• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
Mkoa wa Morogoro
Mkoa wa Morogoro

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Morogoro

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Maelezo ya Mkoa
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Sehemu na Vitengo
      • Utawala na Rasilimali
      • Serikali za Mitaa
      • Uhasibu na Fedha
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Sheria
      • TEHAMA
      • Afya
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Kitengo cha Habari na Mawasiliano Serikalini
  • Wilaya
    • Morogoro
    • Mvomero
    • Gairo
    • Kilosa
    • Kilombero
    • Ulanga
    • Malinyi
  • Halmashauri
    • Manispaa ya Morogoro
    • Morogoro DC
    • Mvomero
    • Gairo
    • Ulanga
    • Malinyi
    • Mlimba
    • Ifakara Mji
    • Kilosa
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uchimbaji wa Madini
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Kilimo
    • Huduma za Mifugo
    • Huduma za Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
    • Huduma za Ugavi
  • Machapisho
    • Miongozo Mbalimbali
    • Majarida
    • Fomu Mbalimbali
    • Ripoti mbalimbali
    • Mpango Mkakati
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Sheria Ndogo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Videos
    • Hotuba
    • Picha

Jaji Mansuli awaasa wajumbe wa kamati ya maadili Morogoro.

Posted on: November 13th, 2024



Jaji Mfawidhi wa Mahakama ya Mkoa wa Morogoro, Jaji Ratifa Mansuli amewaasa wajumbe wa kamati ya maadili ya maafisa wa mahakama ya Mkoa huo kufuata miongozo waliopewa, kuzifahamu sheria, kanuni na taratibu za kutekeleza majukumu yao kwa manufaa ya wanamorogoro na Taifa kwa ujumla.

Jaji huyo ametoa ushauri huo wakati wa hafla fupi ya kuwaapisha wajumbe wa kamati ya maadili ya maafisa wa mahakama wa Mkoa huo iliyofanyika katika ukumbi wa mikutano wa Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Morogoro ikiwa na lengo la kusimamia maadili ya mahakimu za Mkoa huo.

“… kabla ya  leo tuliwaletea kanuni, z ipo kama mbili za kuonesha jinsi gani ya kuendesha kamati hizi. zile kanuni zimerahisisha kabisa…” amesema Jaji huyo.

Aidha, Jaji Mansuli amesema kamati hiyo yenye wajumbe 7 ikiongozwa na Mwenyekiti wake Mhe Adam Kighom Malima ambaye pia ni Mkuu wa Mkoa wa Morogoro imekamilika kisheria baada ya kuapishwa na inatakiwa kuanza majukumu yake mara moja.

Kwa upande wake, Mkuu wa Mkoa wa Morogoro Mhe. Adam Kighoma Malima akitoa neno la shukrani kwa niaba ya wajumbe wenzake amemshukuru Rais kwa uteuzi huo na kumfanya kuwa Mwenyekiti wa kamati hiyo ambayo ina kazi mahususi ya kulinda amani, ulinzi na usalama katika Mkoa huo.

Amesema, kamati hiyo ya kulinda maadili ndani ya Mkoa huo, itafanya kazi kwa weledi na ufanisi na inakwenda kutoa maamuzi yake bila chuki au kumuonea mtu yeyote ili kila mwananchi wa Morogoro apate haki yake ya msingi.

Mwisho.

Matangazo

  • MATOKEO YA DARASA LA SABA 2024 October 30, 2024
  • View All

Habari Mpya

  • RC MALIMA AKEMEA ULANGUZI WA MAZAO.

    May 08, 2025
  • WAAJIRI MOROGORO WATAKIWA KUTATUA CHANGAMOTO ZA WAFANYA KAZI WAO.

    May 01, 2025
  • SERIKALI KUJENGA BARABARA YA LUPILO – MALINYI KWA KIWANGO CHA LAMI, Bil. 18 ZATOLEWA KUJENGA MADARAJA MAWILI.

    April 25, 2025
  • MWENGE WA UHURU 2025 WATAJA TUNU NNE ZA TAIFA.

    April 19, 2025
  • View All

Video

Mkuu wa Mkoa wa Morogoro Mhe. Adam Kighoma Malima akikagua ujenzi wa jengo la ofisi mpya ya Mkuu wa Mkoa.
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Maelezo ya Mkoa
  • Tangazo la Zabuni
  • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
  • Hotuba
  • Taarifa kwa Umma

Kurasa Mashuhuri

  • Tovuti ya Tanzania
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • TAMISEMI
  • Ikulu
  • Katibu Mkuu Kiongozi
  • Tovuti ya Ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Morogoro

    Sanduku la Posta: S.L.P 650 MOROGORO

    Simu: +2550232934305

    Simu: +255766828252

    Barua pepe: ras.morogoro@tamisemi.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki © 2024 Ofisi Ya Mkuu wa Mkoa Morogoro. Haki Zote Zimehifadhiwa.