• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
Mkoa wa Morogoro
Mkoa wa Morogoro

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Morogoro

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Maelezo ya Mkoa
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Sehemu na Vitengo
      • Utawala na Rasilimali
      • Serikali za Mitaa
      • Uhasibu na Fedha
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Sheria
      • TEHAMA
      • Afya
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Kitengo cha Habari na Mawasiliano Serikalini
  • Wilaya
    • Morogoro
    • Mvomero
    • Gairo
    • Kilosa
    • Kilombero
    • Ulanga
    • Malinyi
  • Halmashauri
    • Manispaa ya Morogoro
    • Morogoro DC
    • Mvomero
    • Gairo
    • Ulanga
    • Malinyi
    • Mlimba
    • Ifakara Mji
    • Kilosa
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uchimbaji wa Madini
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Kilimo
    • Huduma za Mifugo
    • Huduma za Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
    • Huduma za Ugavi
  • Machapisho
    • Miongozo Mbalimbali
    • Majarida
    • Fomu Mbalimbali
    • Ripoti mbalimbali
    • Mpango Mkakati
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Sheria Ndogo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Videos
    • Hotuba
    • Picha

Halmashauri ya Morogoro yatakiwa kuchangamkia mazao ya kimkakati.

Posted on: January 11th, 2024

Mkuu wa Mkoa wa Morogoro Mhe. Adam Kighoma Malima ameitaka Halmashauri ya Wilaya ya Morogoro kutekeleza azima ya mapinduzi ya kilimo kwa kulima mazao Matano ya kimkakati ya Mkoa huo ikiwemo zao la Kokoa ili kuongeza Uchumi wa Halmashauri hiyo.

Mhe. Malima ametoa agizo hilo Januari 10 mwaka huu wakati akikagua ghala la kuhifadhia mazao ya viungo kama karafuu lililopo Kata ya Tawa Halmashauri ya Wilaya ya Morogoro.

Mkuu huyo wa Mkoa amesema hayo baada ya Mkoa huo kukubaliana kulima mazao Matano ya kimkakati ambayo ni Michikichi, Kokoa, Karafuu, Parachichi na Kahawa kwa lengo la kufanya mapinduzi ya Kilimo Mkoani humo.

Kwa sababu hiyo ameitaka Halmashauri ya Wilaya ya Morogoro pamoja na kuanza kulima mazao ya Karafuu na Michikichi ameagiza kulitizama pia zao la Kakao kwa kuwa hali ya hewa ya Halmashauri hiyo inafanana kabisa na hali ya hewa ya Tuliani Wilayani Mvomero ambayo inastawisha zao la kakao kwa wingi Mkoani humo.

“...huko juu jambo lingine kubwa, naomba tujipange kwa zao jipya la kokoa pale sijaliona, tujipange kwa zao jipya la kahawa...” amesema Mkuu wa Mkoa.

Sambamba na maagizo hayo, Mhe. Adam Malima ametaka ghala la kuhifadhia mazao ya viungo la Tawa kulifanya  kuwa kituo cha Biashara badala ya kulifanya ghala hilo kuwa eneo la kuhifadhia mazao mbalimbali pekee.

Katika hatua nyingine wakati wa ziara hiyo alitembelea miradi ya maendeleo ambapo alitembelea ujenzi wa wa madarasa na mabweni ya wasichana ya shule ya Sekondari ya Matombo ambapo aliagiza mabweni hayo kujengewa uzio pamoja na kufanyia ukarabati madarasa chakavu  ndani ya shule hiyo.    


MWISHO.

Matangazo

  • MATOKEO YA DARASA LA SABA 2024 October 30, 2024
  • View All

Habari Mpya

  • RC MALIMA AKEMEA ULANGUZI WA MAZAO.

    May 08, 2025
  • WAAJIRI MOROGORO WATAKIWA KUTATUA CHANGAMOTO ZA WAFANYA KAZI WAO.

    May 01, 2025
  • SERIKALI KUJENGA BARABARA YA LUPILO – MALINYI KWA KIWANGO CHA LAMI, Bil. 18 ZATOLEWA KUJENGA MADARAJA MAWILI.

    April 25, 2025
  • MWENGE WA UHURU 2025 WATAJA TUNU NNE ZA TAIFA.

    April 19, 2025
  • View All

Video

Mkuu wa Mkoa wa Morogoro Mhe. Adam Kighoma Malima akikagua ujenzi wa jengo la ofisi mpya ya Mkuu wa Mkoa.
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Maelezo ya Mkoa
  • Tangazo la Zabuni
  • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
  • Hotuba
  • Taarifa kwa Umma

Kurasa Mashuhuri

  • Tovuti ya Tanzania
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • TAMISEMI
  • Ikulu
  • Katibu Mkuu Kiongozi
  • Tovuti ya Ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Morogoro

    Sanduku la Posta: S.L.P 650 MOROGORO

    Simu: +2550232934305

    Simu: +255766828252

    Barua pepe: ras.morogoro@tamisemi.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki © 2024 Ofisi Ya Mkuu wa Mkoa Morogoro. Haki Zote Zimehifadhiwa.