• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
Mkoa wa Morogoro
Mkoa wa Morogoro

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Morogoro

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Maelezo ya Mkoa
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Sehemu na Vitengo
      • Utawala na Rasilimali
      • Serikali za Mitaa
      • Uhasibu na Fedha
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Huduma za maji
      • Miundombinu
      • Huduma za Ugani
      • Elimu
      • Sheria
      • TEHAMA
      • Afya
  • Wilaya
    • Morogoro
    • Mvomero
    • Gairo
    • Kilosa
    • Kilombero
    • Ulanga
    • Malinyi
  • Halmashauri
    • Manispaa ya Morogoro
    • Morogoro DC
    • Mvomero
    • Gairo
    • Ulanga
    • Malinyi
    • Kilombero
    • Ifakara Mji
    • Kilosa
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za maji
    • Huduma za Kilimo
    • Huduma za Mifugo
    • Huduma za Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Miongozo Mbalimbali
    • Majarida
    • Fomu Mbalimbali
    • Ripoti mbalimbali
    • Mpango Mkakati
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Sheria Ndogo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Videos
    • Hotuba
    • Picha

Huduma za Kilimo

Sekta ya Kilimo

Utangulizi

Mkoa wa Morogoro una eneo la hekta 2,226,396 linalofaa kwa Kilimo na kati ya eneo hilo zaidi ya hekta 862,092 ndizo zinazolimwa kwa sasa sawa na asilimia 39. Eneo linalofaa kwa Kilimo cha Umwagiliaji ni hekta 1,510,339.51 na eneo linalomwagiliwa kwa sasa ni hekta 40,558 sawa na asilimia tatu. Mkoa una Mito 143 inayotitirisha maji mwaka mzima, una udongo mzuri na mabonde mengi ambayo bado hayajaendelezwa. Wananchi wa Mkoa wa Morogoro (75%) wanategemea zaidi kilimo kwa ajili ya ajira, kipato na chakula. Mazao ya chakula yanayolimwa kwa wingi ni Mahindi, Mpunga, Mtama, Mihogo, Viazi vitamu, Maharage na Ndizi. Mazao makuu ya biashara ni Miwa, Alizeti, Ufuta, Korosho, Pamba, matunda na mbogamboga.

MALENGO NA UTEKELEZAJI WA MAZAO YA CHAKULA NA BIASHARA

Katika Msimu wa 2017/2018 Mkoa wa Morogoro ulilenga kulima hekta 867,666.53 ili kuvuna tani 2,878,865.62 za mazao ya chakula, mazao ya biashara Mkoa ulilenga kulima hekta 168,294.06 ili kuvuna tani 2,910,377.74.

Utekelezaji wake hekta  808,669 zililimwa sawa na asilimia 93 na kuvuna tani 2,262,227 sawa na asilimia 79 ya lengo kwa mazao ya chakula na mazao ya biashara zililimwa hekta 151,365 sawa na asilimia 90 na kuvunwa tani 2,233,995 sawa na asilimia 77 ya lengo.

Katika Msimu wa 2018/2019 Mkoa wa Morogoro umelenga kulima hekta 903,649.53 ili kuvuna tani 2,773,971.61 za mazao ya chakula, mazao ya biashara Mkoa umelenga kulima hekta 190,021.46 ili kuvuna tani     2,249,327.12.

Hali ya Chakula

Hali ya chakula kwa msimu wa 2018/2019 ni ya kuridhisha katika Halmashauri zote kutokana na mavuno mazuri ya msimu wa 2017/2018. Kwa mujibu wa matokeo ya Sensa ya Watu na  Makazi ya mwaka 2012  idadi ya watu ilikuwa 2,218,492 ambapo ongezeko la watu katika Mkoa wa Morogoro ni asilimia 2.4 kwa mwaka. Hivyo kulingana na ongezeko la watu na uhitaji wa chakula kwa kila mwaka, kuanzia mwaka 2014/2015 hadi 2017/2018 mwenendo wa uzalishaji na ziada katika Mkoa wa Morogoro ni kama inavyo onekana katika jedwali.

Jedwali Na.1: Uzalishaji na mahitaji ya chakula 2014/2015 hadi 2017/2018

Mwaka
Eneo lililo limwa (He)
Uzalishaji
(Tani)
Mahitaji ya chakula (Tani)
Ziada
(Tani)
2014/2015

 589,231.00

1, 877,942.1

549,910.20

1,328,031.90

2015/2016

 563,826.18

1,597,895.65

563,108.00

1,034,787.65

2016/2017

     738,282 .00

2,298,859.00

596,915.30

1,701,944.00

2017/2018

808,669.00

2,262,227.00

650,159.10

1,612,067.90

2018/2019
Mkoa umelenga kulima Hekta 903,649.53 ili kuvuna tani, 2,773,971.61 za mazao ya chakula.

Chanzo: Taarifa kutoka Halmashauri

MAZAO YA BIASHARA

Katika kipindi cha Januari, 2016 hadi Juni, 2018 Uzalishaji wa mazao makuu ya biashara kwa Mkoa wa Morogoro kama vile Pamba umeongezeka kutoka tani 217.2 hadi tani 5,141, Korosho imeongezeka kutoka tani 49 hadi tani 5,743, Cocoa imeongezeka kutoka tani 422 hadi kufikia tani 1,128, Alizeti imeongezeka kutoka tani 18,310 hadi tani 29,773 na Ufuta umeongezeka kutoka tani 39,698 hadi tani 57,316. Uhamasishaji wa kulima Mazao ya Mkakati ya Taifa (Kahawa, Korosho na Pamba) unaendelea.

Kilimo cha Kahawa 

Zao la Kahawa lilikuwa likilimwa kwa wingi hapa Mkoani Morogoro Katika Wilaya za Mvomero, Morogoro, Gairo na Ulanga. Kwa sasa uzalishaji unaendelea katika Wilaya za Mvomero na Morogoro tu. Wilaya ya Ulanga na Gairo waliacha kuzalisha baada ya kukumbana na changamoto mbalimbali ikiwemo kukosekana kwa soko la uhakika.  Aina ya kahawa inayolimwa katika Mkoa wetu ni Robusta na Arabica. Ili kuhakikisha kuwa zao la Kahawa linafufuliwa Mkoa unashirikiana na Watafiti kutoka Taasisi ya utafiti wa kahawa Tanzania – TACRI ili kutoa elimu ya kuzalisha zao la Kahawa kwa wataalam wetu. TACRI walitoa mafunzo kwa wataalam wa Halmashauri ya Wilaya ya Morogoro na Mvomero, Januari 2018. Hata hivyo, upandaji wa Kahawa zilizo oteshwa kwenye vitaru unatarajia kuanza msimu wa Mvua za Vuli mwaka 2018/2019 ambapo jumla ya Miche 300,089 itapandwa

.

Zao la Korosho 

Mkoa wa Morogoro ni moja kati ya Mikoa inayolima korosho nchini na umeendelea na utekelezaji wa maendeleo ya zao la Korosho katika Wilaya za Mvomero, Kilosa, Ulanga na Malinyi. Aidha kwa msimu wa 2017/2018 Wilaya za Morogoro na Gairo pia zimeanza kilimo cha zao hili. Katika msimu wa kilimo wa 2017/2018 Mkoa ulilima ha.          3,353 na kuvuna jumla ya tani 5,743 za korosho.

Upatikanaji wa Pembejeo za Zao la Korosho

Katika msimu wa 2017/2018 Mkoa ulipatiwa mgao wa pembejeo, jumla ya kilo 74,491 za sulphur  na lita 1,261 za dawa za maji kwa ajili ya kudhibiti visumbufu vya zao la korosho ambapo kiasi kilichopokelewa ni kilo 6,900 za sulphur na lita 480 za dawa za maji.

Jumla ya kilo 8,923 za mbegu zilipokelewa na zimepandwa katika eneo la hekta 15,581.4. Mgao wa mbegu ni kama unavyoonekana katika jedwali hapo chini. Pia Mkao ulipokea na kusambaza vifaa kwa ajili ya kuzalisha miche kwa njia ya vitalu.

Mgao wa Mbegu za Korosho 2017/2018

Na.

H/Wilaya
Jumla ya mbegu
Mbegu kwa ajili ya miche (kilo)
Mbegu za kupanda (kilo)

1.

Gairo

742

436

306

2.

Kilosa

1,703

547

1,156

3.

Malinyi

2,113

1,809

304

4.

Morogoro

960

95

865

5.

Mvomero

1,790

541

1,249

6.

Ulanga

1,615

1,341

274

 

Mkoa

8,923

4,769

4,154

 

Picha: Kitalu cha Korosho- Malinyi DC

 

 

Kilimo cha pamba

Wilaya zinazozalisha Pamba ni Kilosa, Malinyi, Morogoro, Mvomero na Ulanga. Kutokana na hamasa ya kilimo cha zao la pamba kwa msimu wa 2017/2018 Halmashauri za Wilaya Gairo na Kilombero nazo zilihamasika kuanza kuzalisha zao hili la pamba kwa kujiwekea malengo na mikakati endelevu.

 

Upatikanaji wa Pembejeo kilimo cha Pamba.

