 – 2020) ambao una lengo la kuongeza uzalishaji na tija kwa zao la Mpunga na ulianza kutekelezwa katika skimu tano ambazo ni Kigugu na Mbogo kwa Mtonga (Mvomero), Mvumi (Kilosa), Njage na Msolwa ujamaa (Kilombero).
Jedwali Na. 2: Skimu zitakazoendelezwa mwaka 2017/2018 kupitia mradi wa kuendeleza Umwagiliaji wa Mpunga (ERPP)
Na |
Skimu |
Eneo litakaloendelezwa (Ha) |
Kazi zitakazofanyika |
Gharama (Tshs), Bajeti iliyotengwa |
Hatua iliyofikia hadi Novemba, 2017 |
|
Mbogo (Mvomero)
|
200 |
Kufanya upembuzi yakinifu na ujenzi miundombinu
|
1,688,399,570 |
Makabrasha ya zabuni na michoro iko Wizara Kilimo tayari kwa kutangaza ujenzi
|
|
Kigugu (Mvomero)
|
200 |
Kufanya upembuzi yakinifu na ujenzi miundombinu
|
1,265,302,331 |
Makabrasha ya zabuni na michoro iko Wizara Kilimo tayari kwa kutangaza ujenzi
|
|
Njage (Kilombero)
|
254 |
Kujenga miundombinu ya skimu
|
598,408,515 |
Makabrasha ya zabuni na michoro iko Wizara Kilimo tayari kwa kutangaza ujenzi
|
|
Msolwa Ujamaa (Kilombero)
|
307 |
Kujenga miundombinu ya skimu
|
1,248,105,870 |
Makabrasha ya zabuni na michoro iko Wizara Kilimo tayari kwa kutangaza ujenzi
|
|
Mvumi (Kilosa)
|
250 |
Kufanya upembuzi yakinifu na ujenzi miundombinu
|
1,667,107,415 |
Makabrasha ya zabuni na michoro iko Wizara Kilimo tayari kwa kutangaza ujenzi
|
|
Njage (Kilombero) na Mvumi (Kilosa).
|
|
Kukarabati barabara za mashambani zenye urefu wa kilomita 7 (Njage) na kilomita 8 (Mvumi) kwa kiwango cha changarawe
|
579,254,000 |
Makabrasha ya zabuni na michoro iko Wizara Kilimo tayari kwa kutangaza ujenzi
|
|
Jumla
|
|
|
7,046,577,700
|
|
Miradi Inayofadhiliwa na Shirika la Marekani (USAID) Kupitia Mradi wa Umwagiliaji na Barabara za Vijijini (Irrigation and Rural Roads Infrastructure Projects).
Serikali ya Marekani kupitia mradi wa Irrigation and Rural Roads Infrastructure Projects imefanya Umempuzi yakinifu pamoja na usanifu katika miradi minne ya Umwagiliaji ambayo iko katika Halmashauri ya Wilaya ya kilombero. Miradi hiyo ni Kisegesa (7,298 ha), Mgugwe (2,270 ha), Udagaji (1,935 ha), Pamoja na Mpanga Ngalimila (31,500ha). Pesa ya Ujenzi wa miradi hiyo bado haijapatikana.
Ukarabati wa Skimu ya Umwagiliaji Dakawa
Serikali ya Marekani kupitia mradi wa Irrigation and Rural Roads Infrastructure Projects inakarabati skimu ya Umwagiliaji Dakawa. Skimu ya Dakawa inajumla ya hecta 3225 ambapo hecta 2000 zina miundombinu yaUmwagiliaji na hecta 1000 hazijaendelezwa na hecta 225 ni za makazi na huduma za kijamii. Umoja wa Umwagilaiji Dakawa (UWAWAKUDA) una jumla ya wanachama 850 ambapo 500 ni wanaume na 350 ni wanawake.
Kutokana na miundombinu ya mradi huu kuwa chakavu baada ya miaka 30 mwaka 2011 Serikali ya Marekani ilitenga kiasi cha Dola za Kimarekani 12,966,104$ kwa ajili ya ukarabati wa mradi huu. Ukarabati huu unafadhiliwa na Serikali ya Marekani kupitia USAID katika program yaFeed the Future (FTF). Ukarabati huu uko chini ya mradi wa Irrigation and Rural Roads Infrastructure Projects (IRRIP).
Kazi zinazofanyika ni Ujenzi wa barabara (access road) 800m na jengo la ofisi linalojumuisha chumba cha kuendeshea pampu (electrical control room) vimekamilika kwa 100% na Kufunga pump mpya sita.
MIFUGO
Mkoa wa Morogoro kwa sasa unakadiriwa kuwa na jumla ya ng’ombe 840,944 Mbuzi 356,169, Kondoo 125,652, Punda 9,867, Nguruwe 45,238, Mbwa 46,396, Paka 45,766, Kanga 83,654, Bata 61,443, Kuku wa asili 5,244,894.
Idadi ya watumishi
Mkoa wa Morogoro una jumla ya watumishi 251 wa sekta ya Mifugo kama jedwali linavyoonesha hapo chini
NA |
KADA
|
WALIOPO
|
MAHITAJI
|
UPUNGUFU
|
1 |
Madaktari wa Mifugo
|
10 |
16 |
6 |
2 |
Maafisa Mifugo
|
41 |
59 |
18 |
3 |
Maafisa Mifugo wasaidizi
|
200 |
543 |
343 |
JUMLA |
251 |
618 |
367 |
Miundombinu ya Mifugo
Mkoa una jumla ya Minada 27 Majosho 69 malambo 50 mabanio 23 Machinjio 9 Makaro 63 Mabanda ya ngozi 8, Maabara 2, vituo vinavyotoa huduma ya mifugo (vet centre) 28 na Hospitali ya mifugo 1
Uzalishaji wa maziwa
Jumla ya lita 6,600,000 za maziwa zenye thamani ya Tsh 6,600,000,000/= Zilizalishwa katika Mkoa wa morogoro kwa kipindi cha Januari hadi Novemba,2017.
Uzalishaji mayai
Jumla ya Trei za mayai 342,521 yenye thamani ya Tsh. 2,568,907,500/= yalizalishwa na kuuzwa katika Mkoa wa morogoro kwa kipindi cha Januari hadi Novemba,2017.
Jumla ya ng’ombe 108,649 wenye thamani ya Tsh. 43,459,600,000 mbuzi 10,340 wenye thamani ya Tsh. 517,000,000 na kondoo 29,777 zikiwa na thamani ya Tsh. 1,488,850,000 waliuzwa katika minada kwa kipindi cha Januari hadi Novemba,2017.
