• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
Mkoa wa Morogoro
Mkoa wa Morogoro

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Morogoro

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Maelezo ya Mkoa
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Sehemu na Vitengo
      • Utawala na Rasilimali
      • Serikali za Mitaa
      • Uhasibu na Fedha
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Sheria
      • TEHAMA
      • Afya
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Kitengo cha Habari na Mawasiliano Serikalini
  • Wilaya
    • Morogoro
    • Mvomero
    • Gairo
    • Kilosa
    • Kilombero
    • Ulanga
    • Malinyi
  • Halmashauri
    • Manispaa ya Morogoro
    • Morogoro DC
    • Mvomero
    • Gairo
    • Ulanga
    • Malinyi
    • Mlimba
    • Ifakara Mji
    • Kilosa
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uchimbaji wa Madini
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Kilimo
    • Huduma za Mifugo
    • Huduma za Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
    • Huduma za Ugavi
  • Machapisho
    • Miongozo Mbalimbali
    • Majarida
    • Fomu Mbalimbali
    • Ripoti mbalimbali
    • Mpango Mkakati
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Sheria Ndogo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Videos
    • Hotuba
    • Picha

Halmashauri ni kitovu cha utekelezaji wa afua za lishe Bora.

Posted on: August 6th, 2022

Katika kikao cha kutathmini utekelezaji wa mkataba wa lishe kilichofanyika Agosti 5 2022, aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wakati huo Mhe. Fatma Mwassa amezisisitiza Halmashauri za Mkoa huo kuwa ndiyo kitovu cha utekelezaji wa afua za lishe kwa jamii.

Wakati akitoa hotuba yake ya ufunguzi wa kikao hicho Mhe. Fatma Mwassa amesema Halmashauri zinatakiwa kutoa mchango mkubwa kwa wananchi wa maeneo yao ikiwemo elimu kuhusu suala zima la lishe, fedha na ufuatiliaji wa jamii.

“...Halmashauri ndiyo kitovu cha utekelezaji wa afua za lishe katika Mkoa wa Morogoro...” alisema Mhe. Fatma Mwassa.

Aidha, katika kikao hicho ameelekeza halmashauri zote mkoa Morogoro  kutenga shilingi 1000 kutoka kwenye vyanzo vyao vya mapato ya ndani kwa ajili ya kuboresha lishe kwa watoto waliochini ya miaka mitano na kuzitumia fedha hizo kwa madhumuni ya kuboresha lishe kwa watoto wetu.

Sambamba na hilo Mkuu huyo wa Mkoa amewataka akinamama  kuwanyonyesha maziwa yao watoto wao kwa kipindi cha miezi sita bila kuwapa chakula kingine kwani maziwa hayo kwa mujibu wa wataalamu yanavirutubisho muhimu katika ukuaji na afya ya mtoto.

Kwa upande wake Afisa lishe Mkoa wa Morogoro Bi. Salome Magembe amesema Mkoa umejiwekea mikakati mbalimbali ya kuhakikisha kuwa changamoto ya udumavu na utapiamlo zinapungua kwa kufuatilia utekelezaji wa mikataba ya lishe na utoaji wa elimu ya lishe kwa jamii nzima.

Nae, Afisa lishe kutoka Halmashauri ya Wilaya ya Malinyi Bw. Samuel Mwita amesema ushirikiano baina ya viongozi wa dini na Serikali, wataalam wa afya, pamoja na wananchi ndiyo silaha pekee ya kuondoa kabisa ama kupunguza tatizo la lishe Mkoani humo.

MWISHO.

Matangazo

  • MATOKEO YA DARASA LA SABA 2024 October 30, 2024
  • View All

Habari Mpya

  • RC MALIMA AKEMEA ULANGUZI WA MAZAO.

    May 08, 2025
  • WAAJIRI MOROGORO WATAKIWA KUTATUA CHANGAMOTO ZA WAFANYA KAZI WAO.

    May 01, 2025
  • SERIKALI KUJENGA BARABARA YA LUPILO – MALINYI KWA KIWANGO CHA LAMI, Bil. 18 ZATOLEWA KUJENGA MADARAJA MAWILI.

    April 25, 2025
  • MWENGE WA UHURU 2025 WATAJA TUNU NNE ZA TAIFA.

    April 19, 2025
  • View All

Video

Mkuu wa Mkoa wa Morogoro Mhe. Adam Kighoma Malima akikagua ujenzi wa jengo la ofisi mpya ya Mkuu wa Mkoa.
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Maelezo ya Mkoa
  • Tangazo la Zabuni
  • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
  • Hotuba
  • Taarifa kwa Umma

Kurasa Mashuhuri

  • Tovuti ya Tanzania
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • TAMISEMI
  • Ikulu
  • Katibu Mkuu Kiongozi
  • Tovuti ya Ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Morogoro

    Sanduku la Posta: S.L.P 650 MOROGORO

    Simu: +2550232934305

    Simu: +255766828252

    Barua pepe: ras.morogoro@tamisemi.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki © 2024 Ofisi Ya Mkuu wa Mkoa Morogoro. Haki Zote Zimehifadhiwa.