• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
Mkoa wa Morogoro
Mkoa wa Morogoro

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Morogoro

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Maelezo ya Mkoa
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Sehemu na Vitengo
      • Utawala na Rasilimali
      • Serikali za Mitaa
      • Uhasibu na Fedha
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Sheria
      • TEHAMA
      • Afya
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Kitengo cha Habari na Mawasiliano Serikalini
  • Wilaya
    • Morogoro
    • Mvomero
    • Gairo
    • Kilosa
    • Kilombero
    • Ulanga
    • Malinyi
  • Halmashauri
    • Manispaa ya Morogoro
    • Morogoro DC
    • Mvomero
    • Gairo
    • Ulanga
    • Malinyi
    • Mlimba
    • Ifakara Mji
    • Kilosa
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uchimbaji wa Madini
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Kilimo
    • Huduma za Mifugo
    • Huduma za Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
    • Huduma za Ugavi
  • Machapisho
    • Miongozo Mbalimbali
    • Majarida
    • Fomu Mbalimbali
    • Ripoti mbalimbali
    • Mpango Mkakati
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Sheria Ndogo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Videos
    • Hotuba
    • Picha

iCHF YAPANIA KUONGEZA WANUFAIKA KWA 10%

Posted on: May 29th, 2021

Mfuko wa CHF iliyoboreshwa umedhamiria kuongeza wanufaika wa Mfuko huo kwa kueleza umuhim wake  na kuwahamasisha wanufaika kufikia 10% ifikapo 2022 kutoka asilimia 5 ya sasa.

Afisa Habari kutoka Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Morogoro Andrew Chimesela(kushoto) akibadilishana mawazo na Afisa TEHAMA Geita wakati wa mapumziko

Hayo yameelezwa na Bi. ziada Nkinda kutoka Ofisi ya Rais TAMISEMI wakati akifungua Kikao kazi cha Siku moja Cha Waratibu wa CHF, Maafisa TEHAMA na Maafisa Habari wa Mikoa kinachofanyika hii leo Mei 29 katika Ukumbi wa BEACO Jijini Mbeya.

Rhobison wambura Afisa TEHAMA Mkoa wa Morogoro akiwa nje ya Ukumbi wa BEACO wakati wa mapumziko.

"Tumeona umuhimu wa maafisa habari katika kutangaza CHF ILIYOBORESHWA kwani hata mratibu akifanya vizuri bilateral kuyaandika hayo mazuri hayawezi kufika kwa walengwa ndio maana tumeona umuhimu wenu na tunaamini mtaitangaza CHF ili iwafikie watu wengi zaidi," amesema Bi. Ziada

Aidha, amesema hadi Kufikia Aprili 2021 jumla ya watu milioni 3 wamejiunga na Mfuko huo na kufanikiwa kukusanya shilingi bilioni 18 ambapo jumla ya shilingi bilioni 7 zimerudishwa katika vituo vya kutolea huduma za afya kwa ajili ya kuboresha huduma za afya kwa wananchi.

Katika hatua nyingine waratibu wa CHF ILIYOBORESHWA ngazi ya mikoa wameshauriwa kushirikiana katika kufanya kazi zao badala ya kujifungia ndani huku akisema kuwa kila mtu kwa nafasi yake anaweza kuinua Mfuko wa CHF ILIYOBORESHWA sehemu alipo.


Semina ya siku moja ya CHF ILIYOBORESHWA  inafanyika mkoani Mbeya kwa lengo la kuweka mikakati ya pamoja ya kuhamasishaji Jamii kujiunga na CHF iliyoboreshwa ambapo lengo la taifa ni kufikia 30% ya wanufaika Kujiunga ifikapo 2025.


MWISHO

Matangazo

  • MATOKEO YA DARASA LA SABA 2024 October 30, 2024
  • View All

Habari Mpya

  • RC MALIMA AKEMEA ULANGUZI WA MAZAO.

    May 08, 2025
  • WAAJIRI MOROGORO WATAKIWA KUTATUA CHANGAMOTO ZA WAFANYA KAZI WAO.

    May 01, 2025
  • SERIKALI KUJENGA BARABARA YA LUPILO – MALINYI KWA KIWANGO CHA LAMI, Bil. 18 ZATOLEWA KUJENGA MADARAJA MAWILI.

    April 25, 2025
  • MWENGE WA UHURU 2025 WATAJA TUNU NNE ZA TAIFA.

    April 19, 2025
  • View All

Video

Mkuu wa Mkoa wa Morogoro Mhe. Adam Kighoma Malima akikagua ujenzi wa jengo la ofisi mpya ya Mkuu wa Mkoa.
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Maelezo ya Mkoa
  • Tangazo la Zabuni
  • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
  • Hotuba
  • Taarifa kwa Umma

Kurasa Mashuhuri

  • Tovuti ya Tanzania
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • TAMISEMI
  • Ikulu
  • Katibu Mkuu Kiongozi
  • Tovuti ya Ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Morogoro

    Sanduku la Posta: S.L.P 650 MOROGORO

    Simu: +2550232934305

    Simu: +255766828252

    Barua pepe: ras.morogoro@tamisemi.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki © 2024 Ofisi Ya Mkuu wa Mkoa Morogoro. Haki Zote Zimehifadhiwa.