Mauzo ya Ngozi
Vipande vya ngozi kwa ipindi cha Januari hadi Novemba 2017 ni kama ifuatavyo; ngozi za ng’ombe vipande 5841 vyenye thamani ya shilingi 269,205,000 mbuzi vipande 28015 vyenye thamani ya shilingi 28,015,000 na kondoo vipande 13390 vyenye thamani ya shilingi 13,390,000.
Mauzo ya Kuku
Kwa kipindi cha Januari 2017 hadi desemba 2017 jumla ya kuku 577,000 wenye thamani ya shilingi 5,770,000,000 waliuzwa.
Jumla ya ngombe 196 wamepandishwa kwa njia ya chupa na jumla ya ndama 175 wamezaliwa kwa njia ya chupa kwa kipindi cha Januari hadi Novemba 2017.
Kwa mwaka huu 2017 Shirika la Land O’ Lakes kwa kushirikiana na Kampuni ya ABEA wanatoa huduma ya uhimilishaji na elimu kwa wafugaji juu ya uboreshaji wa koosafu za ng’ombe katika Halmashauri zote 9 za Mkoa wa Morogoro. Wafugaji wamehamasishwa kuvuna mifugo yao na kununua madume bora ya Boran kwa ajili ya kuboresha koosafu za mifugo yao ambapo hadi hivi sasa jumla ya wafugaji 10 wamenunua madume wapatao 50 wa aina ya Borani.
Utekelezaji wa Utambuzi wa Mifugo hadi kufikia Tarehe 15 Januari 2018
Katika kutekeleza zoezi la Usajili, Utambuzi na Ufuatiliaji wa mifugo, hadi kufikia tarehe 15/1/2018 jumla ya ng’ombe 703,753 wamepigwa Chapa kati ya ng’ombe 841,044 waliosajiliwa sawa na asilimia 84%. Utekelezaji kwa kila Halmashauri ni kama ifuatavyo;
Na |
HALMASHAURI |
WAFUGAJI WALIOSAJILIWA. |
IDADI YA NG’OMBE WALISAJILIWA/ LENGO |
IDADI YA NG’OMBE WALIOPIGWA CHAPA |
ASILIMIA YA NG’OMBE WALIOPIGWA CHAPA % |
1 |
Morogoro DC
|
1,481 |
116,173 |
81,710 |
70 |
2 |
Manispaa
|
465 |
9,377 |
8,187 |
87 |
3 |
Mvomero
|
2,929 |
189,708 |
161,030 |
85 |
4 |
Kilosa
|
6,558 |
208,279 |
147,218 |
70 |
5 |
Malinyi
|
5,154 |
122,776 |
122,776 |
100 |
6 |
Ifakara TC
|
252 |
5,720 |
7,030 |
100 |
7 |
Kilombero
|
5,853 |
91,314 |
91,314 |
100 |
8 |
Gairo
|
2,181 |
50,927 |
37,718 |
74 |
9 |
Ulanga
|
2,503 |
46,770 |
46,770 |
100 |
JUMLA KIMKOA |
27,376 |
841,044
|
703,753 |
84 |
Mikakati ya kutatua changamoto katika Sekta ya Mifugo
Kusimamia Sheria na 12 ya mwaka 2010 ya Utambuzi, Usajili na Ufuatiliaji mifugo kwa kupiga chapa ng’ombe.
Kila Halmashauri imeweka katika bajeti ya mwaka 2017/2018 fedha kwa ajili ya ujenzi wa miundombinu ya mifugo ili kuboresha afya za mifugo.
Zoezi la mpango wa matumizi bora ya ardhi linaendelea katika Halmashauri za Wilaya ya Ulanga, Malinyi na Kilombero, zoezi hili litaainisha maeneo kwa ajili ya malisho
USHIRIKA
Hadi kufikia Juni, 2018, Mkoa una jumla ya Vyama vya Ushirika 766, ambapo vyama 361 ni hai na aina mbalimbali vikiwemo vyama vya mazao, viwanda, Umwagiliaji, Uvuvi, Usafirishaji, madini, Vyama Vikuu na vyama vya Ubia vyenye jumla ya wanachama 52,617 (Wanaume ni 29,711 na wanawake 21,982 na vikundi 928) na Hisa zenye thamani ya shilingi 4,683649,000/=, Akiba zenye thamani ya 13,166,751,000/= na Amana za shilingi 1,049,322,000/=, na kufanya jmla ya Mtaji kuwa shilingi 18,899,722,000/=, kwa kipindi hiki Vyama vya Ushirika wa Akiba na Mikopo ( SACCOS) vipo 415 .
Hadi kufikia Juni 2018, SACCOS ziliweza kutoa Mikopo kwa Wanachama kiasi cha shilingi 74,140,621,000/= na Marejesho yaliyofanyika ni shilingi 50,451,118,000/= sawa na asilimia 68%. hivyo bakaa ya mikopo kwa wanachama kipindi hichi ni sawa na sh 23, 689,503,000/= ambapo ufuatiliaji wake unafanywa na Kamati za Mikopo za SACCOS husika.
Vyama vya Ushirika vya Mazao ndivyo vinavyofanya shughuli za ukusanyaji wa mazao ya Wakulima, vyama hivi havifanyi shughuli hiyo ipasavyo kutokana na kukosa Mitaji na sifa za kuweza kukopa katika Taasisi za fedha.
BIASHARA NA VIWANDA
TAARIFA YA VIWANDA NA UWEKEZAJI MKOA WA MOROGORO
1.0 Makundi ya Viwanda
Sera ya Wajasiriamali Wadogo na wa Kati – SMEs (Small and Medium Enterprises), imeweka mgawanyo wa makundi manne ya wajasiriamali kwenye viwanda ambayo huzingatia idadi ya wafanyakazi na mtaji uliowekezwa kwenye mitambo. Makundi hayo ni: Kiwanda Kidogo Sana (Micro enterprise), Kiwanda Kidogo (Small enterprise), Kiwanda cha Kati (Medium enterprise) ; na Kiwanda Kikubwa (Large enterprise).
Kiwanda Kidogo Sana ni kile ambacho kimeajiri wafanyakazi 1 hadi 4; na mtaji uliowekezwa hauzidi shilingi 5,000,000/=.