Mbegu za pamba zilisambazwa kwa Wakulima na Kampuni ya Biosustain Tanzania Ltd yenye makao yake Mkoani Singida wakishirikiana na Bodi ya pamba. Usambazaji kwa msimu wa kilimo 2017/18 ulianza mapema ambapo jumla ya tani 130.73 za mbegu zilisambazwa.

 

PEMBEJEO ZA KILIMO

Mahitaji ya Pembejeo za Kilimo Msimu wa 2017/2018  

Mkoa ulihitaji jumla ya Tani 1,967.6 za mbolea ya kupandia, tani 5,346.9 za mbolea ya kukuzia na lita 4,200 za viuatilifu.

 

Pembejeo za Ruzuku 2017/2018

Mfumo wa ruzuku kwa mwaka 217/18 ulitekelezwa kwa kufuata bei elekezi ya mbolea ya kupandia (DAP) na ya kukuzia (UREA). Bei elekezi ya mbolea ilipangwa na Mamlaka ya Udhibiti wa Mbolea Nchini (TFRA) kwa kuzingatia gharama za ununuzi wa mbolea kutoka kwenye chanzo (free on board), usafirishaji wake kwa meli, tozo mbalimbali, pamoja na faida ya wafanyabiashara. Bei elekezi iliyopangwa katika Mkoa wa Morogoro na Mamlaka ya udhibiti wa Mbolea Tanzania msimu wa 2017/2018 ilikuwa kama ifuatavyo;

Bei elekezi ya Mbolea ya UREA na DAP katika vituo vya Mauzo na Bei ya Mkulima katika Mkoa wa Morogoro 2017/2018. 

Kituo cha Mauzo

UREA

DAP

Bei ya Jumla

Bei ya Rejareja kwa Mkulima

Bei ya Jumla

Bei ya Rejareja kwa Mkulima
Njia ya Barabara
Njia ya Reli
Njia ya barabara
Njia ya Reli
Njia ya Barabara
Njia ya Reli
Njia ya barabara
Njia ya Reli
Gairo DC


51,999




50,464

Ifakara


52,629



49,029
51,094
50,915
Kidatu (TRL)


52,178




50,643

Kilombero
(Ruaha)


52,195




50,660

Kilosa


52,350




50,815

Kisaki


51,340



48,163
49,805
50,015
Malinyi


53,526




51,991

Mang’ula


52,284



48,775
50,750
50,651
Mikumi


51,999



48,523
50,464
50,389
Mlimba


52,671



49,854
51,136
51,771
Morogoro DC


51,287




49,751

Morogoro MC
48,437
48,437

51,287



48,780
49,752

Msolwa


52,207



48,684
50,672
50,556
Mvomero DC


51,548




50,013

Ulanga (Mahenge)


53,051




51,516

Chanzo: Taarifa kutoka TFRA2017/2018

 

 

 

Changamoto 

  • Wafanya biashara kutofuata bei elekezi iliyopangwa na Serikali kwa madai kuwa hakuna faida wanayopata.
  • Baadhi ya Wakulima kutopata taarifa kwa wakati kuhusu bei elekezi ya mbolea.

 

Utatuzi wa changamoto.

  • Wafanya biashra wasiofuata bei elekezi wachukuliwe hatua za kisheria.
  • Wakulima wahamasishwe kununua mbolea kwa kufuata bei elekezi.
    • Mahitaji ya Pembejeo Mwaka 2018/2019
  • Na.
    Aina ya Pembejeo
    Kiasi (Tani)

    Mbolea ya DAP
    7,552.76

    Mbolea ya UREA
    10,0046.3

    Mbolea ya TSP
    33

    Mbolea ya CAN
    355.6

    Mbolea ya Yara Amidas
    480.1

    Mbolea ya NPK
    2,798.88

    Mbolea ya SA
    1,543.1

    Mbolea ya MINJINGU MAZAO
    278.94

    Mbolea ya YARAMILA NAFAKA
    634.9

    Mbolea ya MINJINGU NAFAKA
    119

    Mbolea ya YARA OTESHA
    748.82

    Mbegu bora ya Mahindi (CHOTARA)
    220.7

    Mbegu bora ya Mahindi (OPV)
    3,227.1

    Mbegu bora ya Mpunga
    6,190.4

    Mbegu bora ya Alizeti
    89.824

    Mbegu bora ya Ufuta
    160.8

    Mbegu bora ya Pamba
    130.73

    Mbegu bora ya Korosho
    15.43

    Miche bora ya Kahawa
    Miche 300,089

    Mahitaji ya Pembejeo Kimkoa kwa msimu wa mwaka 2018/2019 ni kama inavyo oneshwa kwenye jedwali lifuatalo.


    •  
    • PEMBEJEO ZA RUZUKU MWAKA 2018/2019
    • Mfumo wa ruzuku uliotumika mwaka 217/18 uliotekelezwa kwa kufuata bei elekezi ya Mbolea ya kupandia (DAP) na ya kukuzia (UREA) ndio unaoendelea kutumika mwaka 2018/2018 kama ifuatavyo;
  •  

    Chanzo: Taarifa kutoka Mamlaka ya Udhibiti wa Mbolea Tanzania (TFRA)  2018/2019

     

    UREA

     

    DAP

     

    Kituo cha Mauzo
    Jumla Kg 50
    Mkulima Kg 50
    Mkulima Kg 25
    Mkulima Kg 10
    Mkulima Kg 5
    Jumla Kg 50
    Mkulima Kg 50
    Mkulima Kg 25
    Mkulima Kg 10
    Mkulima Kg 5
    JUMLA MKOA
    51,043
    54,908
    29,454
    11,982
    6,091
    58,914
    63,237
    33,619
    13,647
    7,524
    Gairo DC

    54,735

    29,368

    11,947
    6,074

    63,065
    33,532
    13,613
    7,506
    Ifakara

    55,371

    29,685

    12074
    6,137

    63,700
    33,850
    13,740
    7,570
    Kidatu (TRL)

    54,915

    29,458

    11,983
    6,092

    63,245
    33,622
    13,649
    7,524
    Kilombero
    (Ruaha)

    54,933

    29,467

    11,987
    6,093

    63,263
    33,631
    13,653
    7,526
    Kilosa

    55,089

    29,545

    12,018
    6,109

    63,419
    33,709
    13,684
    7,542
    Kisaki

    54,070

    29,035

    11,814
    6,007

    62,400
    33,200
    13,480
    7,440
    Malinyi

    56,276

    30,138

    12,255
    6,228

    64,606
    34,303
    13,921
    7,661
    Mang’ula

    55,023

    29,512

    12,005
    6,102

    63,353
    33,676
    13,671
    7,537
    Mikumi

    54,735

    29,368

    11,947
    6,074

    63,065
    33,532
    13,613
    7,506
    Mlimba

    55,413

    29,706

    12,083
    6,141

    63,742
    33,871
    13,748
    7,574
    Morogoro DC

    54,016

    29,008

    11,803
    6,002

    62,346
    33,173
    13,469
    7,435
    Morogoro MC
    51,043
    54,016

    29,008

    11,803
    6,002
    58,914
    62,346
    33,173
    13,469
    7,435
    Msolwa

    54,945

    29,473

    11,989
    6,095

    63,275
    33,637
    13,655
    7,527
    Mvomero DC

    54,280

    29,140

    11,856
    6,028

    62,609
    33,305
    13,522
    7,461
    Ulanga (Mahenge)

    55,797

    29,898

    12,159
    6,180

    64,126
    34,063
    13,825
    7,613

    Bei elekezi ya Mbolea ya UREA na DAP katika vituo vya Mauzo na Bei ya Mkulima katika Mkoa wa Morogoro 2018/2019. 


    • Kwa mujibu wa Mamlaka ya Udhibiti wa Mbolea Tanzania (TFRA), Bei elekezi za jumla zimezingatia gharama za usafirishaji wa mbolea kwa njia ya Reli au Barabara. Bei hizi zimeanza kutumika Septemba 22, 2018 na zitakuwa zikibadilika kulingana na gharama halisi za uagizaji wa mbolea kutoka nje ya nchi.
    •  
    • Zana za Kilimo
  • Mkoa wa Morogoro una zaidi ya matrekta mazima 1055, mabovu 268  na upungufu ni matrekta 551. Pia Mkoa una power tiller nzima 438, mbovu 58 na majembe ya kukokotwa na wanyamakazi 18,616.


