• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
Mkoa wa Morogoro
Mkoa wa Morogoro

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Morogoro

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Maelezo ya Mkoa
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Sehemu na Vitengo
      • Utawala na Rasilimali
      • Serikali za Mitaa
      • Uhasibu na Fedha
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Sheria
      • TEHAMA
      • Afya
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Kitengo cha Habari na Mawasiliano Serikalini
  • Wilaya
    • Morogoro
    • Mvomero
    • Gairo
    • Kilosa
    • Kilombero
    • Ulanga
    • Malinyi
  • Halmashauri
    • Manispaa ya Morogoro
    • Morogoro DC
    • Mvomero
    • Gairo
    • Ulanga
    • Malinyi
    • Mlimba
    • Ifakara Mji
    • Kilosa
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uchimbaji wa Madini
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Kilimo
    • Huduma za Mifugo
    • Huduma za Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
    • Huduma za Ugavi
  • Machapisho
    • Miongozo Mbalimbali
    • Majarida
    • Fomu Mbalimbali
    • Ripoti mbalimbali
    • Mpango Mkakati
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Sheria Ndogo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Videos
    • Hotuba
    • Picha

HALMASHAURI ZASHAURIWA KUTENGA BAJETI KUSHIRIKI SHIMISEMITA

Posted on: October 28th, 2022

Wadau wa sekta ya michezo Mkoani Morogoro wameshauri Halmashauri za Wilaya/Manipsaa na Majiji hapa nchini kutenga bajeti ili kushiriki vyema mashindano ya Shirikisho la Michezo kwa Serikali za Mitaa Tanzania (SHIMISEMITA) pia kutoa washiriki wa mashindano hayo.

Ushauri huo umetolewa Oktoba 28 mwaka huu na Bw. Omari Kibukila ambaye ni Katibu wa chama cha Riadha Mkoa wa Morogoro na Mwenyekiti wa Kamati ya Riadha ya mashindano yanayoendelea baada ya kufanya mahojiano nae katika uwanja wa Jamhuri Halmashauri ya Manispaa ya Morogoro.

Bw. Kibukila amesema kuna Halmashauri 185 hapa nchini, hata hivyo ni Halmashauri 144 tu ndizo zimeshiriki licha ya mashindano hayo kusimama kwa kipindi cha miaka nane sasa, ambapo mesema alitegemea kuona mwitikio mkubwa katika ushiriki wa Halmashauri hizo.

Aidha, amesema pamoja na Halmashauri hizo kushiriki bado hazijatoa washiriki waliotarajiwa na kushauri kuwa mashindano ya mwakani Halmashauri zijitahidi kutenga fedha kwa ajili ya mashindano ya SHIMISEMITA na kuongeza washiriki ili kuongeza ushindani wa mashindano hayo.

Kwa upande wake Kaimu Mwenyekiti wa Chama cha mpira wa Netiboli Mkoa wa Morogoro Bi. Beatrice Selemani, ameeleza kuwa mashindano hayo yamekuwa na hamasa kubwa licha ya Halmashauri zilizoshiriki kuwa chache, ushindani ulikuwa wa hali ya juu kwa kuwa kila Halmashauri ilitaka kufanya vizuri na kuibuka na ushindi.

Nae Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Mpira Mkoa wa Morogoro Bw. Angelus Likwembe amesema mashindano hayo yaliyozinduliwa Oktoba 26 mwaka huu, yatahitimishwa rasmi Oktoba 29 mwaka huu na mgeni rasmi anatarajiwa kuwa Mhe. Angellah Kairuki (MB) na Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais – TAMISEMI.

Jumla ya Halmashauri 144 kati ya 185, zimeshiriki mashindano hayo ya SHIMISEMITA ambayo yameshirikisha michezo lukuki ikiwemo Mpira wa miguu, netiboli, mpira wa wavu, riadha na michezo mingine mingi.

MWISHO.

Matangazo

  • MATOKEO YA DARASA LA SABA 2024 October 30, 2024
  • View All

Habari Mpya

  • RC MALIMA AKEMEA ULANGUZI WA MAZAO.

    May 08, 2025
  • WAAJIRI MOROGORO WATAKIWA KUTATUA CHANGAMOTO ZA WAFANYA KAZI WAO.

    May 01, 2025
  • SERIKALI KUJENGA BARABARA YA LUPILO – MALINYI KWA KIWANGO CHA LAMI, Bil. 18 ZATOLEWA KUJENGA MADARAJA MAWILI.

    April 25, 2025
  • MWENGE WA UHURU 2025 WATAJA TUNU NNE ZA TAIFA.

    April 19, 2025
  • View All

Video

Mkuu wa Mkoa wa Morogoro Mhe. Adam Kighoma Malima akikagua ujenzi wa jengo la ofisi mpya ya Mkuu wa Mkoa.
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Maelezo ya Mkoa
  • Tangazo la Zabuni
  • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
  • Hotuba
  • Taarifa kwa Umma

Kurasa Mashuhuri

  • Tovuti ya Tanzania
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • TAMISEMI
  • Ikulu
  • Katibu Mkuu Kiongozi
  • Tovuti ya Ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Morogoro

    Sanduku la Posta: S.L.P 650 MOROGORO

    Simu: +2550232934305

    Simu: +255766828252

    Barua pepe: ras.morogoro@tamisemi.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki © 2024 Ofisi Ya Mkuu wa Mkoa Morogoro. Haki Zote Zimehifadhiwa.