Kiwanda Kidogo ni kile ambacho kimeajiri wafanyakazi 5 hadi 49; na mtaji uliowekezwa ni zaidi ya shilingi 5,000,000/= lakini hauzidi shilingi 200,000,000/= .
Kiwanda cha Kati ni kile ambacho kimeajiri wafanyakazi 50 hadi 99; na mtaji uliowekezwa ni zaidi ya shilingi 200,000,000/= lakini hauzidi shilingi 800,000,000/=.
Kiwanda Kikubwa ni kile ambacho kimeajiri zaidi ya wafanyakazi 100; na mtaji uliowekezwa ni zaidi ya shilingi 800,000,000/=.
Idadi ya Viwanda Mkoani Morogoro
Hivyo, kwa mujibu wa takwimu za NBS (National Bureau of Statistics), Mkoa wa Morogoro una viwanda vikubwa 20, vya kati 14, vidogo 302; na vidogo sana 3,038 ambapo jumla ya viwanda vyote ni 3,374.
Mgawanyo wa viwanda hivyo kiwilaya ni huu ufuatao:
Na. |
Halmashauri
|
Viwanda Vikubwa
|
Viwanda vya Kati
|
Viwanda Vidogo
|
Viwanda Vidogo sana
|
Jumla
|
1 |
Morogoro Manispaa
|
10 |
3 |
120 |
587 |
720 |
2 |
Kilombero DC na Mji
|
4 |
4 |
59 |
764 |
831 |
3 |
Morogoro DC
|
2 |
1 |
14 |
374 |
391 |
4 |
Kilosa
|
1 |
3 |
45 |
614 |
663 |
5 |
Ulanga na Malinyi
|
1 |
1 |
30 |
272 |
304 |
6 |
Mvomero
|
2 |
2 |
19 |
265 |
288 |
7 |
Gairo
|
0 |
0 |
15 |
162 |
177 |
Jumla |
20 |
14 |
302 |
3,038 |
3,374 |
Na. |
Jina la Kiwanda
|
Mahali kilipo
|
1 |
21st Century Textile Mill Ltd
|
Eneo la viwanda Kihonda
|
2 |
Tanzania Packaging Manufacturers Ltd
|
Eneo la viwanda Kihonda
|
3 |
Morogoro Canvas Mill Ltd
|
Eneo la viwanda Kihonda
|
4 |
Abood Seed Oil Industry Ltd - MOPROCO
|
Msamvu
|
5 |
Tanzania Tobacco Processors Company Ltd
|
Barabara ya Tumbaku
|
6 |
Ace Leather Ltd
|
Eneo la viwanda Kihonda
|
7 |
Mzinga Corporation Ltd
|
Mzinga
|
8 |
Tanzania Railway Ltd Workshop
|
Kichangani
|
9 |
Mazava Fabrics and Production E. A. Ltd
|
Msamvu
|
10 |
Morogoro Urban Water and Sanitation Authority
|
Eneo la viwanda Kihonda
|
Viwanda vya Kati vya Halmashauri ya Manispaa ya Morogoro:
Na. |
Jina la Kiwanda
|
Mahali kilipo
|
1 |
Morogro Plastic Company Ltd
|
Kichangani
|
2 |
AEL Mining Services Ltd
|
Eneo la Viwanda Kihonda
|
3 |
Abood Soap Industry
|
Msamvu
|
Viwanda Vidogo vya Halmashauri ya Manispaa ya Morogoro:
Na. |
Jina la Kiwanda
|
Mahali kilipo
|
1 |
Shambani Graduates Milk Processing Factory
|
Barabara ya Dodoma
|
2 |
Intermech Enginnering Ltd
|
Eneo la Viwanda Kihonda
|
3 |
Morogoro Wire Rolling Ltd
|
Barabara ya SUA
|
4 |
SAS Gas Ltd
|
Msamvu
|
5 |
Zembii Workshop
|
Kenyata
|
6 |
Mzude Welding
|
Betelo – SUA Keep left
|
7 |
Maneno Kilengano Furniture
|
Betelo – SUA Keep left
|
8 |
John Charles Lulaka Furniture
|
Betelo – SUA Keep left
|
9 |
Uroki Furniture
|
Betelo – SUA Keep left
|
10 |
Michael Wilfred Kikwesha Furniture
|
Mindu
|
11 |
Simba Furniture
|
Kingo Police Post
|
12 |
Abdul Furniture
|
Betelo – SUA Keep left
|
13 |
Ibrahim Mdede Furniture
|
Kingo Police Post
|
14 |
Ramadhan Mdoe Furniture
|
Ngoto-Top Life Hotel
|
15 |
Nyandila Furniture
|
Betelo
|
16 |
Samwel John Mathayo Furniture
|
Kingo
|
17 |
Mkasanga Sofa
|
Betelo
|
18 |
Nemes J. Laswai Furniture
|
Kingo
|
19 |
James & Oscar Furniture
|
Betelo
|
20 |
Pema Miller
|
Kanisani
|
21 |
Mambo ya Yesu Grain Mill
|
Mindu
|
22 |
Katundu Rice Mill
|
Mindu
|
23 |
Vedasto Rice Mill
|
Mindu
|
24 |
Kiwawa Rice Mill
|
Mindu
|
25 |
Tembo Milling
|
Unguu A
|
26 |
Tennes Bakery
|
Simba
|
27 |
Brossis Soft Drinks Ltd
|
Mindu
|
28 |
MM Blocks Manufacturers
|
Mindu
|
29 |
Alluminium & Glasses Workshop
|
Mindu
|
30 |
Joram Buberwa Kiriva Welding
|
Sabu
|
31 |
Samfordy Shirima Motor Vehicle Parts Manufacturer
|
Mindu
|
32 |
Topela Furniture Workshop
|
Kiswanya
|
33 |
Victor Furniture Workshop
|
Mindu
|
34 |
Harry Zakaria Kihongosi Furniture Workshop
|
Mindu
|
35 |
Best Vibrated Blocks