    • Kilimo cha Umwagiliaji
    • Mkoa una mito 143 na mabonde yanayoweza kulimwa kiangazi na pia kutumiwa kwa umwagiliaji. Baadhi ya maeneo ni Bonde la Kilombero na Bonde la Wami. Mkoa una eneo la hekta 1,510,339.51 linalofaa kwa kilimo cha umwagiliaji. Hadi sasa ni hekta 40,558 ndizo zinamwagiliwa.
    • Na
    • Jina La Mradi
    • Kiasi cha fedha (Tsh.)
    • Kazi Zinazotakiwa Kufanyika
    • Kazi Zilizofanyika
    • Kazi ilipofikia (%)
    • 1
    • Kiroka

    275,000,000

    • Ukarabati wa mfereji upili 1.5km na miudombinu yake.
    • Mita 1,000 kati ya 1500m zimekarabatiwa.
    • 70
    • 2
    •  Tulo/Kongwa
    • 734,000,000
    • Ujenzi wa mfereji mkuu mita 200, Ujenzi wa vivushia maji (suppasage) -5, Ujenzi wa mifereji ya upili 4 kila mmoja mita 1,000. Ukarabati wa mfereji mkuu (Remodelling ) mita 3,500, ujenzi wa vigawa maji (DB) -2 pamoja na ujenzi wa vigawa maji (turnouts)-3 
    • Ukarabati wa mfereji mkuu (Remodelling)-mita 3,500.
    • Uchimbaji na kusakafia mfereji wa upili mita 120 na 300.
    • Ujenzi wa vivusha maji (Superpassage)-3
    • ujenzi wa vigawa maji (turnouts)-3 
    • 80
    • 3
    • Wami Luhindo
    • 478,000,000
    • Ujenzi wa mrefeji wa upili mita 1650 ambao utakuwa na turn out- 5 na karavati-1. Ujenzi wa barabara za mashambani mita 1950 ambayo itakua na karavati-2. Uchimbaji wa mfereji wa kutolea maji mashambani mita 2325.
    • Uchimbaji wa mifereji 6 ya mashambani yenye urefu wa mita 500 kila mmoja na vigawa maji vyake (division box)-29. Ukarabati wa nyumba ya kuhifadhia pampu pamoja na ukarabati wa pampu
    • Ujenzi wa mfereji wa upili mita 800 na vigawa maji 5
    • Uchimbaji wa mfereji wa kutolea maji mashambani mita 2100.
    • Uchimbaji wa mifereji  2 ya  mashambani  yenye urefu wa mita 500 kila mmoja
    • 70
    • 4
    • Lumuma
    • 583,000,000
    • Ujenzi wa mfereji mkuu mita 1760. Ujenzi wa matuta ya kuzuia udongo (gabions) mita za ujazo 493.72m3.
    • Ujenzi wa karavati 6 zenye urefu wa mita 70m.
    • Uondoaji wa mchanga kwenye banio (De –siltation)- 1112.m3
    • Kurudisha mto kwenye mkondo wake (Lumuma River training)- 963m2 
    • Pamoja na vigawa maji  (Division Boxes)-13
    • Kazi zimetekelezwa na kukamilika.
    •  
    • 100
    • 5
    • Minepa
    670,000,000
    Umaliaziaji wa banio.
    Ujenzi wa mfereji mkuu wa mita 1250 kati ya hizo mita 500 zitasakafiwa. Ujenzi wa mifereji ya upili 2, mmoja ukiwa na urefu wa mita 500, na mwingine mita 1575.
    • Ujenzi wa banio unakaribia kumalizika, Mfereji Mkuu umechimbwa mita 1250 na kusakafiwa mita 200.
    • 50

    Jedwali Na. 1: Hali Ya Utekelezaji wa Miradi ya Kuendeleza Skimu Ndogo za Umwagiliaji (Small Scale Irrigation Development Projects)

    Katika mwaka wa fedha 2016/2017, Mkoa wa Morogoro ulipokea kiasi cha shilingi bilioni mbili na milioni mia saba arobaini (Tshs. 2, 740, 000,000/=)  kwa ajili ya kuendeleza skimu kupitia mpango wa kuendeleza skimu ndogo za umwagilaji (Small scale irrigation Project) kama ifuatavyo;

    Utekelezaji wa mradi wa kuendeleza Skimu ndogo za Umwagiliaji (Small Scale Irrigation Development Projects - SSIDP).

    Mkoa una jumla ya skimu za umwagiliaji 112  ambazo zinajumuisha Skimu za asili 70 pamoja na Skimu zilizoendelezwa 42. Katika Skimu zilizoendelezwa, Skimu tano (5) zipo katika hatua mbalimbali za umaliziaji ambazo ni Lumuma (Kilosa), Dakawa (Mvomero), Mwega (Kilosa),  Itete (Malinyi) na Mbalangwe (Morogoro Vijijini). Skimu zilizobaki zipo katika hatua mbalimbali za ujenzi,  ingawa baadhi  zinatumika katika shughuli za kilimo.


    •  
    • Mradi wa Kuongeza Tija na Uzalishaji Wa Zao la Mpunga (Expanded Rice Production Project- ERPP)
  •  

    Elimu ya Kilimo shadidi imetolewa katika skimu za umwagiliaji za Wilaya ya Kilombero, Kilosa, Malinyi, Morogoro, Mvomero na Ulanga. Wakulima walianzisha mashamba darasa na kila mkulima alieshiriki alipatiwa pembejeo za ruzuku kwa kuchangia 50% na Mradi kuchangia 50%. Jumla ya wakulima 5,616 wamepatiwa elimu ya Kilimo Shadidi kuanzia msimu wa 2016/17 hadi 2017/2018 ambapo tija imeongezeka kutoka tani 3 hadi tani 5 kwa wakulima hao. Lengo ni kufikia Wakulima 22,000 ifikapo msimu wa 2020/2021.

    Kilimo shadidi

    Ujenzi Miundombinu ya umwagiliaji na maghala utafanyika katika skimu 5 za Wilaya ya Kilombero, Kilosa na Mvomero. Michoro na tenda vimeshakamilika, utaratibu wa kutangaza tenda unaendelea. 

    Ujenzi wa Miundombinu ya Umwagiliaji na Maghala

    Kipengele hiki kinafanywa na ASA, Katrin, TOSCI na Halmashauri. Msimu uliopita jumla ya aina 11 za mbegu za mpunga wa mabondeni na wa nchi kavu zilipandwa katika Halmashauri ya Gairo, Mvomero, Kilombero, Kilosa, Morogoro DC, Malinyi na Ulanga. Wakulima wa maeneo hayo waliweza kuchagua aina tano za mbegu za mpunga ambazo zilipandwa kwa ajili ya kufanya uchaguzi zaidi. Aina zilizochaguliwa ni Komboka, Saro 5, Supa (mabondeni) na NERICA 4 na NERICA 7 (nchi kavu).

    Uwepo wa Mfumo wa Mbegu wa kueleweka

    Mradi unatekelezwa katika maeneo (component) manne ambayo ni Uwepo wa Mfumo wa mbegu wa kueleweka, Ujenzi wa Miundombinu ya Umwagiliaji na maghala, Upatikanaji wa Masoko pamoja na Ufuatiliaji na tathmini.

     

    Serikali kwa kushirikiana na Benki ya Dunia inatekeleza Mradi wa Kilimo na Usalama wa Chakula ambao unalenga kuongeza uzalishaji na tija kwa zao la mpunga katika maeneo ya umwagiliaji. Mradi huu ni wa miaka mitano (2015 – 2020) ambao una lengo la kuongeza uzalishaji na tija kwa zao la Mpunga na ulianza kutekelezwa katika skimu tano ambazo ni Kigugu na Mbogo kwa Mtonga (Mvomero), Mvumi (Kilosa), Njage na Msolwa ujamaa (Kilombero).  



Jedwali Na. 2: Skimu zitakazoendelezwa mwaka 2017/2018 kupitia mradi wa kuendeleza Umwagiliaji wa Mpunga (ERPP)

Na

Skimu

Eneo litakaloendelezwa (Ha)

Kazi zitakazofanyika

Gharama (Tshs), Bajeti iliyotengwa

Hatua iliyofikia hadi Novemba, 2017


Mbogo (Mvomero)

200

Kufanya upembuzi yakinifu na ujenzi miundombinu

                1,688,399,570

Makabrasha ya zabuni na michoro iko Wizara Kilimo tayari kwa kutangaza ujenzi

Kigugu (Mvomero)

200

Kufanya upembuzi yakinifu na ujenzi miundombinu

                1,265,302,331

Makabrasha ya zabuni na michoro iko Wizara Kilimo tayari kwa kutangaza ujenzi

Njage (Kilombero)

254

Kujenga miundombinu ya skimu

                   598,408,515

Makabrasha ya zabuni na michoro iko Wizara Kilimo tayari kwa kutangaza ujenzi

Msolwa Ujamaa (Kilombero)

307

Kujenga miundombinu ya skimu

                1,248,105,870

Makabrasha ya zabuni na michoro iko Wizara Kilimo tayari kwa kutangaza ujenzi

Mvumi (Kilosa)

250

Kufanya upembuzi yakinifu na ujenzi miundombinu

                1,667,107,415

Makabrasha ya zabuni na michoro iko Wizara Kilimo tayari kwa kutangaza ujenzi

Njage (Kilombero) na Mvumi (Kilosa).

Kukarabati barabara za mashambani zenye urefu wa kilomita 7 (Njage) na kilomita 8 (Mvumi) kwa kiwango cha changarawe

                   579,254,000

Makabrasha ya zabuni na michoro iko Wizara Kilimo tayari kwa kutangaza ujenzi

Jumla  


 7,046,577,700 

 

Miradi Inayofadhiliwa na Shirika la Marekani (USAID) Kupitia Mradi wa Umwagiliaji na Barabara za Vijijini (Irrigation and Rural Roads Infrastructure Projects).

