• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
Mkoa wa Morogoro
Mkoa wa Morogoro

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Morogoro

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Maelezo ya Mkoa
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Sehemu na Vitengo
      • Utawala na Rasilimali
      • Serikali za Mitaa
      • Uhasibu na Fedha
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Sheria
      • TEHAMA
      • Afya
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Kitengo cha Habari na Mawasiliano Serikalini
  • Wilaya
    • Morogoro
    • Mvomero
    • Gairo
    • Kilosa
    • Kilombero
    • Ulanga
    • Malinyi
  • Halmashauri
    • Manispaa ya Morogoro
    • Morogoro DC
    • Mvomero
    • Gairo
    • Ulanga
    • Malinyi
    • Mlimba
    • Ifakara Mji
    • Kilosa
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uchimbaji wa Madini
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Kilimo
    • Huduma za Mifugo
    • Huduma za Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
    • Huduma za Ugavi
  • Machapisho
    • Miongozo Mbalimbali
    • Majarida
    • Fomu Mbalimbali
    • Ripoti mbalimbali
    • Mpango Mkakati
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Sheria Ndogo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Videos
    • Hotuba
    • Picha

BODI YA PAMBA TANZANIA YAFANYA UWEKEZAJI KWA KUKODI ENEO LA KIJIJI CHA KIKWAWILA LENYE UKUBWA WA EKARI ELFU 11,000 KWAAJILI YA KILIMO CHA DENGU

Posted on: July 21st, 2025


Mwekezaji Bodi ya Pamba Tanzania  amefanya Uwekezaji wa Kilimo cha zao la Dengu katika Eneo la Shamba la Kijiji cha Kikwawila  lililopo Kata ya Kibaoni kwa Kipindi cha Miezi minne kuanzia Agasti hadi Novemba 2025  ambapo Shamba hilo huwa halitumiwi na Wanakijiji kwani kwa Kipindi hiko huwa wamevuna Mazao yao na kusubiri kipindi kingine cha Msimu  wa Kilimo cha Mpunga ambacho huanza mwezi Novemba. Aidha Mwekezaji huyo amekodi shamba hilo kwa   Shilingi Milioni 50,000,000 ambayo inawekwa katika  Akaunti ya Benki ya Kijiji ambapo kila Ekari sh. 5,000.

Akizungumza wakati wa  Mkutano wa Wanakijiji cha Kikwawila , Viongozi wa Serikali ya Kijiji,  Halmashauri, Wilaya na Wawekezaji hao leo  Jumapili Tarehe 20 Julai 2025,   Mkuu wa Mkoa wa Morogoro Mhe. Adam Kighoma Malima aliwaeleza Wanakijiji hao kuwa mbali na Mwekezaji huyo kukodi ekari hizo pia atawalimia Wananchi ekari elfu 2 ,000 kati ya Ekari 11 anazozikodi na kwamba Wananchi hao watazimamia na kuwa mfano kwa wengine.

" Zitalimwa Ekari elfu 11 zote na Ekari Elfu 2 zitalimwa kwaajili ya Wanakijiji  kila mtu atapewa azisimamie kwenye utaratibu wa Ushirika wa Kijiji, Ekari elfu 9 zitakuwa kwaajili ya Mwekezaji". Alisema Mhe. Malima

Kwa upande wake  Makamu Mwenyekiti wa Bodi ya Pamba Aggrey Mwanri alisema  katika Uwekezaji huo  Wanakijiji hao  watanufaika kwa kuwa Bodi ya Pamba  itachangia Shughuli za kimaendeleo  za Kijamii kama Elimu, Afya, Miundo mbinu n.k

Mmoja wa Wananchi wa Kijiji hicho Bw. Martine Ngwega alieleza kuwa Ujio wa  Mwekezaji huyo  katika Eneo hilo utanufaisha Wananchi wa Kijiji hicho  kwani kwa Kipindi ambacho wanakuwa wamevuna Mpunga eneo hilo linakuwa halitumiki hivyo kuja kwa Mwekezaji huyo kutaendelea kuongeza mapato na ustawi wa Kijiji hicho.

" Tunashukuru Mwekezaji kwa kulichagua eneo letu, kwani pia suala la Miundo mbinu ameahidi kututengenezea na Vijana wetu watapata Ajira kupitia Uwekezaji huu". Alisema Bw.Ngwega

Matangazo

  • MATOKEO YA DARASA LA SABA 2024 October 30, 2024
  • TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI. May 13, 2025
  • View All

Habari Mpya

  • Mhe. Rais afanyiwa tambiko na wazee wa kimila Morogoro

    August 28, 2025
  • RC Malima atoa siku saba kuunda SACCOS

    August 22, 2025
  • SERIKALI KUENDELEA KUSHIRIKIANA NA VIJANA KUTATUA CHANGAMOTO ZAO

    August 12, 2025
  • WADAU WA MAONESHO YA NANENANE WAAGIZWA KUTEKELEZA WALIYOJIFUNZA

    July 12, 2025
  • View All

Video

Mkuu wa Mkoa wa Morogoro Mhe. Adam Kighoma Malima akikagua ujenzi wa jengo la ofisi mpya ya Mkuu wa Mkoa.
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Maelezo ya Mkoa
  • Tangazo la Zabuni
  • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
  • Hotuba
  • Taarifa kwa Umma

Kurasa Mashuhuri

  • Tovuti ya Tanzania
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • TAMISEMI
  • Ikulu
  • Katibu Mkuu Kiongozi
  • Tovuti ya Ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Morogoro

    Sanduku la Posta: S.L.P 650 MOROGORO

    Simu: +2550232934305

    Simu: +255766828252

    Barua pepe: ras.morogoro@tamisemi.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki © 2024 Ofisi Ya Mkuu wa Mkoa Morogoro. Haki Zote Zimehifadhiwa.