|
Ujenzi/Kilimahewa
|
36 |
Amir Ndaja Grain Mill
|
SIDO Karakana
|
37 |
Mjasiriamali Grain Mill Investment Ltd
|
Simu C
|
38 |
Kiviza Metal Workshop
|
Makaburi C
|
39 |
Jungu Group Metal Workshop
|
Funikwa
|
40 |
Mark Atanas Furniture Workshop
|
Simu A
|
41 |
Big Brother House of Furniture Workshop
|
Simu A
|
42 |
Mkude Milling Mashine
|
Nkomo
|
43 |
Bico Millers
|
Nkomo
|
44 |
Dar Moro Allumium & Glasss Workshop
|
Masika
|
45 |
Kennedy Makick Ngowi Fabricated Metal Manufacturer
|
Shamba
|
46 |
K. B. Maize Mill
|
Nkomo
|
47 |
Beath John Masaika Furniture Workshop
|
Nkomo
|
48 |
Riziki kwa zamu Milling
|
Nkomo
|
49 |
Mashaka Ramadhani Mavula Milling
|
Nkomo
|
50 |
Elizabert Tailoring
|
Uhuru
|
51 |
Mama Aika Tailoring
|
Karume B
|
52 |
Idd Omary Tailoring
|
Uhuru
|
53 |
Felia G. Chuma Tailoring
|
Boma Road
|
54 |
Jesca Japhet Tailoring
|
Boma Road
|
55 |
Simba Furniture Workshop
|
Shosti
|
56 |
Idd Furniture Workshop
|
Mlapakolo
|
57 |
Miraji Ally Athumani Furniture Workshop
|
Boma Road
|
58 |
Fraterini Josephat Senya Metal Workshop
|
Madaraka
|
59 |
Kabwanga Metal Woks & Fabrication
|
Mlali Road
|
60 |
Kimenya Furniture Workshop
|
Kati
|
61 |
Upendo shop & Tailoring
|
Manzese
|
62 |
Rahman Mills
|
Tupendane
|
63 |
Niledene Milling
|
Gold street
|
64 |
Shaban Kapera Bakery
|
Modeko
|
65 |
International Tanfeeds Ltd
|
Modeko A-Tanki la maji
|
66 |
MBW Wine Breweries
|
Mbuyuni
|
67 |
Kandete Culture Footwear Manufacturer
|
Maghorofani
|
68 |
Dusa Vibrated Blocks
|
Modeko A-Iringa Road
|
69 |
JVB Wales Enock Vibrated Blocks
|
Modeko A
|
70 |
Tazama Vibrated Blocks
|
Dodoma Road
|
71 |
Filias Metal Workshop
|
Kihonda Maghorofani
|
72 |
BSK Engineering
|
Modeko A – Iringa Road
|
73 |
Emelian Christian Matimila Furniture Workshop
|
Ipoipo
|
74 |
Frida Salvatory Mfimba Furniture Workshop
|
Jakalanda
|
75 |
Sun Africa Maize Mill
|
Mtawala
|
76 |
Khamis Nyange Grain Mill
|
Mwembesongo
|
77 |
Pema Millers
|
Saadan
|
78 |
Baraka Bakery Company
|
Mtawala
|
79 |
Tanbreed Poultry Feeds Manufacturers Ltd
|
Magodoro
|
80 |
Hamza Said Tailoring
|
Mafisa
|
81 |
Contena Tailoring Centre
|
Mfungua kinywa
|
82 |
Zabibu Yabula Tailoring
|
Mwigole
|
83 |
Mohamed Muhsin Hamisi
|
Mtawala
|
84 |
Quality Timber Sawmilling & Wood Work
|
Magodoro
|
85 |
MZ Plastic Packaging Manufacturers
|
Mtawala
|
86 |
Seif Plastics Manufacturers
|
Magodoro
|
87 |
Wazawa Community Porcelain Manufacturers
|
Mafisa
|
88 |
Charange Vibrated Blocks
|
Mtawala
|
89 |
Ombeni Urasa Vibrated Blocks
|
Magodoro
|
90 |
Simba Vibrated Blocks
|
Sume
|
91 |
Felix Martin Metal Workshop
|
Kihonda Mbuyuni
|
92 |
JK Alluminium & Furniture Workshop
|
Mwembesongo
|
93 |
Mzambarauni Furniture Workshop
|
Mzambarauni
|
94 |
Enock Yela Nswila Grain Mill
|
Mwande
|
95 |
Ngosha Milling
|
Karakana
|
96 |
Tanfeeds International Animal feeds Manufacturers
|
Mwande
|
97 |
Pembejeo Vibrated Blocks General Supply Ltd
|
Area Six
|
98 |
Morogoro Wire Nulting Ltd
|
Karakana
|
99 |
Magomba Tailoring
|
Bwinila
|
100 |
U Vibrated Blocks
|
Uwalimu
|
101 |
Kilakala Furniture Workshop
|
Bwinila
|
102 |
Peter Lugata Furniture Wokshop
|
Bigwa Sokoni
|
103 |
Zainabu Omega Printers & Stationery Supplies Ltd
|
Boma Road
|
104 |
Mshunga Bakery
|
Mgonahazelu
|
105 |
Africa Leather Products & Art
|
Nanenane (Oil com)
|
106 |
Swere Method Vibrated blocks Makers
|
Nanenane
|
107 |
Nanenane Vibrated Blocks makers
|
Nanenane
|
108 |
Abdallah Aziz Welding Workshop
|
Nanenane –Kituo cha Polisi
|
109 |
Paulo Mongi Metal Workshop
|
Nanenane (Glonency)
|
110 |
Barnabas & Godfrey Metal Workshop
|
Bigwa Barabarani
|
111 |
3D &B Holding Co. Ltd – Fahari Water Bottlers Co.
