• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
Mkoa wa Morogoro
Mkoa wa Morogoro

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Morogoro

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Maelezo ya Mkoa
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Sehemu na Vitengo
      • Utawala na Rasilimali
      • Serikali za Mitaa
      • Uhasibu na Fedha
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Sheria
      • TEHAMA
      • Afya
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Kitengo cha Habari na Mawasiliano Serikalini
  • Wilaya
    • Morogoro
    • Mvomero
    • Gairo
    • Kilosa
    • Kilombero
    • Ulanga
    • Malinyi
  • Halmashauri
    • Manispaa ya Morogoro
    • Morogoro DC
    • Mvomero
    • Gairo
    • Ulanga
    • Malinyi
    • Mlimba
    • Ifakara Mji
    • Kilosa
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uchimbaji wa Madini
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Kilimo
    • Huduma za Mifugo
    • Huduma za Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
    • Huduma za Ugavi
  • Machapisho
    • Miongozo Mbalimbali
    • Majarida
    • Fomu Mbalimbali
    • Ripoti mbalimbali
    • Mpango Mkakati
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Sheria Ndogo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Videos
    • Hotuba
    • Picha

RC CHALAMILA AWATAKA WATANZANIA KUTUMIA MAONESHO YA NANENANE KUPATA ELIMU MPYA.

Posted on: August 6th, 2025

Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Mhe. Albert Chalamila, amewataka Watanzania kutumia maonesho ya Wakulima, Wafugaji na Wavuvi (Nanenane) katika kanda zao kwa ajili ya kupata Elimu mpya ya kufanya shughuli zao za kilimo, mifugo na uvuvi ili kuwa na tija zaidi na kuinua uchumi wao na wa Taifa.

Mhe. Chalamila ametoa kauli hiyo Agosti 5, mwaka huu wakati akitembelea mabanda ya bidhaa na vipando kwenye maonesho ya 32 ya Nanenane Kanda ya Mashariki 2025 yanayofanyika katika viwanja vya Mwl. Julius Kambarage Nyerere vilivyopo Halmashauri ya Manispaa ya Morogoro.

Amesema, katika sekta ya kilimo, Serikali inaendelea kutenga bajeti kubwa ya fedha ili kuhakikisha kilimo kinakuwa sekta inayochangia kwa kiwango kikubwa katika maendeleo ya taifa, ambapo wakulima wameendelea kupata mbolea na vifaa vya kisasa vya kilimo kuliko miaka ya nyuma.

“Nitoe rai kwa Watanzania wote kutumia maonesho haya ya Nanenane katika kanda zenu ili muweze kupata maarifa mapya,” amesema Mhe. Albert Chalamila.

Katika hatua nyingine, Mkuu huyo wa Mkoa alipotembelea banda la Wakala wa Vipimo Tanzania amesisitiza umuhimu wa kutumia vipimo sahihi vilivyokubaliwa na mamlaka husika na wanaokiuka taratibu kwa kutumia mizani au vipimo vingine visivyothibitishwa na Mamlaka  na kuwaibia wakulima  watachukuliwa hatua za kisheria wakiwemo wanaojihusisha na vipimo vya lumbesa.

Katika hatua nyingine Mhe. Chalamila amewapongeza wadau mbalimbali waliojitokeza kushiriki maonesho ya Nanenane Kanda ya Mashariki na kubainisha kuwa yamekuwa na upekee kwa kuwa kumekuwa na bidhaa nyingi mna bora huku akiwataka wananchi kufika kwa wingi katika maonesho hayo ili kupata ujuzi na mbinu mpya za kilimo, mifugo na uvuvi.


Mwisho.

Matangazo

  • MATOKEO YA DARASA LA SABA 2024 October 30, 2024
  • TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI. May 13, 2025
  • View All

Habari Mpya

  • SERIKALI KUENDELEA KUSHIRIKIANA NA VIJANA KUTATUA CHANGAMOTO ZAO

    August 12, 2025
  • WADAU WA MAONESHO YA NANENANE WAAGIZWA KUTEKELEZA WALIYOJIFUNZA

    July 12, 2025
  • RC CHALAMILA AWATAKA WATANZANIA KUTUMIA MAONESHO YA NANENANE KUPATA ELIMU MPYA.

    August 06, 2025
  • RAS Morogoro awasisitiza watumishi kufanya mazoezi, awataka kutumia mazingira mazuri yaliyopo

    August 04, 2025
  • View All

Video

Mkuu wa Mkoa wa Morogoro Mhe. Adam Kighoma Malima akikagua ujenzi wa jengo la ofisi mpya ya Mkuu wa Mkoa.
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Maelezo ya Mkoa
  • Tangazo la Zabuni
  • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
  • Hotuba
  • Taarifa kwa Umma

Kurasa Mashuhuri

  • Tovuti ya Tanzania
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • TAMISEMI
  • Ikulu
  • Katibu Mkuu Kiongozi
  • Tovuti ya Ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Morogoro

    Sanduku la Posta: S.L.P 650 MOROGORO

    Simu: +2550232934305

    Simu: +255766828252

    Barua pepe: ras.morogoro@tamisemi.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki © 2024 Ofisi Ya Mkuu wa Mkoa Morogoro. Haki Zote Zimehifadhiwa.