Serikali ya Marekani kupitia mradi wa Irrigation and Rural Roads Infrastructure Projects imefanya Umempuzi yakinifu pamoja na usanifu katika miradi minne ya Umwagiliaji ambayo iko katika Halmashauri ya Wilaya ya kilombero. Miradi hiyo ni Kisegesa (7,298 ha), Mgugwe (2,270 ha), Udagaji (1,935 ha), Pamoja na Mpanga Ngalimila (31,500ha). Pesa ya Ujenzi wa miradi hiyo bado haijapatikana.

 

Ukarabati wa Skimu ya Umwagiliaji Dakawa

Serikali ya Marekani kupitia mradi wa Irrigation and Rural Roads Infrastructure Projects inakarabati skimu ya Umwagiliaji Dakawa. Skimu ya Dakawa inajumla ya hecta 3225 ambapo hecta 2000 zina miundombinu yaUmwagiliaji na hecta 1000 hazijaendelezwa na hecta 225 ni za makazi na huduma za kijamii. Umoja wa Umwagilaiji Dakawa (UWAWAKUDA) una jumla ya wanachama 850 ambapo 500 ni wanaume na 350 ni wanawake.

Kutokana na miundombinu ya mradi huu kuwa chakavu baada ya miaka 30 mwaka 2011 Serikali ya Marekani ilitenga kiasi cha Dola za Kimarekani 12,966,104$ kwa ajili ya ukarabati wa mradi huu. Ukarabati huu unafadhiliwa na Serikali ya Marekani kupitia USAID katika program yaFeed the Future (FTF). Ukarabati huu uko chini ya mradi wa Irrigation and Rural Roads Infrastructure Projects (IRRIP).

 

Kazi zinazofanyika ni Ujenzi wa barabara (access road) 800m na jengo la ofisi linalojumuisha chumba cha kuendeshea pampu (electrical control room) vimekamilika kwa 100% na Kufunga pump mpya sita.

 

  • Program ya Kuendeleza Sekta ya Kilimo (ASDP)
  • Mpango wa Kuendeleza Sekta ya Kilimo kwa awamu ya pili- ASDP II, umekamilika na mpango wa utekelezaji unaendelea kuratibiwa.

MIFUGO

Mkoa wa Morogoro kwa sasa unakadiriwa kuwa na jumla ya ng’ombe 840,944 Mbuzi 356,169, Kondoo 125,652, Punda 9,867, Nguruwe 45,238, Mbwa 46,396, Paka 45,766, Kanga 83,654, Bata 61,443, Kuku wa asili 5,244,894.

 

Idadi ya watumishi

Mkoa wa Morogoro una jumla ya watumishi 251 wa sekta ya Mifugo kama jedwali linavyoonesha hapo chini

NA

KADA
WALIOPO
MAHITAJI
UPUNGUFU

1

Madaktari wa Mifugo

10

16

6

2

Maafisa Mifugo

41

59

18

3

Maafisa Mifugo wasaidizi

200

543

343

JUMLA

251

618

367

 

Miundombinu ya Mifugo

Mkoa una jumla ya Minada 27 Majosho 69 malambo 50 mabanio 23 Machinjio 9 Makaro 63 Mabanda ya ngozi 8, Maabara 2, vituo vinavyotoa huduma ya mifugo (vet centre) 28 na Hospitali ya mifugo 1

 

Uzalishaji wa maziwa

Jumla ya lita 6,600,000 za maziwa zenye thamani ya Tsh 6,600,000,000/= Zilizalishwa katika Mkoa wa morogoro kwa kipindi cha Januari hadi Novemba,2017.

Uzalishaji mayai

Jumla ya Trei za mayai 342,521 yenye thamani ya Tsh. 2,568,907,500/= yalizalishwa na kuuzwa katika Mkoa wa morogoro kwa kipindi cha Januari hadi Novemba,2017.

  •  
  • Mauzo yamifugo Hai Minadani

Jumla ya ng’ombe 108,649 wenye thamani ya Tsh. 43,459,600,000 mbuzi 10,340 wenye thamani ya Tsh. 517,000,000 na kondoo 29,777 zikiwa na thamani ya Tsh. 1,488,850,000 waliuzwa katika minada kwa kipindi cha Januari hadi Novemba,2017.

 

Mauzo ya Ngozi

Vipande vya ngozi kwa ipindi cha Januari hadi Novemba 2017 ni kama ifuatavyo; ngozi za ng’ombe vipande 5841 vyenye thamani ya shilingi 269,205,000 mbuzi vipande 28015 vyenye thamani ya shilingi 28,015,000 na kondoo vipande 13390 vyenye thamani ya shilingi 13,390,000.

 

Mauzo ya Kuku

Kwa kipindi cha Januari 2017 hadi desemba 2017 jumla ya kuku 577,000 wenye thamani ya shilingi 5,770,000,000 waliuzwa.

  •  
  • Uboreshaji wa kosaafu za mifugo kwa njia ya Uhimilishaji

Jumla ya ngombe 196 wamepandishwa kwa njia ya chupa na jumla ya ndama 175 wamezaliwa kwa njia ya chupa kwa kipindi cha Januari hadi Novemba 2017.

Kwa mwaka huu 2017 Shirika la Land O’ Lakes kwa kushirikiana na Kampuni ya ABEA wanatoa huduma ya uhimilishaji na elimu kwa wafugaji juu ya uboreshaji wa koosafu za ng’ombe katika Halmashauri zote 9 za Mkoa wa Morogoro. Wafugaji wamehamasishwa kuvuna mifugo yao na kununua madume bora ya Boran kwa ajili ya kuboresha koosafu za mifugo yao ambapo hadi hivi sasa jumla ya wafugaji 10 wamenunua madume wapatao 50 wa aina ya Borani.

 

Utekelezaji wa Utambuzi wa Mifugo hadi kufikia Tarehe 15 Januari 2018

Katika kutekeleza zoezi la Usajili, Utambuzi na Ufuatiliaji wa mifugo, hadi kufikia tarehe 15/1/2018 jumla ya ng’ombe 703,753 wamepigwa Chapa kati ya ng’ombe         841,044 waliosajiliwa sawa na asilimia 84%. Utekelezaji kwa kila Halmashauri ni kama ifuatavyo;

Na

HALMASHAURI

WAFUGAJI WALIOSAJILIWA.

IDADI YA NG’OMBE WALISAJILIWA/ LENGO

IDADI YA NG’OMBE WALIOPIGWA CHAPA

ASILIMIA YA NG’OMBE WALIOPIGWA CHAPA %

1

Morogoro DC

1,481

116,173

81,710

70

2

Manispaa

465

9,377

8,187

87

3

Mvomero

2,929

189,708

161,030

85

4

Kilosa

6,558

208,279

147,218

70

5

Malinyi

5,154

122,776

122,776

100

6

Ifakara TC

252

5,720

7,030

100

7

Kilombero

5,853

91,314

91,314

100

8

Gairo

2,181

50,927

37,718

74

9

Ulanga

2,503

46,770

46,770

100

JUMLA KIMKOA

27,376

               841,044

703,753

84

 

Mikakati ya kutatua changamoto katika Sekta ya Mifugo

Kusimamia Sheria na 12 ya mwaka 2010 ya Utambuzi, Usajili na Ufuatiliaji mifugo kwa kupiga chapa ng’ombe.

Kila Halmashauri imeweka katika bajeti ya mwaka 2017/2018 fedha kwa ajili ya ujenzi wa miundombinu ya mifugo ili kuboresha afya za mifugo.

Zoezi la mpango wa matumizi bora ya ardhi linaendelea katika Halmashauri za Wilaya ya Ulanga, Malinyi na Kilombero, zoezi hili litaainisha maeneo kwa ajili ya malisho

USHIRIKA 

Hadi kufikia Juni, 2018, Mkoa una jumla ya Vyama vya Ushirika 766, ambapo vyama 361   ni hai  na aina mbalimbali  vikiwemo vyama vya mazao, viwanda, Umwagiliaji, Uvuvi, Usafirishaji, madini, Vyama Vikuu na vyama vya Ubia  vyenye jumla ya wanachama 52,617 (Wanaume ni 29,711 na wanawake 21,982 na vikundi 928) na Hisa zenye thamani ya shilingi 4,683649,000/=, Akiba zenye thamani ya 13,166,751,000/= na Amana za shilingi 1,049,322,000/=, na kufanya jmla ya Mtaji kuwa shilingi 18,899,722,000/=, kwa kipindi hiki Vyama vya Ushirika wa Akiba na Mikopo ( SACCOS) vipo 415 .

 

Hadi kufikia Juni 2018, SACCOS ziliweza kutoa Mikopo kwa Wanachama kiasi cha shilingi 74,140,621,000/= na Marejesho yaliyofanyika ni  shilingi 50,451,118,000/=  sawa na asilimia 68%. hivyo bakaa ya mikopo kwa wanachama kipindi hichi ni sawa na sh 23, 689,503,000/= ambapo ufuatiliaji wake unafanywa na Kamati za Mikopo za SACCOS husika.

Vyama vya Ushirika vya Mazao ndivyo vinavyofanya shughuli za ukusanyaji wa mazao ya Wakulima, vyama hivi havifanyi shughuli hiyo ipasavyo kutokana na kukosa Mitaji na sifa za kuweza kukopa katika Taasisi za fedha.