|
Bigwa Barabarani
|
112 |
High Quality Sembe Milling
|
Majengo mapya
|
113 |
Manyuki Super Sembe
|
Mgudeni
|
114 |
Ben Mgata Sawmilling & Woodwork
|
Kihonda
|
115 |
Uvika Group Vibrated Blocks Makers
|
Kihonda Kaskazini
|
116 |
Salum Mrisho Metal Workshop
|
Kilongo
|
117 |
Mustafa Said Furniture Workshop
|
Kihonda Kaskazini
|
118 |
New Morogoro Rice Mill
|
Mindu
|
119 |
Rock Wings Plastics Recycling
|
Mtawala
|
120 |
Morogoro Food Processors Cluster Initiative
|
Msamvu-Mbuyuni
|
Na. |
Jina la Kiwanda
|
Mahali kilipo
|
1 |
Kilombero Sugar Company Ltd. – ILLOVO K1
|
Kidatu
|
2 |
Kituo cha Kuzalisha Umeme Kidatu
|
Kidatu
|
3 |
Kilombero Plantation Ltd
|
Mngeta
|
4 |
Mang’ula Mechanical and Machine Tools Ltd
|
Mang’ula
|
Viwanda vya Kati vya Wilaya ya Kilombero:
Na. |
Jina la Kiwanda
|
Mahali kilipo
|
1 |
Udzungwa Pure Drinking Water Ltd
|
|
2 |
Maji Kilombero Ltd
|
Ifakara
|
3 |
Timber Tone Ltd– Ushirikiano Wood Products Ltd
|
Mang’ula
|
4 |
Kihansi Electric Power Generation
|
Kihansi
|
Viwanda Vidogo vya Wilaya ya Kilombero
Na. |
Jina la Kiwanda
|
Mahali kilipo
|
1 |
Fausta Raymond Ngowi Grain Milling
|
Mkamba A kwa Ngowi
|
2 |
Robert & Yasin Furniture Workshop
|
Nyandeo Shule ya Msingi
|
3 |
Alfons Kuwet Furniture Workshop
|
Uhuru
|
4 |
Mohamed Milulu Metal Workshop
|
Sonjo Kati
|
5 |
Obeid Nko Grain Mill
|
TAZARA
|
6 |
Petro Said Manyema Milling
|
Madukani
|
7 |
Aziz Hemed Msuya Milling
|
Postal Area
|
8 |
KKKT Dayosisi ya Mang’ula Tailoring
|
Sokoni
|
9 |
Upendo Group Wood works
|
General Tyre
|
10 |
Mustafa Bendera Rice Mill
|
TAZARA
|
11 |
Anselmo Nalyoto Rice Mill
|
Signal mjini
|
12 |
Chicingo Rice Mill
|
Shungu
|
13 |
Kikundi cha Wakulima Vijana Mbasa Rice Mill
|
Maendeleo
|
14 |
Green World General Traders Rice Mill
|
Stesheni
|
15 |
Chikago Rice Milling
|
Nduna
|
16 |
Sugu Rice Mill
|
Upogoro
|
17 |
Christopher Mangwangwe Rice Mill
|
Upogoro
|
18 |
Ally Nasoro Amiri Rice Mill
|
Upogoro
|
19 |
Nnuko Rice Mill
|
Mkuya
|
20 |
Kibichwa Rice Mill
|
Viwandani
|
21 |
Muya Rice Mill
|
Viwandani
|
22 |
Ndelema Rice Mill
|
Viwandani
|
23 |
Mandela Rice Mill
|
Viwandani
|
24 |
Shirima Rice Mill
|
Viwandani – Kilosa Road
|
25 |
Super Kanyanza Rice Mill
|
Jongo
|
26 |
Mnaber Rice Mill
|
Upogoro
|
27 |
Upendo Group Carpets Makers
|
Viwanja sitini
|
28 |
Ifakara Women Weavers
|
Upogoro Hiwa -Postal area
|
29 |
Emilia Tailoring
|
Upogoro–Miembeni Mission
|
30 |
Frank Thomas Furniture Workshop
|
Viwandani
|
31 |
Gesto Moyo Furniture Workshop
|
Nduna-Wana Road
|
32 |
Kajiru Timber Workshop
|
Nduna
|
33 |
Christian Furniture Workshop
|
Mlabani A - Nazareth Kota
|
34 |
Manfred Ngogolo Furniture Workshop
|
Nduna
|
35 |
Juakali Mshikamano Group Furniture Workshop
|
Nduna
|
36 |
Emma & Isian Furniture Workshop
|
Uhuru
|
37 |
Robert Mwasandube Furniture Workshop
|
Nduna
|
38 |
Godfrey Chawangua Furniture Workshop
|
Mlabani A
|
39 |
David Emmanuel Chihani Carpentry
|
Mlabani A-Nazareth Kota
|
40 |
Donald Mlundachuma Carpentry
|
Viwanja sitini
|
41 |
Upendo Women Group Porcelain products makers
|
Lumemo B
|
42 |
Amons Understone Pwere Grain Milling
|
Miale
|
43 |
Wakinamama Rice Milling
|
Mbingu kati
|
44 |
Moshi Kilembe Rice Milling
|
Igima
|
45 |
Walalahoi Group Furniture Workshop
|
Igima
|
46 |
Ifakara Water Supply Authority
|
Kibaoni-Bomani
|
47 |
Titus Ndulu Grain Mill
|
Mchombe
|
48 |
Wafanyabiashara Warehouse Rice Milling
|
Mlumbaji
|
49 |
Mamcos Rice Milling
|
Mpanga A -KCY
|
50 |
Bosco Fakobu Kindanda Rice Milling
|
Mikoroshini
|
51 |
Fred Mjoge – Kigoma Rice Milling
|
Mikoroshini
|
52 |
Boniface Mwalongo Rice Mill
|
Gezaulole
|
53 |
Neto Sanga Rice Mill
|
Wazee
|
54 |
Alex Hanga Tailoring
|
Sokoni
|
55 |
Mkula Furniture Workshop
|
Barabara Mpya
|
56 |
Sadala Hamisi Hassani Furniture Workshop
|
Gezaulole
|
57 |
Jitegemee Group Carpentry
|
Viwanja sitini
|
58 |
Robert Swenye Furniture Workshop
|
Mlimba
|
59 |
Salehe Mtwanga Furniture Workshop
|
Gezaulole
|
Na.
