• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
Mkoa wa Morogoro
Mkoa wa Morogoro

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Morogoro

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Maelezo ya Mkoa
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Sehemu na Vitengo
      • Utawala na Rasilimali
      • Serikali za Mitaa
      • Uhasibu na Fedha
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Sheria
      • TEHAMA
      • Afya
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Kitengo cha Habari na Mawasiliano Serikalini
  • Wilaya
    • Morogoro
    • Mvomero
    • Gairo
    • Kilosa
    • Kilombero
    • Ulanga
    • Malinyi
  • Halmashauri
    • Manispaa ya Morogoro
    • Morogoro DC
    • Mvomero
    • Gairo
    • Ulanga
    • Malinyi
    • Mlimba
    • Ifakara Mji
    • Kilosa
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uchimbaji wa Madini
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Kilimo
    • Huduma za Mifugo
    • Huduma za Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
    • Huduma za Ugavi
  • Machapisho
    • Miongozo Mbalimbali
    • Majarida
    • Fomu Mbalimbali
    • Ripoti mbalimbali
    • Mpango Mkakati
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Sheria Ndogo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Videos
    • Hotuba
    • Picha

Sheria

KAZI ZA KITENGO CHA SHERIA

Kitengo cha Sheria ni mojawapo ya vitengo vinavyounda Sekretarieti ya Mkoa. Kitengo hiki kimeundwa ili kuisaidia Sekretarieti ya Mkoa katika masuala mbalimbali ya kisheria.

1.1. MAJUKUMU YA KITENGO CHA SHERIA

1.Kutoa ushauri wa kisheria na kuisaidia Sekretarieti ya Mkoa katika kutafsiri Sheria,Mikataba,Makubaliano na Nyaraka mbalimbali za kisheria kwa kushirikiana na Mkurugenzi wa Huduma za Sheria wa TAMISEMI na Mwanasheria Mkuu wa Serikali

2.Kuratibu mashauri mbalimbali yaliyopo mahakamani yanayoshughulikiwa na Sekretariati ya Mkoa na yale ya kwenye Halmashauri.

4.Kufanya kazi mbalimbali katika Bodi za Kudumu na Kamati mbalimbali za uchunguzi za muda

5.Kushiriki katika Majadiliano na Mikutano mbalimbali ambayo inahitaji utaalamu wa Kisheria.

6.Kusaidia katika kutoa tafsiri za Sheria mbalimbali katika Sekretarieti ya Mkoa

7.Kuandaa na kupitia nyaraka mbalimbali za Kisheria kama vile Mikataba, makubaliano, Amri, Taarifa, Vyeti na nyaraka za kuhamisha umiliki

8.Kusaidia katika kusimamia utekelezaji na kutoa mapendekezo sahihi katika mchakato wa kupitia Sheria na Kanuni zihusuzo Mamlaka za Serikali za Mitaa

9.Kufanya kazi nyingine kama zitakavyoelekezwa na Katibu Tawala Mkoa. }

10.Kusaidia katika kusimamia utekelezaji na kutoa mapendekezo sahihi katika mchakato wa kupitia Sheria Ndogo na Kanuni zihusuzo Mamlaka za Serikali za Mitaa.

11.Kuwasimamia na kuwajengea uwezo wanasheria wa Halmashauri katika kutekeleza majukumu yao.

12.Kutoa ushauri wa kisheria kwa wananchi wanaofika katika Ofisi ya Mkuu wa Mkoa na malalamiko mbalimbali

13.Kufanya kazi nyingine kama zitakavyoelekezwa na Katibu Tawala Mkoa

Matangazo

  • MATOKEO YA DARASA LA SABA 2024 October 30, 2024
  • TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI. May 13, 2025
  • View All

Habari Mpya

  • Vyama vya Ushirika Vyatakiwa Kutumia TEHAMA

    May 14, 2025
  • ZINGATIENI SHERIA, KATIBA NA KANUNI YA VYAMA VYENU - MUTUNGI.

    May 14, 2025
  • WANAFUNZI 214 WA KIDATO CHA KWANZA SEKONDARI ZA MONGOLA, MGETA WAPEWA MICHE 2140 YA MIKARAFUU

    May 13, 2025
  • RC MALIMA ATOA WITO KWA WANANCHI KUSHIRIKI MAADHIMISHO MIAKA 80 YA HOSPITALI, AMSHUKURU RAIS SAMIA.

    May 13, 2025
  • View All

Video

Mkuu wa Mkoa wa Morogoro Mhe. Adam Kighoma Malima akikagua ujenzi wa jengo la ofisi mpya ya Mkuu wa Mkoa.
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Maelezo ya Mkoa
  • Tangazo la Zabuni
  • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
  • Hotuba
  • Taarifa kwa Umma

Kurasa Mashuhuri

  • Tovuti ya Tanzania
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • TAMISEMI
  • Ikulu
  • Katibu Mkuu Kiongozi
  • Tovuti ya Ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Morogoro

    Sanduku la Posta: S.L.P 650 MOROGORO

    Simu: +2550232934305

    Simu: +255766828252

    Barua pepe: ras.morogoro@tamisemi.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki © 2024 Ofisi Ya Mkuu wa Mkoa Morogoro. Haki Zote Zimehifadhiwa.