 

 

BIASHARA NA VIWANDA

 

TAARIFA YA VIWANDA NA UWEKEZAJI MKOA WA MOROGORO

1.0 Makundi ya Viwanda

Sera ya Wajasiriamali Wadogo na wa Kati – SMEs (Small and Medium Enterprises), imeweka mgawanyo wa makundi manne ya wajasiriamali kwenye viwanda ambayo huzingatia idadi ya wafanyakazi na mtaji uliowekezwa kwenye mitambo. Makundi hayo ni: Kiwanda Kidogo Sana (Micro enterprise), Kiwanda Kidogo (Small enterprise), Kiwanda cha Kati (Medium enterprise) ; na Kiwanda Kikubwa (Large enterprise).

 

Kiwanda Kidogo Sana ni kile ambacho kimeajiri wafanyakazi 1 hadi 4; na mtaji uliowekezwa hauzidi shilingi 5,000,000/=.

 

Kiwanda Kidogo ni kile ambacho kimeajiri wafanyakazi 5 hadi 49; na mtaji uliowekezwa ni zaidi ya shilingi 5,000,000/= lakini hauzidi shilingi 200,000,000/= .

 

Kiwanda cha Kati ni kile ambacho kimeajiri wafanyakazi 50 hadi 99; na mtaji uliowekezwa ni zaidi ya shilingi 200,000,000/= lakini hauzidi shilingi 800,000,000/=.

Kiwanda Kikubwa ni kile ambacho kimeajiri zaidi ya wafanyakazi 100; na mtaji uliowekezwa ni zaidi ya shilingi 800,000,000/=.

 

Idadi ya Viwanda Mkoani Morogoro

Hivyo, kwa mujibu wa takwimu za NBS (National Bureau of Statistics), Mkoa wa Morogoro una viwanda vikubwa 20, vya kati 14, vidogo 302; na vidogo sana 3,038 ambapo jumla ya viwanda vyote ni 3,374.

Mgawanyo wa viwanda hivyo kiwilaya ni huu ufuatao:

Na.

Halmashauri
Viwanda Vikubwa
Viwanda vya Kati
Viwanda Vidogo
Viwanda Vidogo sana
Jumla

1

Morogoro Manispaa

10

3

120

587

720

2

Kilombero DC na Mji

4

4

59

764

831

3

Morogoro DC

2

1

14

374

391

4

Kilosa

1

3

45

614

663

5

Ulanga na Malinyi

1

1

30

272

304

6

Mvomero

2

2

19

265

288

7

Gairo

0

0

15

162

177

Jumla

20

14

302

3,038

3,374

 

  • Viwanda Vikubwa vya Halmashauri ya Manispaa ya Morogoro

Na.

Jina la Kiwanda
Mahali kilipo

1

21st Century Textile Mill Ltd
Eneo la viwanda Kihonda

2

Tanzania Packaging Manufacturers Ltd
Eneo la viwanda Kihonda

3

Morogoro Canvas Mill Ltd
Eneo la viwanda Kihonda

4

Abood Seed Oil Industry Ltd - MOPROCO
Msamvu

5

Tanzania Tobacco Processors Company Ltd
Barabara ya Tumbaku

6

Ace Leather Ltd
Eneo la viwanda Kihonda

7

Mzinga Corporation Ltd
Mzinga

8

Tanzania Railway Ltd Workshop
Kichangani

9

Mazava Fabrics and Production E. A. Ltd
Msamvu

10

Morogoro Urban Water and Sanitation Authority
Eneo la viwanda Kihonda

Viwanda vya Kati vya Halmashauri ya Manispaa ya Morogoro:

Na.

Jina la Kiwanda
Mahali kilipo

1

Morogro Plastic Company Ltd
Kichangani

2

AEL Mining Services Ltd
Eneo la Viwanda Kihonda

3

Abood Soap Industry
Msamvu

 

 

Viwanda Vidogo vya Halmashauri ya Manispaa ya Morogoro:

Na.

Jina la Kiwanda
Mahali kilipo

1

Shambani Graduates Milk Processing Factory
Barabara ya Dodoma

2

Intermech Enginnering Ltd
Eneo la Viwanda Kihonda

3

Morogoro Wire Rolling Ltd
Barabara ya SUA

4

SAS Gas Ltd
Msamvu

5

Zembii Workshop
Kenyata

6

Mzude Welding
Betelo – SUA Keep left

7

Maneno Kilengano Furniture
Betelo – SUA Keep left

8

John Charles Lulaka Furniture
Betelo – SUA Keep left

9

Uroki Furniture
Betelo – SUA Keep left

10

Michael Wilfred Kikwesha Furniture
Mindu

11

Simba Furniture
Kingo Police Post

12

Abdul Furniture
Betelo – SUA Keep left

13

Ibrahim Mdede Furniture
Kingo Police Post

14

Ramadhan Mdoe Furniture
Ngoto-Top Life Hotel

15

Nyandila Furniture
Betelo

16

Samwel John Mathayo Furniture
Kingo

17

Mkasanga Sofa
Betelo

18

Nemes J. Laswai Furniture
Kingo

19

James & Oscar Furniture
Betelo

20

Pema Miller
Kanisani

21

Mambo ya Yesu Grain Mill
Mindu

22

Katundu Rice Mill
Mindu

23

Vedasto Rice Mill
Mindu

24

Kiwawa Rice Mill
Mindu

25

Tembo Milling
Unguu A

26

Tennes Bakery
Simba

27

Brossis Soft Drinks Ltd
Mindu

28

MM Blocks Manufacturers
Mindu

29

Alluminium & Glasses Workshop
Mindu

30

Joram Buberwa Kiriva Welding
Sabu

31

Samfordy Shirima Motor Vehicle Parts Manufacturer
Mindu

32

Topela Furniture Workshop
Kiswanya

33

Victor Furniture Workshop
Mindu

34

Harry Zakaria Kihongosi Furniture Workshop
Mindu

35

Best Vibrated Blocks
Ujenzi/Kilimahewa

36

Amir Ndaja Grain Mill
SIDO Karakana

37

Mjasiriamali Grain Mill Investment Ltd
Simu C

38

Kiviza Metal Workshop
Makaburi C

39

Jungu Group Metal Workshop
Funikwa

40

Mark Atanas Furniture Workshop
Simu A

41

Big Brother House of Furniture Workshop
Simu A

42

Mkude Milling Mashine
Nkomo

43

Bico Millers
Nkomo

44

Dar Moro Allumium & Glasss Workshop
Masika

45

Kennedy Makick Ngowi Fabricated Metal Manufacturer
Shamba

46

K. B. Maize Mill
Nkomo

47

Beath John Masaika Furniture Workshop
Nkomo

48

Riziki kwa zamu Milling
Nkomo

49

Mashaka Ramadhani Mavula Milling
Nkomo

50

Elizabert Tailoring
Uhuru

51

Mama Aika Tailoring
Karume B

52

Idd Omary Tailoring
Uhuru

53

Felia G. Chuma Tailoring
Boma Road

54

Jesca Japhet Tailoring
Boma Road

55

Simba Furniture Workshop
Shosti

56

Idd Furniture Workshop
Mlapakolo

57

Miraji Ally Athumani Furniture Workshop
Boma Road

58

Fraterini Josephat Senya Metal Workshop
Madaraka

59

Kabwanga Metal Woks & Fabrication
Mlali Road

60

Kimenya Furniture Workshop
Kati

61

Upendo shop & Tailoring
Manzese

62

Rahman Mills
Tupendane

63

Niledene Milling
Gold street

64

Shaban Kapera Bakery
Modeko

65

International Tanfeeds Ltd
Modeko A-Tanki la maji

66

MBW Wine Breweries
Mbuyuni

67

Kandete Culture Footwear Manufacturer
Maghorofani

68

Dusa Vibrated Blocks
Modeko A-Iringa Road

69

JVB Wales Enock Vibrated Blocks
Modeko A

70

Tazama Vibrated Blocks
Dodoma Road

71

Filias Metal Workshop
Kihonda Maghorofani

72

BSK Engineering
Modeko A – Iringa Road

73

Emelian Christian Matimila Furniture Workshop
Ipoipo

74

Frida Salvatory Mfimba Furniture Workshop
Jakalanda

75

Sun Africa Maize Mill
Mtawala

76

Khamis Nyange Grain Mill
Mwembesongo

77

Pema Millers
Saadan

78

Baraka Bakery Company
Mtawala

79

Tanbreed Poultry Feeds Manufacturers Ltd
Magodoro

80

Hamza Said Tailoring
Mafisa

81

Contena Tailoring Centre
Mfungua kinywa

82

Zabibu Yabula Tailoring
Mwigole

83

Mohamed Muhsin Hamisi
Mtawala

84

Quality Timber Sawmilling & Wood Work
Magodoro

85

MZ Plastic Packaging Manufacturers
Mtawala

86

Seif Plastics Manufacturers
Magodoro

87

Wazawa Community Porcelain Manufacturers
Mafisa

88

Charange Vibrated Blocks
Mtawala

89

Ombeni Urasa Vibrated Blocks
Magodoro

90

Simba Vibrated Blocks
Sume

91

Felix Martin Metal Workshop
Kihonda Mbuyuni

92

JK Alluminium & Furniture Workshop
Mwembesongo

93

Mzambarauni Furniture Workshop
Mzambarauni

94

Enock Yela Nswila Grain Mill
Mwande

95

Ngosha Milling
Karakana

96

Tanfeeds International Animal feeds Manufacturers
Mwande

97

Pembejeo Vibrated Blocks General Supply Ltd
Area Six

98

Morogoro Wire Nulting Ltd
Karakana

99

Magomba Tailoring
Bwinila

100

U Vibrated Blocks
Uwalimu

101

Kilakala Furniture Workshop
Bwinila

102

Peter Lugata Furniture Wokshop
Bigwa Sokoni

103

Zainabu Omega Printers & Stationery Supplies Ltd
Boma Road

104

Mshunga Bakery
Mgonahazelu

105

Africa Leather Products & Art
Nanenane (Oil com)

