• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
Mkoa wa Morogoro
Mkoa wa Morogoro

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Morogoro

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Maelezo ya Mkoa
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Sehemu na Vitengo
      • Utawala na Rasilimali
      • Serikali za Mitaa
      • Uhasibu na Fedha
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Sheria
      • TEHAMA
      • Afya
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Kitengo cha Habari na Mawasiliano Serikalini
  • Wilaya
    • Morogoro
    • Mvomero
    • Gairo
    • Kilosa
    • Kilombero
    • Ulanga
    • Malinyi
  • Halmashauri
    • Manispaa ya Morogoro
    • Morogoro DC
    • Mvomero
    • Gairo
    • Ulanga
    • Malinyi
    • Mlimba
    • Ifakara Mji
    • Kilosa
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uchimbaji wa Madini
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Kilimo
    • Huduma za Mifugo
    • Huduma za Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
    • Huduma za Ugavi
  • Machapisho
    • Miongozo Mbalimbali
    • Majarida
    • Fomu Mbalimbali
    • Ripoti mbalimbali
    • Mpango Mkakati
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Sheria Ndogo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Videos
    • Hotuba
    • Picha

HABARI KATIKA PICHA

Posted on: November 11th, 2022

NI MAONESHO YA UTALII NA UWEKEZAJI YANAYOENDELEA KUFANYIKA KATIKA VIWANJA VYA MAONESHO VYA KIHESA KILOLO – IRINGA, 2022.

Maonesho hayo yenye kauli mbiu “Utalii na Uwekezaji Kusini Fahari Yetu” ni maonesho ya pili yenye hadhi ya kimataifa yenye lengo la kutangaza fursa za Utalii na Uwekezaji katika mikoa ya kusini mwa Tanzania hivyo kukuza sekta hiyo kama inavyotiliwa mkazo na Mhe. Samia Suluhu Hassan Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania hususan baada ya kuanzisha filimu yake ya Royal Tour.

Mkuu wa Wilaya ya Kilosa Alhaji Majid Mwanga akitembelea mabanda ya maonesho ya Halmashauri za Mkoa wa Morogoro.

Mikoa hiyo ni pamoja na Mkoa wa Njombe, Iringa, Mkoa wa Morogoro na Mbeya. Mingine ni Mkoa wa Katavi, Rukwa Songwe, Ruvuma, Lindi na Mkoa wa Mtwara.

Mkoa wa Morogoro ni miongoni mwa Mkoa ambao pia umeshiriki kikamilifu maonesho ya Utalii na Uwekezaji kwa mwaka huu 2022.

Saida Mahuga Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Ulanga.

Baadhi ya viongozi kutoka Morogoro akiwemo Mkuu wa Wilaya ya Kilosa Alhaji Majid Mwanga na Saida Mahuga Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Ulanga wametembelea mabanda ya maonesho ya halmashauri za Mkoa wa Morogoro na kujionea bidhaa na vivutio mbalimbali vinsavyooneshwa katika mabanda hayo.

Kivutio cha kiubunifu katika maonesho ya Utalii kanda ya Kusini.

MWISHO

Matangazo

  • MATOKEO YA DARASA LA SABA 2024 October 30, 2024
  • View All

Habari Mpya

  • RC MALIMA AKEMEA ULANGUZI WA MAZAO.

    May 08, 2025
  • WAAJIRI MOROGORO WATAKIWA KUTATUA CHANGAMOTO ZA WAFANYA KAZI WAO.

    May 01, 2025
  • SERIKALI KUJENGA BARABARA YA LUPILO – MALINYI KWA KIWANGO CHA LAMI, Bil. 18 ZATOLEWA KUJENGA MADARAJA MAWILI.

    April 25, 2025
  • MWENGE WA UHURU 2025 WATAJA TUNU NNE ZA TAIFA.

    April 19, 2025
  • View All

Video

Mkuu wa Mkoa wa Morogoro Mhe. Adam Kighoma Malima akikagua ujenzi wa jengo la ofisi mpya ya Mkuu wa Mkoa.
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Maelezo ya Mkoa
  • Tangazo la Zabuni
  • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
  • Hotuba
  • Taarifa kwa Umma

Kurasa Mashuhuri

  • Tovuti ya Tanzania
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • TAMISEMI
  • Ikulu
  • Katibu Mkuu Kiongozi
  • Tovuti ya Ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Morogoro

    Sanduku la Posta: S.L.P 650 MOROGORO

    Simu: +2550232934305

    Simu: +255766828252

    Barua pepe: ras.morogoro@tamisemi.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki © 2024 Ofisi Ya Mkuu wa Mkoa Morogoro. Haki Zote Zimehifadhiwa.