|
Jina la Kiwanda
|
Mahali kilipo
|
1
|
Alliance One Tobacco Tanzania Ltd
|
Mkambarani
|
2
|
Philip Morris Cigarette Company Ltd
|
Mkambarani
|
Kiwanda cha Kati cha Halmashauri ya Wilaya ya Morogoro
Na. |
Jina la Kiwanda
|
Mahali kilipo
|
1 |
Unnat Fruit Processing Co. Ltd
|
Mkambarani-Hakifanyikazi
|
Viwanda Vidogo vya Halmashauri ya Wilaya ya Morogoro
Na. |
Jina la Kiwanda
|
Mahali kilipo
|
1 |
Costantin Mruge Furniture Workshop
|
Manispaa
|
2 |
Upendo Group Nyalutanga Furniture Workshop
|
Gomero Kaskazini
|
3 |
Expeditho Primas Furniture Workshop
|
Matola
|
4 |
Hamis Aluminium & Glass Workshop
|
Ngerengere mjini
|
5 |
Omary Hussein Furniture Workshop
|
Kibulumo
|
6 |
Aujenus Salinyambwe Furniture Workshop
|
Njianne
|
7 |
Jumuiya ya Watumia Maji Ngerengere
|
Ngerengere mjini
|
8 |
Alhaji Furniture Workshop
|
Tandai
|
9 |
Nole Furniture Workshop
|
Tandai
|
10 |
Paulo Mkoba Furniture Workshop
|
Mtamba chini
|
11 |
Common Group Furniture Workshop
|
Mkambarani
|
12 |
Zainab Zengwa Tailoring
|
Kibunduga
|
13 |
Laurent Raphael Furniture Workshop
|
Dikoni
|
14 |
Wilfred Kumambi Furniture Workshop
|
Kibunduga
|
Na. |
Jina la Kiwanda
|
Mahali kilipo
|
1 |
Kilombero Sugar Company – K2
|
Kidatu
|
Viwanda vya Kati vya Wilaya ya Kilosa
Na. |
Jina la Kiwanda
|
Mahali kilipo
|
1 |
Husmam Refining Machine
|
Msowelo B
|
2 |
China State Farm Ltd
|
Rudewa
|
3 |
New Kimamba Fibres Ltd
|
Kimamba
|
Viwanda Vidogo vya Wilaya ya Kilosa
Na. |
Jina la Kiwanda
|
Mahali kilipo
|
1 |
Vijana Group Furniture Workshop
|
Kibaoni
|
2 |
Juhudi Furniture Workshop
|
Kibaoni
|
3 |
Steven Chikoga Furniture Workshop
|
Kibaoni
|
4 |
Chombo cha Watumia maji
|
Mazimbu
|
5 |
Sadik Dafa Furniture Workshop
|
Bwawani
|
6 |
Kilimanjaro Furniture Workshop
|
Mgudeni
|
7 |
Suleiman Ally Furniture Workshop
|
Mgudeni
|
8 |
Khamisi Hassan Nippu Metal Work
|
Kichangani
|
9 |
Nassoro Mana Metal Work
|
Bwawani
|
10 |
Musa Mvungi Rice Mill
|
Mvumi
|
11 |
Juma Ngewzi Rice Mill
|
Mvumi B
|
12 |
New Msowero Farm Ltd Sisal Processing
|
Msowero
|
13 |
Mbombe Family Rice Mill
|
Madizini
|
14 |
Masumbuko Family Furniture Workshop
|
Mvumi
|
15 |
Vijana Furniture Workshop
|
Msowero B
|
16 |
Samwel John Furniture Workshop
|
Madizini
|
17 |
Jumuiya ya Maji Mvumi
|
Mvumi A
|
18 |
Adinan Kassim Grain Mill
|
Mabatini A
|
19 |
Mohamed Alfan Grain Mill
|
Rudewa
|
20 |
Kimamba Water Supply Co.
|
Kimamba Postal street
|
21 |
Odinga Rice Milling
|
Uhindini
|
22 |
Kassim Stema Furniture Workshop
|
Uhindini
|
23 |
Shaban Magari Furniture Workshop
|
Kimamba B
|
24 |
Seif Ngola Grain Mill
|
Viwandani
|
25 |
Frojima Group Grain Mill
|
Kasiki
|
26 |
Mamnya Fashion Tailoring
|
Sabasaba
|
27 |
Seif Ngola Furniture Workshop
|
Viwandani
|
28 |
Dar Kilosa Aluminium Glass
|
Mbumi A
|
29 |
Vijana Sabasaba Furniture Workshop
|
Mbumi A
|
30 |
Corner Furniture Workshop
|
Viwandani
|
31 |
Mambo Tuzo Furniture Workshop
|
Viwandani
|
32 |
James Mushi Vibraters
|
Manzese
|
33 |
Kikundi cha Walemavu Kiyangayanga Tailoring
|
Mbwamaji
|
34 |
Seif Mohamed Swaleh Kiyegu Furniture Workshop
|
Mbwamaji
|
35 |
Kilosa Urban Water Supply Authority
|
Isoko
|
36 |
Kilawilo Rice Milling
|
Kitopeni
|
37 |
Kivungu Furniture Workshop
|
Gulioni
|
38 |
Riziki kwa Mungu Tailoring
|
Greeb mjini
|
39 |
Leons Mhawila Wood works
|
Kidoma
|
40 |
Weusi Furniture Workshop
|
Kidoma
|
41 |
Malausi Change Furniture Workshop
|
Mjini
|
42 |
Kikundi cha Wazee Grain Mill
|
Dinima
|
43 |
Gemile Magohakitwi Grain Mill
|
Mikwambeni
|
44 |
Twiga Tailoring
|
Ruaha B - Sokoni
|
45 |
Jumuiya ya Watumia maji Ruaha
|
Ruaha D
|
Na.
|
Jina la Kiwanda
|
Mahali kilipo
|
1
|
Kilombero Valley Teak Company Ltd - KVTC
|
Mavimba
|
Kiwanda cha Kati cha Wilaya ya Ulanga na Malinyi
Na.