106

Swere Method Vibrated blocks Makers
Nanenane

107

Nanenane Vibrated Blocks makers
Nanenane

108

Abdallah Aziz Welding Workshop
Nanenane –Kituo cha Polisi

109

Paulo Mongi Metal Workshop
Nanenane (Glonency)

110

Barnabas & Godfrey Metal Workshop
Bigwa Barabarani

111

3D &B Holding Co. Ltd – Fahari Water Bottlers Co.
Bigwa Barabarani

112

High Quality Sembe Milling
Majengo mapya

113

Manyuki Super Sembe
Mgudeni

114

Ben Mgata Sawmilling & Woodwork
Kihonda

115

Uvika Group Vibrated Blocks Makers
Kihonda Kaskazini

116

Salum Mrisho Metal Workshop
Kilongo

117

Mustafa Said Furniture Workshop
Kihonda Kaskazini

118

New Morogoro Rice Mill
Mindu

119

Rock Wings Plastics Recycling
Mtawala

120

Morogoro Food Processors Cluster Initiative
Msamvu-Mbuyuni
  • Viwanda Vikubwa vya Wilaya ya Kilombero

Na.

Jina la Kiwanda
Mahali kilipo

1

Kilombero Sugar Company Ltd. – ILLOVO K1
Kidatu

2

Kituo cha Kuzalisha Umeme Kidatu
Kidatu

3

Kilombero Plantation Ltd
Mngeta

4

Mang’ula Mechanical and Machine Tools Ltd
Mang’ula

Viwanda vya Kati vya Wilaya ya Kilombero:

Na.

Jina la Kiwanda
Mahali kilipo

1

Udzungwa Pure Drinking Water Ltd

2

Maji Kilombero Ltd
Ifakara

3

Timber Tone Ltd– Ushirikiano Wood Products Ltd
Mang’ula

4

Kihansi Electric Power Generation
Kihansi

Viwanda Vidogo vya Wilaya ya Kilombero

Na.

Jina la Kiwanda
Mahali kilipo

1

Fausta Raymond Ngowi Grain Milling
 Mkamba A kwa Ngowi

2

 Robert & Yasin Furniture Workshop
 Nyandeo Shule ya Msingi

3

 Alfons Kuwet Furniture Workshop
 Uhuru

4

 Mohamed Milulu Metal Workshop
 Sonjo Kati

5

Obeid Nko Grain Mill
TAZARA

6

Petro Said Manyema Milling
Madukani

7

Aziz Hemed Msuya Milling
Postal Area

8

KKKT Dayosisi ya Mang’ula Tailoring
Sokoni

9

Upendo Group Wood works
General Tyre

10

Mustafa Bendera Rice Mill
TAZARA

11

Anselmo Nalyoto Rice Mill
Signal mjini

12

Chicingo Rice Mill
Shungu

13

Kikundi cha Wakulima Vijana Mbasa Rice Mill
Maendeleo

14

Green World General Traders Rice Mill
Stesheni

15

Chikago Rice Milling
Nduna

16

Sugu Rice Mill
Upogoro

17

Christopher Mangwangwe Rice Mill
Upogoro

18

Ally Nasoro Amiri Rice Mill
Upogoro

19

Nnuko Rice Mill
Mkuya

20

Kibichwa Rice Mill
Viwandani

21

Muya Rice Mill
Viwandani

22

Ndelema Rice Mill
Viwandani

23

Mandela Rice Mill
Viwandani

24

Shirima Rice Mill
Viwandani – Kilosa Road

25

Super Kanyanza Rice Mill
Jongo

26

Mnaber Rice Mill
Upogoro

27

Upendo Group Carpets Makers
Viwanja sitini

28

Ifakara Women Weavers
Upogoro Hiwa -Postal area

29

Emilia Tailoring
Upogoro–Miembeni Mission

30

Frank Thomas Furniture Workshop
Viwandani

31

Gesto Moyo Furniture Workshop
Nduna-Wana Road

32

Kajiru Timber Workshop
Nduna

33

Christian Furniture Workshop
Mlabani A - Nazareth Kota

34

Manfred Ngogolo Furniture Workshop
Nduna

35

Juakali Mshikamano Group Furniture Workshop
Nduna

36

Emma & Isian Furniture Workshop
Uhuru

37

Robert Mwasandube Furniture Workshop
Nduna

38

Godfrey Chawangua Furniture Workshop
Mlabani A

39

David Emmanuel Chihani Carpentry
Mlabani A-Nazareth Kota

40

Donald Mlundachuma Carpentry
Viwanja sitini

41

Upendo Women Group Porcelain products makers
Lumemo B

42

Amons Understone Pwere Grain Milling
Miale

43

Wakinamama Rice Milling
Mbingu kati

44

Moshi Kilembe Rice Milling
Igima

45

Walalahoi Group Furniture Workshop
Igima

46

Ifakara Water Supply Authority
Kibaoni-Bomani

47

Titus Ndulu Grain Mill
Mchombe

48

Wafanyabiashara Warehouse Rice Milling
Mlumbaji

49

Mamcos Rice Milling
Mpanga A -KCY

50

Bosco Fakobu Kindanda Rice Milling
Mikoroshini

51

Fred Mjoge – Kigoma Rice Milling
Mikoroshini

52

Boniface Mwalongo Rice Mill
Gezaulole

53

Neto Sanga Rice Mill
Wazee

54

Alex Hanga Tailoring
Sokoni

55

Mkula Furniture Workshop
Barabara Mpya

56

Sadala Hamisi Hassani Furniture Workshop
Gezaulole

57

Jitegemee Group Carpentry
Viwanja sitini

58

Robert Swenye Furniture Workshop
Mlimba

59

Salehe Mtwanga Furniture Workshop
Gezaulole
  • Viwanda Vikubwa vya Halmashauri ya Wilaya ya Morogoro
Na.
Jina la Kiwanda
Mahali kilipo
1
Alliance One Tobacco Tanzania Ltd
Mkambarani
2
Philip Morris Cigarette Company Ltd
Mkambarani

 

Kiwanda cha Kati cha Halmashauri ya Wilaya ya Morogoro

Na.

Jina la Kiwanda
Mahali kilipo

1

 Unnat Fruit Processing Co. Ltd
Mkambarani-Hakifanyikazi

 

Viwanda Vidogo vya Halmashauri ya Wilaya ya Morogoro

Na.

Jina la Kiwanda
Mahali kilipo

1

Costantin Mruge Furniture Workshop
 Manispaa

2

 Upendo Group Nyalutanga Furniture Workshop
 Gomero Kaskazini

3

 Expeditho Primas Furniture Workshop
 Matola

4

 Hamis Aluminium & Glass Workshop
 Ngerengere mjini

5

Omary Hussein Furniture Workshop
Kibulumo

6

Aujenus Salinyambwe Furniture Workshop
Njianne

7

Jumuiya ya Watumia Maji Ngerengere
Ngerengere mjini

8

Alhaji Furniture Workshop
Tandai

9

Nole Furniture Workshop
Tandai

10

Paulo Mkoba Furniture Workshop
Mtamba chini

11

Common Group Furniture Workshop
Mkambarani

12

Zainab Zengwa Tailoring
Kibunduga

13

Laurent Raphael Furniture Workshop
Dikoni

14

Wilfred Kumambi Furniture Workshop
Kibunduga

 

  •  
  •  
  •  
  •  
  •  
  • Viwanda Vikubwa vya Wilaya ya Kilosa

Na.

Jina la Kiwanda
Mahali kilipo

1

Kilombero Sugar Company – K2
Kidatu

 

Viwanda vya Kati vya Wilaya ya Kilosa

Na.

Jina la Kiwanda
Mahali kilipo

1

Husmam Refining Machine
Msowelo B

2

China State Farm Ltd
Rudewa

3

New Kimamba Fibres Ltd
Kimamba

 

 

Viwanda Vidogo vya Wilaya ya Kilosa

Na.

