• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
Mkoa wa Morogoro
Mkoa wa Morogoro

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Morogoro

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Maelezo ya Mkoa
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Sehemu na Vitengo
      • Utawala na Rasilimali
      • Serikali za Mitaa
      • Uhasibu na Fedha
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Sheria
      • TEHAMA
      • Afya
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Kitengo cha Habari na Mawasiliano Serikalini
  • Wilaya
    • Morogoro
    • Mvomero
    • Gairo
    • Kilosa
    • Kilombero
    • Ulanga
    • Malinyi
  • Halmashauri
    • Manispaa ya Morogoro
    • Morogoro DC
    • Mvomero
    • Gairo
    • Ulanga
    • Malinyi
    • Mlimba
    • Ifakara Mji
    • Kilosa
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uchimbaji wa Madini
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Kilimo
    • Huduma za Mifugo
    • Huduma za Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
    • Huduma za Ugavi
  • Machapisho
    • Miongozo Mbalimbali
    • Majarida
    • Fomu Mbalimbali
    • Ripoti mbalimbali
    • Mpango Mkakati
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Sheria Ndogo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Videos
    • Hotuba
    • Picha

Askofu msimbe asimikwa rasmi kuwa msimamizi wa jimbo katoliki Morogoro.

Posted on: September 20th, 2021

Askofu Mkuu kiongozi na Balozi wa baba Mtakatifu hapa nchini Mareck Solczynski ameongoza ibada ya kuwekwa wakfu na kusimikwa  kwa Padre Lazarus Msimbe kuwa Askofu mpya wa jimbo katoliki la Morogoro.

Askofu Solczynski ameongoza ibada hiyo Septemba 19 mwaka huu katika viwanja vya seminari ya Mtakatifu Peter jimboni humo iliyohudhuriwa na Maaskofu Wakuu na Maaskofu karibu wote wa Kanisa Katoliki hapa nchini.

Katika mahubiri yake Askofu Mkuu Kiongozi amemtaka Askofu Msimbe kuchunga Kondoo wa Mungu yaani waumini wa Jimbo Katoliki la Morogoro kwa upendo bila kubagua.

Naye Askofu Lazarus Msimbe pamoja  na kutoa shukrani zake kwa Viongozi wote wa Kanisa hilo wakiwemo wa Baraza la Maaskofu wa Kanisa Katoliki hapa nchini – TEC bado ameiomba Serikali kuendelea kushirikiana katika kuwalea wananchi mahitaji ya kiroho na kimwili.

Mgeni Rasmi katika sherehe hizo alikuwa Waziri wa Mambo ya Ndani Mhe. George Simbachawene aliyemwakilisha Mhe. Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ambaye amesema Serikali chini ya Mhe. Samia Suluhu Hassan itaendelea kuheshimu mchango unaotolewa na madhehebu ya dini hapa nchini na kwamba itaendele kutoa ushirikiano wa dhati.


Kwa upande wake Mkuu wa Mkoa wa Morogoro Martine Shigela ambaye aliambatana na Waziri huyo, ameahidi kutoa ushirikiano wa kutosha kwa kanisa hilo pamoja na madhebu mengine na katu hatakuwa kikwazo kwao katika shughuli za kutaka kanisa hilo kuwaletea mahitaji ya kijamii kama shule, Hospitali na miradi mingine ya maendeleo.

Padre Lazarus Msimbe amezaliwa 27 Disemba, 1963 amepata Upadre 21 Juni, 1998 na kuteuliwa kuwa msimamizi wa kitume jimbo la Morogoro 13 Februari, 2019 ambapo 15 Mei 2021 aliteuliwa kuwa msimamizi wa jimbo katoliki Askofu.

 

MWISHO.

Matangazo

  • MATOKEO YA DARASA LA SABA 2024 October 30, 2024
  • View All

Habari Mpya

  • RC MALIMA AKEMEA ULANGUZI WA MAZAO.

    May 08, 2025
  • WAAJIRI MOROGORO WATAKIWA KUTATUA CHANGAMOTO ZA WAFANYA KAZI WAO.

    May 01, 2025
  • SERIKALI KUJENGA BARABARA YA LUPILO – MALINYI KWA KIWANGO CHA LAMI, Bil. 18 ZATOLEWA KUJENGA MADARAJA MAWILI.

    April 25, 2025
  • MWENGE WA UHURU 2025 WATAJA TUNU NNE ZA TAIFA.

    April 19, 2025
  • View All

Video

Mkuu wa Mkoa wa Morogoro Mhe. Adam Kighoma Malima akikagua ujenzi wa jengo la ofisi mpya ya Mkuu wa Mkoa.
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Maelezo ya Mkoa
  • Tangazo la Zabuni
  • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
  • Hotuba
  • Taarifa kwa Umma

Kurasa Mashuhuri

  • Tovuti ya Tanzania
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • TAMISEMI
  • Ikulu
  • Katibu Mkuu Kiongozi
  • Tovuti ya Ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Morogoro

    Sanduku la Posta: S.L.P 650 MOROGORO

    Simu: +2550232934305

    Simu: +255766828252

    Barua pepe: ras.morogoro@tamisemi.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki © 2024 Ofisi Ya Mkuu wa Mkoa Morogoro. Haki Zote Zimehifadhiwa.