|
Jina la Kiwanda
|
Mahali kilipo
|
1
|
Mingoyo Saw Mill Co. Ltd
|
Mingoyo
|
Viwanda Vidogo vya Wilaya ya Ulanga na Malinyi
Na. |
Jina la Kiwanda
|
Mahali kilipo
|
1 |
Wajane Grain Mill
|
Gezaulole
|
2 |
|
Iyundo
|
3 |
Agaton Mtemba Furniture Workshop
|
Alamba
|
4 |
Elias Kachimu Rice Mill
|
Mbasa - Golan
|
5 |
Nida Tusobe Rice Mill
|
Lupiro kati
|
6 |
Miasili Rice Mill
|
Zahanati
|
7 |
Walimu SACCOS Rice Mill
|
Mbasa
|
8 |
Alex Namnamoja Rice Mill
|
Igumbiro kati
|
9 |
Chief Rumanyika Rice Mill
|
Mbasa -Golan
|
10 |
Kimwaga Rice Mill
|
Libalatula
|
11 |
Dosantos Uyalo Rice Mill
|
Lupiro kati–Dosantos Uyalo
|
12 |
Fimbo ya Mnyonge Rice Mill
|
Mikindani
|
13 |
Fadhili Maganga Rice Mill
|
Libalatula
|
14 |
Furniture Group Workshop
|
Mikindani
|
15 |
Kwiro Furniture Workshop
|
Ukwama-Kwiro Sekondari
|
16 |
Deo Mashi Furniture Workshop
|
Ukwama -kwa Deo
|
17 |
Alex Nkini Furniture Workshop
|
Mahenge mjini
|
18 |
Mtitu Furniture Workshop
|
Togo
|
19 |
Joseph Evarist Furniture Workshop
|
Togo
|
20 |
Faustin Ngolongolo Furniture Workshop
|
National
|
21 |
Mahenge Urban Water Autrhority
|
Mahenge
|
22 |
Mohamed International Saw Mill Co. Ltd
|
Isongo
|
23 |
Philbert Linuma Furniture Workshop
|
Ruaha kati
|
24 |
Mathias Kinyama Rice Mill
|
Lupiro kati
|
25 |
Bruno Kingota Furniture Workshop
|
Makerere
|
26 |
Tushikamane Group Furniture Workshop
|
Magasunga
|
27 |
Vijana Furniture Workshop
|
Kigamboni
|
28 |
Mohamed Enterprise Teak Saw Mill Co. Ltd
|
Mavimba
|
29 |
Kivukoni Muungano Agri Business Rice Milling
|
Kivukoni
|
30 |
Malinyi MAMCOS Rice Milling
|
Malinyi - Misegese
|
Na. |
Jina la Kiwanda
|
Mahali kilipo
|
1 |
Mtibwa Sugar Estates Ltd
|
Mtibwa
|
2 |
Dakawa Rice Mill Complex
|
Dakawa
|
Viwanda vya Kati vya Wilaya ya Mvomero
Na. |
Jina la Kiwanda
|
Mahali kilipo
|
1 |
Cielmac Saw Mill (T) Ltd
|
Lusanga A
|
2 |
Milama Fruits Processing Co. Ltd
|
Magole
|
Na. |
Jina la Kiwanda
|
Mahali kilipo
|
1 |
Boniface Hilipo Furniture Workshop
|
Kijoja
|
2 |
UKI Metal Works Enterprise
|
Madukani
|
3 |
Michael Lugendo Furniture Workshop
|
CCM
|
4 |
Philbert Kanyau Furniture Workshop
|
Zaire
|
5 |
Said Ally Rice Milling
|
Bungoma
|
6 |
Mkindo Rice Milling
|
Minazini
|
7 |
Hemed Jumbe Mbelwa Furniture Workshop
|
Kongo
|
8 |
EB Meja Rice Mill
|
Uzigua
|
9 |
John Alphonce Furniture Workshop
|
Mvaji
|
10 |
Mohamed Woodworks Enterprise Ltd
|
Lusanga A
|
11 |
Justina Ernest Porcelain products makers
|
Shuleni
|
12 |
Mery HermanAnthon Clay products
|
Manyinga shuleni
|
13 |
Masawe Bolt & Nuts Metal works
|
Njiapanda
|
14 |
Mohamed Fadhil Ally Furniture Workshop
|
KKKT
|
15 |
Faraja Furniture Workshop
|
Kanisani
|
16 |
Chama cha Ushirika Twawose Dairy Processors
|
Msewe
|
17 |
Ramadhan Rajabu Metal Workshop
|
Mailikuli
|
18 |
Yohana Mary Furniture Workshop
|
Majengo
|
19 |
UWAWAKUDA Rice Milling
|
Dakawa
|
Na. |
Jina la Kiwanda
|
Mahali kilipo
|
1 |
Ally Omary Furniture Workshop
|
Chakwale
|
2 |
Abel Mmanyi Furniture Workshop
|
Kilimani
|
3 |
Fanuel Nginga Grain Mill
|
Chamwino
|
4 |
Alain Richard Mwangila Furniture Workshop
|
Ilala
|
5 |
Juvenary Mnene Quarrying
|
Magoweko
|
6 |
Sunflower Oil Mill
|
Mbuyuni
|
7 |
Noel Majaliwa Tailoring
|
Magohego
|
8 |
Gairo Tailoring
|
Kisiwani
|
9 |
Mkandala Furniture Workshop
|
Gengeni
|
10 |
Maulid Swalehe Carpentry
|
Kisiwani B
|
11 |
Sai Metal Workshop
|
Unguu Road
|
12 |
Gairo Metal Works Enterprise & General Supplies
|
Unguu Road
|
13 |
Gendaheka Furniture Workshop
|
Unguu Road
|
14 |
Kapulwa Metal Works
|
Lubeho mjini
|
15 |
Mnjuki Family Furniture Workshop
|
Lubeho mjini
|
Viwanda ambavyo haviendelei na Uzalishaji
Viwanda Vilivyojengwa na Serikali
Idadi ya
Vote |
Vilivyo
Binafsishwa |
Haviku
Binafsishwa |
Vinavyo
Fanya kazi |
Vinavyo
Suasua |
Vilivyo
Fungwa bado |
Vilivyo
Fufuliwa |
Visivyo na
Mitambo |
16 |
14 |
2 |
5 |
2 |
4 |
1 |
2 |
MKAKATI WA MKOA WA KUJENGA VIWANDA 100 KILA MWAKA
Utangulizi
Mkoa wa Morogoro unatekeleza Agizo la Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Joseph Magufuli la kujenga viwanda 100 kila mwaka kupitia Mkakati wa Mkoa wa ujenzi wa viwanda hivyo, ulioandaliwa kwa kuwashirikisha Wadau mbalimbali wa viwanda, biashara na uwekezaji waliomo Mkoani Morogoro wa pande kuu mbili ambazo ni Sekta ya Umma na Sekta Binafsi.
Hatua za Kutekeleza Mkakati
Hatua 1
Kukutanisha Wadau wa viwanda wa Sekta ya Umma na Sekta Binafsi waliomo Mkoani
Mkakati wa Utekelezaji
|
Wahusika
|
Muda wa Utekelezaji
|
Hali ya Utekelezaji
|
i.Kuwa na uelewa wa pamoja kuhusu dhana ya ujenzi wa viwanda kwa: Kuainisha makundi ya viwanda ambayo ni Viwanda vidogo kabisa (Micro industries), Viwanda vidogo (Small industries), Viwanda vya kati Medium industries); na Viwanda vikubwa (Large industries).