Jina la Kiwanda
Mahali kilipo

1

Vijana Group Furniture Workshop
 Kibaoni

2

 Juhudi Furniture Workshop
 Kibaoni

3

 Steven Chikoga Furniture Workshop
 Kibaoni

4

 Chombo cha Watumia maji
 Mazimbu

5

Sadik Dafa Furniture Workshop
Bwawani

6

Kilimanjaro Furniture Workshop
Mgudeni

7

Suleiman Ally Furniture Workshop
Mgudeni

8

Khamisi Hassan Nippu Metal Work
Kichangani

9

Nassoro Mana Metal Work
Bwawani

10

Musa Mvungi Rice Mill
Mvumi

11

Juma Ngewzi Rice Mill
Mvumi B

12

New Msowero Farm Ltd Sisal Processing
Msowero

13

Mbombe  Family Rice Mill
Madizini

14

Masumbuko Family Furniture Workshop
Mvumi

15

Vijana Furniture Workshop
Msowero B

16

Samwel John Furniture Workshop
Madizini

17

Jumuiya ya Maji Mvumi
Mvumi A

18

Adinan Kassim Grain Mill
Mabatini A

19

Mohamed Alfan Grain Mill
Rudewa

20

Kimamba Water Supply Co.
Kimamba Postal street

21

Odinga Rice Milling
Uhindini

22

Kassim Stema Furniture Workshop
Uhindini

23

Shaban Magari Furniture Workshop
Kimamba B

24

Seif Ngola Grain Mill
Viwandani

25

Frojima Group Grain Mill
Kasiki

26

Mamnya Fashion Tailoring
Sabasaba

27

Seif Ngola Furniture Workshop
Viwandani

28

Dar Kilosa Aluminium Glass
Mbumi A

29

Vijana Sabasaba Furniture Workshop
Mbumi A

30

Corner Furniture Workshop
Viwandani

31

Mambo Tuzo Furniture Workshop
Viwandani

32

James Mushi Vibraters
Manzese

33

Kikundi cha Walemavu Kiyangayanga Tailoring
Mbwamaji

34

Seif Mohamed Swaleh Kiyegu Furniture Workshop
Mbwamaji

35

Kilosa Urban Water Supply Authority
Isoko

36

Kilawilo Rice Milling
Kitopeni

37

Kivungu Furniture Workshop
Gulioni

38

Riziki kwa Mungu Tailoring
Greeb mjini

39

Leons Mhawila Wood works
Kidoma

40

Weusi Furniture Workshop
Kidoma

41

Malausi Change Furniture Workshop
Mjini

42

Kikundi cha Wazee Grain Mill
Dinima

43

Gemile Magohakitwi Grain Mill
Mikwambeni

44

Twiga Tailoring
Ruaha B - Sokoni

45

Jumuiya ya Watumia maji Ruaha
Ruaha D
  • Kiwanda Kikubwa cha Wilaya ya Ulanga na Malinyi
Na.
Jina la Kiwanda
Mahali kilipo
1
Kilombero Valley Teak Company Ltd - KVTC
Mavimba

 

Kiwanda cha Kati cha Wilaya ya Ulanga na Malinyi

Na.
Jina la Kiwanda
Mahali kilipo
1
 Mingoyo Saw Mill Co. Ltd
Mingoyo

Viwanda Vidogo vya Wilaya ya Ulanga na Malinyi

Na.

Jina la Kiwanda
Mahali kilipo

1

 Wajane Grain Mill
Gezaulole

2

  • J. Quality Timber Exporters Ltd
 Iyundo

3

 Agaton Mtemba Furniture Workshop
 Alamba

4

 Elias Kachimu Rice Mill
 Mbasa - Golan

5

Nida Tusobe Rice Mill
Lupiro kati

6

Miasili Rice Mill
Zahanati

7

Walimu SACCOS Rice Mill
Mbasa

8

Alex Namnamoja Rice Mill
Igumbiro kati

9

Chief Rumanyika Rice Mill
Mbasa -Golan

10

Kimwaga Rice Mill
Libalatula

11

Dosantos Uyalo Rice Mill
Lupiro kati–Dosantos Uyalo

12

Fimbo ya Mnyonge Rice Mill
Mikindani

13

Fadhili Maganga Rice Mill
Libalatula

14

Furniture Group Workshop
Mikindani

15

Kwiro Furniture Workshop
Ukwama-Kwiro Sekondari

16

Deo Mashi Furniture Workshop
Ukwama -kwa Deo

17

Alex Nkini Furniture Workshop
Mahenge mjini

18

Mtitu Furniture Workshop
Togo

19

Joseph Evarist Furniture Workshop
Togo

20

Faustin Ngolongolo Furniture Workshop
National

21

Mahenge Urban Water Autrhority
Mahenge

22

Mohamed International Saw Mill Co. Ltd
Isongo

23

Philbert Linuma Furniture Workshop
Ruaha kati

24

Mathias Kinyama Rice Mill
Lupiro kati

25

Bruno Kingota Furniture Workshop
Makerere

26

Tushikamane Group Furniture Workshop
Magasunga

27

Vijana Furniture Workshop
Kigamboni

28

Mohamed Enterprise Teak Saw Mill Co. Ltd
Mavimba

29

Kivukoni Muungano Agri Business Rice Milling
Kivukoni

30

Malinyi MAMCOS Rice Milling
Malinyi - Misegese
  • Viwanda Vikubwa vya Wilaya ya Mvomero

Na.

Jina la Kiwanda
Mahali kilipo

1

Mtibwa Sugar Estates Ltd
Mtibwa

2

Dakawa Rice Mill Complex
Dakawa

 

Viwanda vya Kati vya Wilaya ya Mvomero

Na.

Jina la Kiwanda
Mahali kilipo

1

Cielmac Saw Mill (T) Ltd
Lusanga A

2

Milama Fruits Processing Co. Ltd
Magole

 

  • Viwanda Vidogo vya Wilaya ya Mvomero

Na.

Jina la Kiwanda
Mahali kilipo

1

Boniface Hilipo Furniture Workshop
Kijoja

2

 UKI Metal Works Enterprise
 Madukani

3

Michael Lugendo Furniture Workshop
CCM

4

Philbert Kanyau Furniture Workshop
Zaire

5

Said Ally Rice Milling
Bungoma

6

Mkindo Rice Milling
Minazini

7

Hemed Jumbe Mbelwa Furniture Workshop
Kongo

8

EB Meja Rice Mill
Uzigua

9

John Alphonce Furniture Workshop
Mvaji

10

Mohamed Woodworks Enterprise Ltd
Lusanga A

11

Justina Ernest Porcelain products makers
Shuleni

12

Mery HermanAnthon Clay products
Manyinga shuleni

13

Masawe Bolt & Nuts Metal works
Njiapanda

14

Mohamed Fadhil Ally Furniture Workshop
KKKT

15

Faraja Furniture Workshop
Kanisani

16

Chama cha Ushirika Twawose Dairy Processors
Msewe

17

Ramadhan Rajabu Metal Workshop
Mailikuli

18

Yohana Mary Furniture Workshop
Majengo

19

UWAWAKUDA Rice Milling
Dakawa
  •  
  • Viwanda Vidogo vya Wilaya ya Gairo

Na.

Jina la Kiwanda
Mahali kilipo

1

Ally Omary Furniture Workshop
 Chakwale

2

Abel Mmanyi Furniture Workshop
 Kilimani

3

 Fanuel Nginga Grain Mill
 Chamwino

4

 Alain Richard Mwangila Furniture Workshop
 Ilala

5

Juvenary Mnene Quarrying
Magoweko

6

Sunflower Oil Mill
Mbuyuni

7

Noel Majaliwa Tailoring
Magohego

8

Gairo Tailoring
Kisiwani

9

Mkandala Furniture Workshop
Gengeni

10

Maulid Swalehe Carpentry
Kisiwani B

11

Sai Metal Workshop
Unguu Road

12

Gairo Metal Works Enterprise & General Supplies
Unguu Road

13

Gendaheka Furniture Workshop
Unguu Road

14

Kapulwa Metal Works
Lubeho mjini

15

Mnjuki Family Furniture Workshop
Lubeho mjini

 

Viwanda ambavyo haviendelei na Uzalishaji

  1. Morogoro Canvas Mill Ltd
  2. Dakawa Rice Mill Complex – Tan Rice Green Ltd.
  3. Mang’ula Mechanical and Machine Tools Ltd
  4. Ushirikiano Wood Products – Timber Tone Ltd.
  5. Unnat Fruit Processing Company Ltd.
  6. Abood Soap Industry
  7. Zhong Fa Construction Materials Ltd.
  8. Morogoro Shoe Ltd.
  9. Morogoro Ceramic Wares Ltd.

Viwanda Vilivyojengwa na Serikali

Idadi ya
Vote
Vilivyo
Binafsishwa
Haviku
Binafsishwa
Vinavyo
Fanya kazi
Vinavyo
Suasua
Vilivyo
Fungwa bado
Vilivyo
Fufuliwa
Visivyo na
Mitambo

16

14

2

5

2

4

1

2

 

MKAKATI  WA MKOA WA KUJENGA VIWANDA 100 KILA MWAKA

 

Utangulizi

Mkoa wa Morogoro unatekeleza Agizo la Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Joseph Magufuli la kujenga viwanda 100 kila mwaka kupitia Mkakati wa Mkoa wa ujenzi wa viwanda hivyo, ulioandaliwa kwa kuwashirikisha Wadau mbalimbali wa viwanda, biashara na uwekezaji waliomo Mkoani Morogoro wa pande kuu mbili ambazo ni Sekta ya Umma na Sekta Binafsi.

