• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
Mkoa wa Morogoro
Mkoa wa Morogoro

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Morogoro

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Maelezo ya Mkoa
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Sehemu na Vitengo
      • Utawala na Rasilimali
      • Serikali za Mitaa
      • Uhasibu na Fedha
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Huduma za maji
      • Miundombinu
      • Huduma za Ugani
      • Elimu
      • Sheria
      • TEHAMA
      • Afya
  • Wilaya
    • Morogoro
    • Mvomero
    • Gairo
    • Kilosa
    • Kilombero
    • Ulanga
    • Malinyi
  • Halmashauri
    • Manispaa ya Morogoro
    • Morogoro DC
    • Mvomero
    • Gairo
    • Ulanga
    • Malinyi
    • Kilombero
    • Ifakara Mji
    • Kilosa
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za maji
    • Huduma za Kilimo
    • Huduma za Mifugo
    • Huduma za Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Miongozo Mbalimbali
    • Majarida
    • Fomu Mbalimbali
    • Ripoti mbalimbali
    • Mpango Mkakati
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Sheria Ndogo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Videos
    • Hotuba
    • Picha

Gairo

Wilaya ya Gairo.

Wilaya ya Gairo ilianzishwa kwa Tangazo la Serikali Na 75 la tarehe 02/03/2012 kufuatia kugawanywa kwa Wilaya ya Kilosa na baadae utekelezaji wa shughuli za Halmashauri ulianza rasmi Julai mwaka 2013. Eneo la Wilaya ya Gairo ni Kilometa za mraba 1,851.34.

Gairo inakadiriwa kuwa na wakazi wapatao 193,011 wanaume ni 93,206 na wanawake ni 99,805, hii ni kwa mujibu wa Sensa ya watu na Makazi ya mwaka 2012. Wastani wa watu kwa kaya ni 5:2 sawa na ongezeko la asilimia 2.6 kwa mwaka.

Wilaya inaundwa na Tarafa mbili, Kata 18, vijiji 50 na vitongoji 304 Aidha, kuna jimbo moja la uchaguzi la Gairo. Kwa maelezo zaidi bonyeza  http://www.gairodc.go.tz/

Matangazo

  • Karibu kuwekeza Morogoro April 17, 2018
  • Usafi wa Mazingira April 22, 2018
  • View All

Habari Mpya

  • Hakuna haki bila wajibu

    March 16, 2018
  • TFRA YAHAMASISHA MFUMO WA UNUNUZI WA MBOLEA WA PAMOJA

    April 13, 2018
  • RC Morogoro aenderea kuhimiza kilimo cha pamba

    April 11, 2018
  • DC Morogoro aiomba China kuongeza misaada

    March 24, 2018
  • View All

Video

RC Morogoro atembelea mashamba ya pamba na korosho wilaya za Gairo na Kilosa
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Maelezo ya Mkoa
  • Tangazo la Zabuni
  • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
  • Hotuba
  • Taarifa kwa Umma

Kurasa Mashuhuri

  • Tovuti ya Tanzania
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • TAMISEMI
  • Ikulu
  • Katibu Mkuu Kiongozi
  • Tovuti ya Ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana nasi

Other Contacts

   

Visitors Counter

writingMasterThesis

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki © 2018 Mkoa wa Morogoro. Haki Zote Zimehifadhiwa