Pia, kuuvaa uhusika katika uhamasishaji wa ujenzi wa viwanda - Sekta ya Umma; na ujenzi wenyewe wa viwanda - Sekta Binafsi. |
Wakuu wa Wilaya, Wenyeviti/Mameya & Wakurugenzi wa Mamlaka za Serikali za Mitaa (MSM); Taasisi za Umma na Binafsi
|
Ifikapo Desemba 2017
|
Vilifanyika vikao 2 vya Baraza la Biashara la Mkoa tarehe 22 novemba & 15 Desemba 2017 ambavyo viliwakutanisha Wadau mbalimbali wa Taasisi za Umma na Sekta Binafsi.
|
ii. Kukumbushana Wajibu wa Sekta ya Umma na Sekta Binafsi katika uwekezaji kwenye viwanda: ambapo jukumu la Sekta ya Umma ni kuhakikisha uwepo wa mazingira rafiki na wezeshi ya uwekezaji ikiwa ni pamoja na kusimamia Sera na Sheria zinazolinda uwekezaji; na Sekta Binafsi ni kuanzisha viwanda vijijini na mijini.
|
Wakuu wa Wilaya, Wenyeviti/Mameya & Wakurugenzi wa MSM; Taasisi za Umma na Binafsi
|
Ifikapo Desemba 2017
|
Ukumbushanaji ulifanyika kwenye kikao cha kwanza cha Baraza la Biashara la Mkoa cha tarehe 22 Novemba 2018
|
iii. Kuwashawishi wawekezaji wenye mitaji kuwekeza Mkoani Morogoro.
|
Wakuu wa Wilaya, Wenyeviti/Mameya & Wakurugenzi wa MSM; Taasisi za Umma na Binafsi
|
Ifikapo 01 Desemba 2018
|
Mabaraza ya Biashara ya Wilaya yameundwa ili kunadi fursa za uwekezaji zilizomo na utatuzi wa vikwazo vya uwekezaji
|
Hatua ya 2
Kufuatilia kwa karibu Wawekezaji walioonesha nia ya dhati ya kuwekeza Morogoro
Mkakati wa Utekelezaji
|
Wahusika
|
Muda wa Utekelezaji
|
Hali ya Utekelezaji
|
Kuainisha maeneo ya uwekezaji na kuyapima (Survey).
|
Wakurugenzi wa Mamlaka za Serikali za Mitaa
|
Ifikapo Machi 2018
|
Taarifa ya uainishaji na upimaji wa maeneo ya uwekezaji ya Halmashauri ilitolewa kwenye kikao cha tarehe 29/03/2018 ambapo maeneo yameainishwa; na jumla ya ekari 31,697.02 (hekta 12,678.8) zimepima
|
b). Ufikishaji na uboreshaji wa miundombinu ya barabara, maji, umeme kwenye maeneo ya ujenzi wa viwanda.
|
Mamlaka za Serikali za Mitaa, Taasisi za Umma na Binafsi husika na miundombinu tajwa.
|
Ifikapo Juni 2018
|
Utekelezaji ni endelevu kwa kwa Taasisi husika
|
c). Kuimarisha ulinzi na usalama kwa mali za wawekezaji pamoja na wawekezaji wenyewe.
|
Wakuu wa Wilaya
|
Ifikapo 01 Desemba 2018
|
Hali ya ulinzi na usalama kwa wawekezaji na mali zao ni shwari
|
d). Kuhakikisha unakuwepo upatikanaji wa uhakika wa wafanyakazi mahili kulingana na mahitaji ya viwanda.
|
VETA, SIDO, Vyuo Vikuu
|
Ifikapo Julai 2018
|
Utekelezaji wa suala hili ni endelevu kwa vyuo husika
|
Hatua ya 3
Kuhimiza Ufufuaji wa viwanda vilivyofungwa na vile ambavyo kwa sasa ni majengo tu
Mkakati wa Utekelezaji
|
Wahusika
|
Muda wa Utekelezaji
|
Hali ya Utekelezaji
|
Kuwasiliana na Msajili wa Hazina ili viwanda 4 vilivyofungwa hadi sasa vitwaliwe: ambavyo ni Morogoro Canvas Mill Ltd, Kiwanda cha Kuchakata Mpunga Dakawa Rice Mill Complex – Tan Rice Green, Mang’ula Mechanical and Machine Tools Ltd, Ushirikiano Wood Products - Timber Tone Ltd.
|
Mkuu wa Mkoa & Katibu Tawala Mkoa
|
Ifikapo Juni 2018
|
Mkoa umemwandikia barua Msajili wa Hazina yenye Kumb. Na. BE.276/289/01/96 ya tarehe 22 Novemba 2017 kuhusu kuvitwaa viwanda tajwa.
Mrejesho rasmi kutoka kwa Msajili wa Hazina unasubiriwa |
ii. Kuwahimiza wamiliki wa majengo yaliyokuwa viwanda ambayo sasa hayana mitambo, waweze kuyatumia majengo hayo kwa kuanzisha viwanda: majengo hayo ni yale ya Morogoro Ceramics Ware Ltd, Morogoro Leather Goods; na Kiwanda cha Viatu – Morogoro Shoe Ltd.
|
Msajili wa Hazina, Wizara ya Viwanda Biashara na Uwekezaji
|
Ifikapo Januari 2018.
|
Msajili wa Hazina amewaandikia barua Kumb.Na.CKA.133/254/01/121 ya tarehe 29 Novemba 2017 kwamba wamiliki wa viwanda hivyo wawasilishe Mipango yao ya uwekezaji.
Aidha, Timu ya ufuatiliaji kutoka Hazina, Wizara ya Viwanda na Ofisi ya Mwanasheria Mkuu wametembelea Morogoro tarehe 08.03.2018 kufuatilia suala hili. |
Hatua ya 4
Kuhimiza uanzishaji wa Viwanda Vipya kwenye kila Mamlaka ya Serikali za Mitaa
Mkakati wa Utekelezaji
|
Wahusika
|
Muda wa Utekelezaji
|
Hali ya Utekelezaji
|
Kuhakikisha kuwa kila Mamlaka ya Serikali za Mitaa inajenga angalau viwanda 12 kwa mwaka.
|
Mamlaka za Serikali za Mitaa
|
Ifikapo tarehe 01/12/2018
|
Hadi sasa kuna jumla ya viwanda vipya 161 ambapo Manispaa viwanda 47; Ifakara Mji 19; Kilombero 18, Malinyi 17; Ulanga 15; Kilosa 14; Gairo 12; Morogoro DC 10; na Mvomero 9.
|
Kufuatilia ujenzi wa angalau viwanda 12 kwenye kila Mamlaka ya Serikali za Mitaa.
|
Mkuu wa Mkoa, Katibu Tawala Mkoa.
|
Desemba 2017 hadi tarehe 01/12/2018.
|
Ufuatiliaji unafanywa na viongozi wa ngazi ya Mkoa wakati wa ziara zao kwenye Mamlaka za Serikali za Mitaa.
|
|
|
|||||
|
|
|||||
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
||
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
||
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
||
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
||
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
||
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
||
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
||||
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
Haki Miliki © 2020 Ofisi Ya Mkuu wa Mkoa Morogoro. Haki Zote Zimehifadhiwa.