• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
Mkoa wa Morogoro
Mkoa wa Morogoro

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Morogoro

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Maelezo ya Mkoa
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Sehemu na Vitengo
      • Utawala na Rasilimali
      • Serikali za Mitaa
      • Uhasibu na Fedha
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Sheria
      • TEHAMA
      • Afya
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Kitengo cha Habari na Mawasiliano Serikalini
  • Wilaya
    • Morogoro
    • Mvomero
    • Gairo
    • Kilosa
    • Kilombero
    • Ulanga
    • Malinyi
  • Halmashauri
    • Manispaa ya Morogoro
    • Morogoro DC
    • Mvomero
    • Gairo
    • Ulanga
    • Malinyi
    • Mlimba
    • Ifakara Mji
    • Kilosa
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uchimbaji wa Madini
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Kilimo
    • Huduma za Mifugo
    • Huduma za Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
    • Huduma za Ugavi
  • Machapisho
    • Miongozo Mbalimbali
    • Majarida
    • Fomu Mbalimbali
    • Ripoti mbalimbali
    • Mpango Mkakati
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Sheria Ndogo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Videos
    • Hotuba
    • Picha

RC Morogoro atoa ufafanuzi juu ya Bonde la Mto Kilombero, ataka waheshimu mpaka 2017

Posted on: December 26th, 2020

Mkuu wa Mkoa wa Morogoro Loata Ole Sanare ametoa ufafanuzi zaidi kwa wananchi wanaozunguka Hifadhi ya Bonde la Mto Kilombero kutofanya shughuli zozote za kibinadamu ndani ya Bonde hilo huku akisisitiza kutothubutu kuvuka mpaka wa mwaka 2017 kuelekea hifadhini na kuwataka waheshimu mpaka huo hadi pale Serikali itakapotoa maelekezo mengine.

Loata Sanare amesema hayo Ofisini kwake mbele ya vyombo vya habari siku mbili baada ya kikao kilichofanyika Disemba 23 mwaka huu katika Mji mdogo wa Ifakara na kushirikisha viongozi mbalimbali kutoka Wilaya za Ulanga, Malinyi na Kilombero alipotoa maagizo kwa wananchi wa Wilaya kuheshimu mpaka wa 2017 kupokelewa tofauti na au kupotoshwa na baadhi ya viongozi kwa maslahi yao binafsi.

Amesema katika maagizo yake hakuruhusu watu kulima au kufanya shughuli zozote za kibinadamu ndani ya Bonde hilo bali aliendelea kusisitiza kuheshimu mpaka wa 2017 na baadhi yao kumnukuu tofauti kwamba ameruhusu watu kuingia ndani ya hifadhi hiyo yaani kuvuka mpaka 2017 na kufanya shughuli zao kilimo na ufugaji jambo ambalo si la kweli.

“Nimesema wananchi tuwatendee haki, kuwa huo mpaka wa 2017 huo ndi mwisho wetu wananchi wetu wapewe walime huku (nyuma ya mpaka huo) waweze kuishi, wasivuke ule mpaka na TAWA tuliwaelekeza ule mpaka ndo uwe mpaka wetu, mpaka hapo tutakapokaa na Mawaziri watatuletea ripoti … kwa hiyo narudia kusema tena, nimesema mifugo itoke, nimesema tena wakulima waruhusiwe kulima mpaka mwisho mpaka ule wa 2017 msiingie kwenye eneo lililotengwa” alisisitiza Loata Sanare.


MWISHO.

Matangazo

  • MATOKEO YA DARASA LA SABA 2024 October 30, 2024
  • View All

Habari Mpya

  • RC MALIMA AKEMEA ULANGUZI WA MAZAO.

    May 08, 2025
  • WAAJIRI MOROGORO WATAKIWA KUTATUA CHANGAMOTO ZA WAFANYA KAZI WAO.

    May 01, 2025
  • SERIKALI KUJENGA BARABARA YA LUPILO – MALINYI KWA KIWANGO CHA LAMI, Bil. 18 ZATOLEWA KUJENGA MADARAJA MAWILI.

    April 25, 2025
  • MWENGE WA UHURU 2025 WATAJA TUNU NNE ZA TAIFA.

    April 19, 2025
  • View All

Video

Mkuu wa Mkoa wa Morogoro Mhe. Adam Kighoma Malima akikagua ujenzi wa jengo la ofisi mpya ya Mkuu wa Mkoa.
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Maelezo ya Mkoa
  • Tangazo la Zabuni
  • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
  • Hotuba
  • Taarifa kwa Umma

Kurasa Mashuhuri

  • Tovuti ya Tanzania
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • TAMISEMI
  • Ikulu
  • Katibu Mkuu Kiongozi
  • Tovuti ya Ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Morogoro

    Sanduku la Posta: S.L.P 650 MOROGORO

    Simu: +2550232934305

    Simu: +255766828252

    Barua pepe: ras.morogoro@tamisemi.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki © 2024 Ofisi Ya Mkuu wa Mkoa Morogoro. Haki Zote Zimehifadhiwa.