• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
Mkoa wa Morogoro
Mkoa wa Morogoro

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Morogoro

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Maelezo ya Mkoa
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Sehemu na Vitengo
      • Utawala na Rasilimali
      • Serikali za Mitaa
      • Uhasibu na Fedha
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Sheria
      • TEHAMA
      • Afya
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Kitengo cha Habari na Mawasiliano Serikalini
  • Wilaya
    • Morogoro
    • Mvomero
    • Gairo
    • Kilosa
    • Kilombero
    • Ulanga
    • Malinyi
  • Halmashauri
    • Manispaa ya Morogoro
    • Morogoro DC
    • Mvomero
    • Gairo
    • Ulanga
    • Malinyi
    • Mlimba
    • Ifakara Mji
    • Kilosa
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uchimbaji wa Madini
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Kilimo
    • Huduma za Mifugo
    • Huduma za Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
    • Huduma za Ugavi
  • Machapisho
    • Miongozo Mbalimbali
    • Majarida
    • Fomu Mbalimbali
    • Ripoti mbalimbali
    • Mpango Mkakati
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Sheria Ndogo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Videos
    • Hotuba
    • Picha

DKT. DOTTO BITEKO AIAGIZA TANESCO KUKARABATI MITAMBO YA KUFUA UMEME

Posted on: April 1st, 2024

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishari, Mhe. Dkt. Dotto Biteko ameliagiza Shirika la Umeme Tanzania - TANESCO Kukarabati vituo vya Kufua umeme ili kuondoa changamoto za kukatika kwa nishati hiyo mara kwa mara.

Naibu Waziri Dotto Biteko ametoa agizo hilo Aprili Mosi 2024 akiwa Kidatu Wilayani Kilombero Mkoani Morogoro alipofanya ziara ya dharura katika mitambo ya kufua umeme ya Kidatu kufuatia kufeli kwa Gridi ya Taifa.

Tatizo hilo limejitokeza jana usiku na kusababisha Mikoa mingi ya Tanzania Bara na Visiwani kukosa umeme na kusababisha adha kwa watanzania, hali iliyompelekea kiongozi huyo kuwaomba radhi watanzania kufuatia hitilafu hiyo.

“Nawaomba radhi sana wananchi na watanzania kwa ujumla kufuatia hitilafu hiyo kwenye mfumo wa Gridi” amesema Mhe. Dotto Biteko

Hata hivyo amewaagiza viongozi wa TANESCO kuhakikisha wanatafuta suluhu ya kudumu ya kufeli mara kwa mara  kwa mfumo wa Gridi hiyo ya Taifa kwa kufanya upembuzi wa kina ili kuboresha miundombinu kwenye Gridi hiyo.

Mkuu wa Wilaya ya Kilombero Mhe. Danstan Kyoba ambaye alimwakilisha Mkuu wa Mkoa huo Mhe. Adam Kighoma Malima katika ziara hiyo ya Naibu Waziri Mkuu, amewashukuru viongozi wa Wizara ya Nishati kwa kuchukua hatua ya mapema ya tatizo hilo na kuhakikisha wananchi wanapata umeme kwa wakati.

Kwa upande wake Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Umemem Tanzania – TANESCO Mhe. Gissima Nyambo – Hanga ametumia nafasi hiyo kuwaomba radhi watanzania kwa kukosekana kwa huduma ya umeme kufuatia hitilafu hiyo kwenye Gridi ya Taifa.

Aidha, amempongeza Naibu Waziri Mkuu Mhe. Dotto Bitteko kwa kulichukulia uzito tatizo  hilo na kuacha shughuli zake, kuungana na wataalamu wa TANESCO ili watanzania wapate umeme na akawahakikishia watanzania kuwa umeme umekwisha rejea kwa mikoa iliyokuwa imekosa nishati hiyo.

MWISHO

Matangazo

  • MATOKEO YA DARASA LA SABA 2024 October 30, 2024
  • TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI. May 13, 2025
  • View All

Habari Mpya

  • MSEMAJI MKUU WA SERIKALI AWATAKA MAAFISA HABARI KUFANYA KAZI ZAO KIMKAKATI.

    May 26, 2025
  • MWAROBAINI WA CHANGAMOTO YA MAJI MOROGORO HII HAPA, RC MALIMA ATOA MAAGIZO.

    May 24, 2025
  • UZALISHAJI WA MAZIWA KUCHANGIA BIL. 18 KWA MWAKA MOROGORO

    May 23, 2025
  • MAAFISA HABARI TOENI UFAFANUZI DHIDI YA UPOTOSHAJI- MCHENGERWA

    May 23, 2025
  • View All

Video

Mkuu wa Mkoa wa Morogoro Mhe. Adam Kighoma Malima akikagua ujenzi wa jengo la ofisi mpya ya Mkuu wa Mkoa.
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Maelezo ya Mkoa
  • Tangazo la Zabuni
  • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
  • Hotuba
  • Taarifa kwa Umma

Kurasa Mashuhuri

  • Tovuti ya Tanzania
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • TAMISEMI
  • Ikulu
  • Katibu Mkuu Kiongozi
  • Tovuti ya Ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Morogoro

    Sanduku la Posta: S.L.P 650 MOROGORO

    Simu: +2550232934305

    Simu: +255766828252

    Barua pepe: ras.morogoro@tamisemi.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki © 2024 Ofisi Ya Mkuu wa Mkoa Morogoro. Haki Zote Zimehifadhiwa.