• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
Mkoa wa Morogoro
Mkoa wa Morogoro

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Morogoro

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Maelezo ya Mkoa
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Sehemu na Vitengo
      • Utawala na Rasilimali
      • Serikali za Mitaa
      • Uhasibu na Fedha
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Sheria
      • TEHAMA
      • Afya
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Kitengo cha Habari na Mawasiliano Serikalini
  • Wilaya
    • Morogoro
    • Mvomero
    • Gairo
    • Kilosa
    • Kilombero
    • Ulanga
    • Malinyi
  • Halmashauri
    • Manispaa ya Morogoro
    • Morogoro DC
    • Mvomero
    • Gairo
    • Ulanga
    • Malinyi
    • Mlimba
    • Ifakara Mji
    • Kilosa
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uchimbaji wa Madini
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Kilimo
    • Huduma za Mifugo
    • Huduma za Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
    • Huduma za Ugavi
  • Machapisho
    • Miongozo Mbalimbali
    • Majarida
    • Fomu Mbalimbali
    • Ripoti mbalimbali
    • Mpango Mkakati
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Sheria Ndogo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Videos
    • Hotuba
    • Picha

Kitengo cha Habari na Mawasiliano Serikalini

TAARIFA YA KITENGO CHA MAWASILIANO SERIKALINI

(GOVERNMENT COMMUNICATION UNITY- GCU)

RS- MOROGORO

Kitengo cha Mawasiliano Serikalini (GCU) katika Sekretarieti za Mikoa ni kitengo kipya kimuundo ambacho kimeanza rasmi baada ya marekebisho ya muundo mpya wa Sekretarieti hizo na kuidhinishwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan January 29, 2022 na kuanza kutumika rasmi Julai, 2022.

Awali Afisa Habari katika Ofisi ya Mkuu wa Mkoa au katika Sekretarieti za Mikoa alikuwa akitekeleza majukumu yake akiwa chini ya Idara ya Utawala na Utumishi (AAS - SS).

Kitengo hiki kinatekeleza Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ya Mwaka 1977 Sura ya Kwanza Sehemu ya tatu ibara ya 18 (d) inayosema:

“Kila mtu anayo haki ya kupewa taarifa wakati wote kuhusu matukio  mbalimbali muhim kwa maisha na shughuli za wananchi na pia kuhusu masuala muhim kwa jamii”.

 

MUUNDO:

Kimuundo, katika Sekretarieti ya Mkoa, kitengo hiki kinahitaji kuwa na watumishi watatu (3) wa taaluma ya Habari na kinatakiwa kuongozwa na Afisa mwenye cheo cha Afisa Habari Mkuu.

Lengo la Kitengo:

Jukumu la kitengo hiki ni kushauri kitaalamu Wajumbe wa Sekretarieti ya Mkoa (Menejimenti) kuhusu masuala yote yanayohusu Habari na Mawasiliano.

Majukumu ya kitengo:

Kuandaa nyaraka mbalimbali kama vile vipeperushi, majarida na Makala na kuutarifu umma juu ya shughuli zinazotekelezwa na Serikali ndani ya Mkoa wa Morogoro.

Kuratibu maandalizi ya Mikutano ya Mkuu wa Mkoa na waandishi wa Habari (Press Conference) itakayokuwa inafanywa na Mkuu wa Mkoa.

Kuhuisha taarifa mbalimbali katika tovuti za Sekretarieti za Mikoa husika kama Morogoro ni www.morogoro.go.tz.

Kushiriki midahalo inayoandaliwa kwa ajili ya mambo mbalimbali yanayofanyika Mkoani.

Kutoa taarifa mbalimbali juu ya maendeleo ya shughuli za kiuchumi na kijamii zilizopo ndani ya Mkoa.

Kushirikiana na wadau wengine wa maendeleo katika kutoa taarifa juu ya maendeleo ya shughuli za kiuchumi na kijamii zilizopo ndani ya Mkoa.

Matangazo

  • MATOKEO YA DARASA LA SABA 2024 October 30, 2024
  • TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI. May 13, 2025
  • View All

Habari Mpya

  • Vyama vya Ushirika Vyatakiwa Kutumia TEHAMA

    May 14, 2025
  • ZINGATIENI SHERIA, KATIBA NA KANUNI YA VYAMA VYENU - MUTUNGI.

    May 14, 2025
  • WANAFUNZI 214 WA KIDATO CHA KWANZA SEKONDARI ZA MONGOLA, MGETA WAPEWA MICHE 2140 YA MIKARAFUU

    May 13, 2025
  • RC MALIMA ATOA WITO KWA WANANCHI KUSHIRIKI MAADHIMISHO MIAKA 80 YA HOSPITALI, AMSHUKURU RAIS SAMIA.

    May 13, 2025
  • View All

Video

Mkuu wa Mkoa wa Morogoro Mhe. Adam Kighoma Malima akikagua ujenzi wa jengo la ofisi mpya ya Mkuu wa Mkoa.
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Maelezo ya Mkoa
  • Tangazo la Zabuni
  • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
  • Hotuba
  • Taarifa kwa Umma

Kurasa Mashuhuri

  • Tovuti ya Tanzania
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • TAMISEMI
  • Ikulu
  • Katibu Mkuu Kiongozi
  • Tovuti ya Ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Morogoro

    Sanduku la Posta: S.L.P 650 MOROGORO

    Simu: +2550232934305

    Simu: +255766828252

    Barua pepe: ras.morogoro@tamisemi.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki © 2024 Ofisi Ya Mkuu wa Mkoa Morogoro. Haki Zote Zimehifadhiwa.