• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
Mkoa wa Morogoro
Mkoa wa Morogoro

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Morogoro

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Maelezo ya Mkoa
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Sehemu na Vitengo
      • Utawala na Rasilimali
      • Serikali za Mitaa
      • Uhasibu na Fedha
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Sheria
      • TEHAMA
      • Afya
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Kitengo cha Habari na Mawasiliano Serikalini
  • Wilaya
    • Morogoro
    • Mvomero
    • Gairo
    • Kilosa
    • Kilombero
    • Ulanga
    • Malinyi
  • Halmashauri
    • Manispaa ya Morogoro
    • Morogoro DC
    • Mvomero
    • Gairo
    • Ulanga
    • Malinyi
    • Mlimba
    • Ifakara Mji
    • Kilosa
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uchimbaji wa Madini
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Kilimo
    • Huduma za Mifugo
    • Huduma za Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
    • Huduma za Ugavi
  • Machapisho
    • Miongozo Mbalimbali
    • Majarida
    • Fomu Mbalimbali
    • Ripoti mbalimbali
    • Mpango Mkakati
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Sheria Ndogo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Videos
    • Hotuba
    • Picha

DC MOROGOGORO AREJESHA HALI YA TAHARUKI SOKO LA CHIFU KINGALU.

Posted on: August 23rd, 2024

Mkuu Wilaya ya Morogoro Mussa Kilakala leo Agosti 23 amerejesha hali ya taharuki kwa wafanyabiashara wa soko Kuu la Manispaa ya Morogoro la Chifu Kingalu baada ya viongozi wa soko hilo kulifunga kwa muda.

Madai ya wafanyabiashara wa soko hilo hadi kulifunga soko hilo ni kuwataka wafanyabiashara ndogo wa bidhaa za sokoni kutofanya biashara zao nje ya soko hilo badala yake warudi ndani ya soko ili wateja nao waweze kuingia ndani ili kununua bidhaa zao.

Mkuu Wilaya  huyo akiongea na wafanyabiashara wa soko hilo sokoni hapo amewataka wafanyabiashara wote wanaofanya biashara zao nje ya soko hilo hususan wenye bidhaa zinazotakiwa kuuzwa ndani ya soko kuondoka barabarani mara moja na kuingia ndani ya soko hilo.

"..Mimi nikiwa na akili timamu siwezi kuruhusu watu kufanya biashara barabarani hilo halipo na halitatokea.." amesisitiza mussa Kilakala.

Aidha, amewataka mgambo wanaofanya kazi ya  uangalizi wa taratibu zilizowekwa na Manispaa katika maeneo hayo wafanye kazi hiyo bila kuwapiga wala kuwanyanyasa wafanyabiashara hao wadogo kama Serikali ya awamu ya sita inavyosisitiza.

Amesema, kamwe Serikali haiwezi kuwanyanyasa wafanyabiashara ndogo kwa kuwa wamepunguza ukubwa wa tatizo la vijana kukosa ajira kwa wao kujiajiri.

Lakini pia amesema ajira hiyo inaondosha vibaka mitaani, wizi na vijana kujiunga na makundi yasiyofaa, hivyo ataendelea kukaa na viongozi wa kundi hilo la wafanyabiashara na wamachinga na kuhakikisha wanatekeleza yale wanayoyaomba.

Kwa upande wake mwenyekiti wa Soko la Chifu Kingalu  Bw. Halid Mkunyegere ametoa ombi kwa Mkuu huyo wa Wilaya la kupeleka stendi ya mabasi madogo maarufu kama  daladala   katika eneo la soko hilo kwa lengo la kuongeza ufanyaji wa biashara katika soko hilo ambapo Mkuu huyo wa Wilaya amelipokea ombi hilo na atalifanyia kazi.


Soko la Chifu Kingalu baada ya Maelekezo ya Mkuu wa Wilaya huyo tayari limeshafunguliwa na wafanyabiashara wa soko hilo wanaendelea na biashara zao kama kawaida.

MWISHO.

Matangazo

  • MATOKEO YA DARASA LA SABA 2024 October 30, 2024
  • TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI. May 13, 2025
  • View All

Habari Mpya

  • MSEMAJI MKUU WA SERIKALI AWATAKA MAAFISA HABARI KUFANYA KAZI ZAO KIMKAKATI.

    May 26, 2025
  • MWAROBAINI WA CHANGAMOTO YA MAJI MOROGORO HII HAPA, RC MALIMA ATOA MAAGIZO.

    May 24, 2025
  • UZALISHAJI WA MAZIWA KUCHANGIA BIL. 18 KWA MWAKA MOROGORO

    May 23, 2025
  • MAAFISA HABARI TOENI UFAFANUZI DHIDI YA UPOTOSHAJI- MCHENGERWA

    May 23, 2025
  • View All

Video

Mkuu wa Mkoa wa Morogoro Mhe. Adam Kighoma Malima akikagua ujenzi wa jengo la ofisi mpya ya Mkuu wa Mkoa.
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Maelezo ya Mkoa
  • Tangazo la Zabuni
  • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
  • Hotuba
  • Taarifa kwa Umma

Kurasa Mashuhuri

  • Tovuti ya Tanzania
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • TAMISEMI
  • Ikulu
  • Katibu Mkuu Kiongozi
  • Tovuti ya Ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Morogoro

    Sanduku la Posta: S.L.P 650 MOROGORO

    Simu: +2550232934305

    Simu: +255766828252

    Barua pepe: ras.morogoro@tamisemi.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki © 2024 Ofisi Ya Mkuu wa Mkoa Morogoro. Haki Zote Zimehifadhiwa.