 

Hatua za Kutekeleza Mkakati

Hatua 1

Kukutanisha Wadau wa viwanda wa Sekta ya Umma na Sekta Binafsi waliomo Mkoani

Mkakati wa Utekelezaji
Wahusika
Muda wa Utekelezaji
Hali ya Utekelezaji
i.Kuwa na uelewa wa pamoja kuhusu dhana ya ujenzi wa viwanda kwa: Kuainisha makundi ya viwanda ambayo ni Viwanda vidogo kabisa (Micro industries), Viwanda vidogo (Small industries), Viwanda vya kati Medium industries); na Viwanda vikubwa (Large industries).
Pia, kuuvaa uhusika katika uhamasishaji wa ujenzi wa viwanda - Sekta ya Umma; na ujenzi wenyewe wa viwanda - Sekta Binafsi.
Wakuu wa Wilaya, Wenyeviti/Mameya & Wakurugenzi wa Mamlaka za Serikali za Mitaa (MSM); Taasisi za Umma na Binafsi
Ifikapo Desemba 2017
Vilifanyika vikao 2 vya Baraza la Biashara la Mkoa tarehe 22 novemba & 15 Desemba 2017 ambavyo viliwakutanisha Wadau mbalimbali wa Taasisi za Umma na Sekta Binafsi.
ii. Kukumbushana Wajibu wa Sekta ya Umma na Sekta Binafsi katika uwekezaji kwenye viwanda: ambapo jukumu la Sekta ya Umma ni kuhakikisha uwepo wa mazingira rafiki na wezeshi ya uwekezaji ikiwa ni pamoja na kusimamia Sera na Sheria zinazolinda uwekezaji; na Sekta Binafsi ni kuanzisha viwanda vijijini na mijini.
Wakuu wa Wilaya, Wenyeviti/Mameya & Wakurugenzi wa MSM; Taasisi za Umma na Binafsi
Ifikapo Desemba 2017
Ukumbushanaji ulifanyika kwenye kikao cha kwanza cha Baraza la Biashara la Mkoa cha tarehe 22 Novemba 2018
iii. Kuwashawishi wawekezaji wenye mitaji kuwekeza Mkoani Morogoro.
Wakuu wa Wilaya, Wenyeviti/Mameya & Wakurugenzi wa MSM; Taasisi za Umma na Binafsi
Ifikapo 01 Desemba 2018
Mabaraza ya Biashara ya Wilaya yameundwa ili kunadi fursa za uwekezaji zilizomo na utatuzi wa vikwazo vya uwekezaji

 

Hatua ya 2

Kufuatilia kwa karibu Wawekezaji walioonesha nia ya dhati ya kuwekeza Morogoro

Mkakati wa Utekelezaji
Wahusika
Muda wa Utekelezaji
Hali ya Utekelezaji
Kuainisha maeneo ya uwekezaji na kuyapima (Survey).
Wakurugenzi wa Mamlaka za Serikali za Mitaa
Ifikapo Machi 2018
Taarifa ya uainishaji na upimaji wa maeneo ya uwekezaji ya Halmashauri ilitolewa kwenye kikao cha tarehe 29/03/2018 ambapo maeneo yameainishwa; na jumla ya ekari 31,697.02 (hekta 12,678.8)  zimepima
 b). Ufikishaji na uboreshaji wa miundombinu ya barabara, maji, umeme kwenye maeneo ya ujenzi wa viwanda.
Mamlaka za Serikali za Mitaa, Taasisi za Umma na Binafsi husika na miundombinu tajwa.
Ifikapo Juni 2018
Utekelezaji ni endelevu kwa kwa Taasisi husika
c). Kuimarisha ulinzi na usalama kwa mali za wawekezaji pamoja na wawekezaji wenyewe.
Wakuu wa Wilaya
Ifikapo 01 Desemba 2018
Hali ya ulinzi na usalama kwa wawekezaji na mali zao ni shwari
d). Kuhakikisha unakuwepo upatikanaji wa uhakika wa wafanyakazi mahili kulingana na mahitaji ya viwanda.
VETA, SIDO, Vyuo Vikuu
Ifikapo Julai 2018
Utekelezaji wa suala hili ni endelevu kwa vyuo husika

 

Hatua ya 3

Kuhimiza Ufufuaji wa viwanda vilivyofungwa na vile ambavyo kwa sasa ni majengo tu

Mkakati wa Utekelezaji
Wahusika
Muda wa Utekelezaji
Hali ya Utekelezaji
Kuwasiliana na Msajili wa Hazina ili viwanda 4 vilivyofungwa hadi sasa vitwaliwe: ambavyo ni Morogoro Canvas Mill Ltd, Kiwanda cha Kuchakata Mpunga Dakawa Rice Mill Complex – Tan Rice Green, Mang’ula Mechanical and Machine Tools Ltd, Ushirikiano Wood Products - Timber Tone Ltd.
Mkuu wa Mkoa & Katibu Tawala Mkoa
Ifikapo Juni 2018
Mkoa umemwandikia barua Msajili wa Hazina yenye Kumb. Na. BE.276/289/01/96 ya tarehe 22 Novemba 2017 kuhusu kuvitwaa viwanda tajwa.
Mrejesho rasmi kutoka kwa Msajili wa Hazina unasubiriwa
ii. Kuwahimiza wamiliki wa majengo yaliyokuwa viwanda ambayo sasa hayana mitambo, waweze kuyatumia majengo hayo kwa kuanzisha viwanda: majengo hayo ni yale ya Morogoro Ceramics Ware Ltd, Morogoro Leather Goods; na Kiwanda cha Viatu – Morogoro Shoe Ltd.
Msajili wa Hazina, Wizara ya Viwanda Biashara na Uwekezaji
Ifikapo Januari 2018.
Msajili wa Hazina amewaandikia barua Kumb.Na.CKA.133/254/01/121 ya tarehe 29 Novemba 2017 kwamba wamiliki wa viwanda hivyo wawasilishe Mipango yao ya uwekezaji.
Aidha, Timu ya ufuatiliaji kutoka Hazina, Wizara ya Viwanda na Ofisi ya Mwanasheria Mkuu wametembelea Morogoro tarehe 08.03.2018 kufuatilia suala hili.

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

Hatua ya 4

Kuhimiza uanzishaji wa Viwanda Vipya kwenye kila Mamlaka ya Serikali za Mitaa 

Mkakati wa Utekelezaji
Wahusika
Muda wa Utekelezaji
Hali ya Utekelezaji
Kuhakikisha kuwa kila Mamlaka ya Serikali za Mitaa inajenga angalau viwanda 12 kwa mwaka.
Mamlaka za Serikali za Mitaa
Ifikapo tarehe 01/12/2018
Hadi sasa kuna jumla ya viwanda vipya 161 ambapo Manispaa viwanda 47; Ifakara Mji 19; Kilombero 18, Malinyi 17; Ulanga 15; Kilosa 14; Gairo 12; Morogoro DC 10; na Mvomero 9.
Kufuatilia ujenzi wa angalau viwanda 12 kwenye kila Mamlaka ya Serikali za Mitaa.
Mkuu wa Mkoa, Katibu Tawala Mkoa.
Desemba 2017 hadi tarehe 01/12/2018.
Ufuatiliaji unafanywa na viongozi wa ngazi ya Mkoa wakati wa ziara zao kwenye Mamlaka za Serikali za Mitaa.

 





































































































































































































































































































Matangazo

  • MATOKEO YA MTIHANI WA UTAMILIFU(MOCK) KIDATO CHA NNE MEI-2019 MOROGORO July 29, 2019
  • Karibu kuwekeza Mkoani Morogoro September 26, 2019
  • Ifahamu Miongozo ya uazishwaji wa minada ya mifugo, uuzaji wa mifugo katika minada, ukusanyaji wa mapato kupitia minada, nyaraka zinazohitajika katika kusafirisha mifugo n.k Bofya hapa.. February 14, 2020
  • MAONESHO YA NANENANE July 27, 2022
  • View All

Habari Mpya

  • WAALIMU WAAGIZWA KUSIMAMIA USALAMA NA MALEZI BORA KWA WANAFUNZI.

    January 28, 2023
  • MAAFISA ELIMU WAAGIZWA KUSIMAMIA MATUMIZI YA FEDHA ZA MIRADI YA MAENDELEO

    January 28, 2023
  • RC FATMA MWASSA AWAAPISHA WAKUU WA WILAYA WAWILI.

    January 27, 2023
  • REA MKOANI MOROGORO KUMCHUKULIA HATUA MKANDARASI WA KAMPUNI YA HXJDL.

    January 26, 2023
  • View All

Video

Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Maelezo ya Mkoa
  • Tangazo la Zabuni
  • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
  • Hotuba
  • Taarifa kwa Umma

Kurasa Mashuhuri

  • Tovuti ya Tanzania
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • TAMISEMI
  • Ikulu
  • Katibu Mkuu Kiongozi
  • Tovuti ya Ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki © 2020 Ofisi Ya Mkuu wa Mkoa Morogoro. Haki Zote Zimehifadhiwa.