• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
Mkoa wa Morogoro
Mkoa wa Morogoro

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Morogoro

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Maelezo ya Mkoa
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Sehemu na Vitengo
      • Utawala na Rasilimali
      • Serikali za Mitaa
      • Uhasibu na Fedha
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Sheria
      • TEHAMA
      • Afya
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Kitengo cha Habari na Mawasiliano Serikalini
  • Wilaya
    • Morogoro
    • Mvomero
    • Gairo
    • Kilosa
    • Kilombero
    • Ulanga
    • Malinyi
  • Halmashauri
    • Manispaa ya Morogoro
    • Morogoro DC
    • Mvomero
    • Gairo
    • Ulanga
    • Malinyi
    • Mlimba
    • Ifakara Mji
    • Kilosa
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uchimbaji wa Madini
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Kilimo
    • Huduma za Mifugo
    • Huduma za Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
    • Huduma za Ugavi
  • Machapisho
    • Miongozo Mbalimbali
    • Majarida
    • Fomu Mbalimbali
    • Ripoti mbalimbali
    • Mpango Mkakati
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Sheria Ndogo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Videos
    • Hotuba
    • Picha

DARAJA LA GHARAMA YA TSH 1.3 Bil. LAWEKEWA JIWE LA MSINGI KILOMBERO

Posted on: April 23rd, 2024

DARAJA LA GHARAMA YA TSH 1.3 Bil. LAWEKEWA JIWE LA MSINGI KILOMBERO

Kiongozi wa Mbio za Mwenge wa Uhuru Kitaifa 2024 Ndugu Godfley Mnzava kwa mara nyingine amezikumbusha zote za Serikali hapa nchini Pamoja na mashurika ya umma kutumia mfumo wa manunuzi wa Nest ili kudhibiti matumizi mabaya ya fedha za Umma na kuondoa manung’uniko miongoni mwa wazabuni wanaoomba tenda bza kazi Serikalini.

Kiongozi huyo wa mbipo za Mwenge wa Uhuru Kitaifa ametoa maelekezo hayo wakati wa mbio za mwenge wa Uhuru Wilayani Kilombero ambapo ameweka jiwe la msingi la Chiwa chiwa ambalo litawanufaisha wananchi wa vijiji zaidi ya vine.

Daraja hilo ambalo ujenzi wake uko zaidi ya asilimia 90, hadi kukamilika kwake litagharimu kiasi cha shilingi 1.3 Bil. Huku ujenzi wa Barabara inayopita Daraja hilo utagharimu kiasi cha shilingi milioni 600 hivyo kufanya jumla ya mradi wote kuwa shilingi Bil. 1.9.

Ukiwa Wilayani Kilombero Mwenge huo wa Uhuru utapitia mieadi 7 ya maendeleo yenye thamani ya shilingi Bil. 3.

Kesho Aprili 24,2024 Mwenge wa Uhuru utakimbizwa Wilaya ya Ulanga ambayo ni Wilaya ya tano kukimbizwa Mwenge huo wa Uhuru kwa Mkoa huo wa Morogoro.

MWISHO

Matangazo

  • MATOKEO YA DARASA LA SABA 2024 October 30, 2024
  • TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI. May 13, 2025
  • View All

Habari Mpya

  • RC MALIMA ASHIRIKI MATEMBEZI YA HISANI, ASEMA HOSPITALI YA RUFAA INAHIMILI WAGONJWA.

    May 17, 2025
  • VYAMA VYA SIASA NCHINI VYATAHADHARISHWA

    May 15, 2025
  • RC MALIMA ATAKA VYAMA VYA USHIRIKA VYA WAFUGAJI

    May 15, 2025
  • Vyama vya Ushirika Vyatakiwa Kutumia TEHAMA

    May 14, 2025
  • View All

Video

Mkuu wa Mkoa wa Morogoro Mhe. Adam Kighoma Malima akikagua ujenzi wa jengo la ofisi mpya ya Mkuu wa Mkoa.
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Maelezo ya Mkoa
  • Tangazo la Zabuni
  • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
  • Hotuba
  • Taarifa kwa Umma

Kurasa Mashuhuri

  • Tovuti ya Tanzania
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • TAMISEMI
  • Ikulu
  • Katibu Mkuu Kiongozi
  • Tovuti ya Ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Morogoro

    Sanduku la Posta: S.L.P 650 MOROGORO

    Simu: +2550232934305

    Simu: +255766828252

    Barua pepe: ras.morogoro@tamisemi.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki © 2024 Ofisi Ya Mkuu wa Mkoa Morogoro. Haki Zote Zimehifadhiwa.