• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
Mkoa wa Morogoro
Mkoa wa Morogoro

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Morogoro

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Maelezo ya Mkoa
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Sehemu na Vitengo
      • Utawala na Rasilimali
      • Serikali za Mitaa
      • Uhasibu na Fedha
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Sheria
      • TEHAMA
      • Afya
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Kitengo cha Habari na Mawasiliano Serikalini
  • Wilaya
    • Morogoro
    • Mvomero
    • Gairo
    • Kilosa
    • Kilombero
    • Ulanga
    • Malinyi
  • Halmashauri
    • Manispaa ya Morogoro
    • Morogoro DC
    • Mvomero
    • Gairo
    • Ulanga
    • Malinyi
    • Mlimba
    • Ifakara Mji
    • Kilosa
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uchimbaji wa Madini
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Kilimo
    • Huduma za Mifugo
    • Huduma za Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
    • Huduma za Ugavi
  • Machapisho
    • Miongozo Mbalimbali
    • Majarida
    • Fomu Mbalimbali
    • Ripoti mbalimbali
    • Mpango Mkakati
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Sheria Ndogo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Videos
    • Hotuba
    • Picha

GENERALI VENANCE MABEYO AMUAGA MKUU WA MKOA WA MOROGORO, AVITAKA VYOMBO VYA ULINZI KUSHIRIKIANA.

Posted on: June 9th, 2022

GENERALI VENANCE MABEYO AMUAGA MKUU WA MKOA WA MOROGORO, AVITAKA VYOMBO VYA ULINZI KUSHIRIKIANA.

Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi na Usalama hapa nchini Generali Venance Mabeyo amevitaka vyombo vya Ulinzi na Usalama kufanya kazi kwa kushirikiana zaidi ili kuliweka taifa hiki Katika hali ya amani na Usalama zaidi.


Generali Venace Mabeyo akizungumza na wakuu wa vyombo vya Ulinzi na Usalama wa Mkoa wa Morogoro wakati wa ziara yake ya kumuaga Mkuu wa Mkoa huo Martine Shigela Juni 8 Mwaka huu, hafla iliyofanyika katika ukumbi wa mikutano wa Ofisi ya Mkuu wa Mkoa huo.


Generali Venance Mabeyo amesema hayo Juni 8 mwaka huu alipofika Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Morogoro na kuzungumza na baadhi ya Wakuu wa Vyombo vya Ulinzi na Usalama Mkoani humo akiwa Katika ziara yake ya kuaga kutokana kukaribia kustaafu utumishi wa Umma ifikapo mwishoni mwa mwezi Juni mwaka huu.


Mkuu wa Mkoa wa Morogoro Martine Shigela akiwa katika picha ya pamoja na Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi na Usalama Generali Venance Mabeyo wakati wa ziara ya Mkuu huyo wa Majeshi ya kumuaga Mkuu wa Mkoa wa Morogoro Juni 8 Mwaka huu.


Aidha, Generali Mabeyo amemhakikishia Mkuu wa Mkoa wa Morogoro Martine Shigela kuwa pamoja na kustaafu huko yuko ataendelea kushirikiana na Serikali na kutoa ushauri kuhusu masuala ya Ulinzi na Usalama kulingana na uzoefu wake na atafanya mara atakapohitajika.




Wakuu wa Vyombo vya Ulinzi na Usalama wa Mkoa wa Morogoro wakisalimiana na Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi na Usalama Generali Venance Mabeyo alipowasili katika Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Morogoro Juni 8 Mwaka huu.


Sambamba na hayo, Generali Mabeyo ameshauri kuwa Sasa umefika wakati ambapo maeneo yote yanayomilikiwa na jeshi lolote ambayo bado hayana hati miliki yaanze kutafutiwa hati hizo ili kukomesha migogoro ya Ardhi inayojitokeza Mara kwa Mara baina ya majejeshi na wananchi wanaozunguka huku ikidhaniwa kuwa majeshi hayo ndiyo yanavamia maeneo Jambo ambalo sio sahihi.




Kwa upande wake Mkuu wa Mkoa wa Morogoro Martine Shigela amempongeza Generali mabeyo namna alipofanya kazi yake kwa weledi na kwamba tangu ashike wadhifa huo Hali ya Ulinzi na Usalama nchini umeimarika zaidi. Aidha amempongeza kwa namna alivyokuwa mbunifu na kuhakikisha Kesho Hilo linakuwa tegemeo kwa Serikali kwenye masuala ya ujenzi wa majengo kupitia SUMA JKT.


Mkuu wa Mkoa wa Morogoro Martine Shigela akizungumza na wakuu wa vyombo vya Ulinzi na Usalama wakati wa ziara ya Mkuu wa Majeshi hayo Generali Venance Mabeyo ya kumuaga Mkuu wa Mkoa huyo Juni 8 Mwaka huu.


Generali Venance Mabeyo ameendelea na ziara yake ya kuaga viongozi wengine katika maeneo mengine kabla ya kustaafu kwake utumishi wa umma ambapo kwa mujibu wa maelezo yake ametumikia taifa hili kwa zaidi ya miaka arobaini.




Mkuu wa Mkoa wa Morogoro Martine Shigela (katikati) akiwa katika picha ya pamoja na Generali Venance Mabeyo (wa sita kushoto), Kaimu Katibu Tawala wa Mkoa wa Morogoro Dkt Rozalia Rwegasira (wa tano kushoto) na wakuu wengine wa vyombo vya ulinzi na usalama.



MWISHO

Matangazo

  • MATOKEO YA DARASA LA SABA 2024 October 30, 2024
  • TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI. May 13, 2025
  • View All

Habari Mpya

  • MSEMAJI MKUU WA SERIKALI AWATAKA MAAFISA HABARI KUFANYA KAZI ZAO KIMKAKATI.

    May 26, 2025
  • MWAROBAINI WA CHANGAMOTO YA MAJI MOROGORO HII HAPA, RC MALIMA ATOA MAAGIZO.

    May 24, 2025
  • UZALISHAJI WA MAZIWA KUCHANGIA BIL. 18 KWA MWAKA MOROGORO

    May 23, 2025
  • MAAFISA HABARI TOENI UFAFANUZI DHIDI YA UPOTOSHAJI- MCHENGERWA

    May 23, 2025
  • View All

Video

Mkuu wa Mkoa wa Morogoro Mhe. Adam Kighoma Malima akikagua ujenzi wa jengo la ofisi mpya ya Mkuu wa Mkoa.
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Maelezo ya Mkoa
  • Tangazo la Zabuni
  • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
  • Hotuba
  • Taarifa kwa Umma

Kurasa Mashuhuri

  • Tovuti ya Tanzania
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • TAMISEMI
  • Ikulu
  • Katibu Mkuu Kiongozi
  • Tovuti ya Ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Morogoro

    Sanduku la Posta: S.L.P 650 MOROGORO

    Simu: +2550232934305

    Simu: +255766828252

    Barua pepe: ras.morogoro@tamisemi.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki © 2024 Ofisi Ya Mkuu wa Mkoa Morogoro. Haki Zote Zimehifadhiwa.