• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
Mkoa wa Morogoro
Mkoa wa Morogoro

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Morogoro

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Maelezo ya Mkoa
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Sehemu na Vitengo
      • Utawala na Rasilimali
      • Serikali za Mitaa
      • Uhasibu na Fedha
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Sheria
      • TEHAMA
      • Afya
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Kitengo cha Habari na Mawasiliano Serikalini
  • Wilaya
    • Morogoro
    • Mvomero
    • Gairo
    • Kilosa
    • Kilombero
    • Ulanga
    • Malinyi
  • Halmashauri
    • Manispaa ya Morogoro
    • Morogoro DC
    • Mvomero
    • Gairo
    • Ulanga
    • Malinyi
    • Mlimba
    • Ifakara Mji
    • Kilosa
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uchimbaji wa Madini
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Kilimo
    • Huduma za Mifugo
    • Huduma za Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
    • Huduma za Ugavi
  • Machapisho
    • Miongozo Mbalimbali
    • Majarida
    • Fomu Mbalimbali
    • Ripoti mbalimbali
    • Mpango Mkakati
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Sheria Ndogo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Videos
    • Hotuba
    • Picha

Jamhuri ya Czech Kuwekeza usafiri wa anga Morogoro

Posted on: August 15th, 2023

Jamhuri ya Czechslovakia imepanga kuwekeza katika teknolojia mbalimbali hapa nchini hususan Mkoani Morogoro mbapo wanatarajia kuwekeza katika usafiri wa anga kupitia ndege zinazobeba abilia kuanzia wanne.

Hayo yamebainishwa Agosti 15, mwaka huu na Balozi wa Heshima kutoka Jamhuri ya Czech nchini Tanzania Bw. Roman Groling wakati wa mazungumzo na Mkuu wa Mkoa wa Morogoro Mhe. Adam Malima ofisini kwake.

Bw. Roman Groling akisaini kitabu cha wageni baada ya kuwasili katika ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Morogoro.

Bw. Groling amesema nchi ya Czech kupitia Balozi wa nchi hiyo italeta teknolojia ya utengenezaji wa ndege ndogo zinazobeba abilia kuanzia wawili hadi wanne, amesema teknolojia hiyo itazinduliwa Mkoani Morogoro.

Aidha, Bw. Groling ameongeza kuwa teknolojia hiyo itahusisha utengenezaji wa ndege zisizo na rubani (drones), pamoja na uwekezaji wa usafiri wa maroli ya kisasa.

Mkuu wa Mkoa wa Morogoro Mhe Adam Malima akipokea zawadi kutoka kwa Bw. Roman Groling.

Kwa upande wake Mkuu wa Mkoa wa Morogoro Mhe. Adam Malima amemshukuru Rais Samia kuweka mazingira mazuri ya uwekezaji ambapo ujio wa wawekezaji hapa nchini ni jitihada za Rais Samia.

Ameongeza kuwa uwekezaji huo ni fursa kwa Mkoa wa Morogoro, hivyo amewataka watanzania kuendelea kudumisha amani na utulivu ili kuwavutia wawekezaji wengi na kufanya uchumi wa nchi kukua.

Mkuu wa Mkoa wa Morogoro Mhe Adam Malima akiwa kwenye picha ya pamoja na Balozi wa Heshima Bw. Roman Groling baada ya mazungumzo Yao.

MWISHO.

Matangazo

  • MATOKEO YA DARASA LA SABA 2024 October 30, 2024
  • View All

Habari Mpya

  • RC MALIMA AKEMEA ULANGUZI WA MAZAO.

    May 08, 2025
  • WAAJIRI MOROGORO WATAKIWA KUTATUA CHANGAMOTO ZA WAFANYA KAZI WAO.

    May 01, 2025
  • SERIKALI KUJENGA BARABARA YA LUPILO – MALINYI KWA KIWANGO CHA LAMI, Bil. 18 ZATOLEWA KUJENGA MADARAJA MAWILI.

    April 25, 2025
  • MWENGE WA UHURU 2025 WATAJA TUNU NNE ZA TAIFA.

    April 19, 2025
  • View All

Video

Mkuu wa Mkoa wa Morogoro Mhe. Adam Kighoma Malima akikagua ujenzi wa jengo la ofisi mpya ya Mkuu wa Mkoa.
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Maelezo ya Mkoa
  • Tangazo la Zabuni
  • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
  • Hotuba
  • Taarifa kwa Umma

Kurasa Mashuhuri

  • Tovuti ya Tanzania
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • TAMISEMI
  • Ikulu
  • Katibu Mkuu Kiongozi
  • Tovuti ya Ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Morogoro

    Sanduku la Posta: S.L.P 650 MOROGORO

    Simu: +2550232934305

    Simu: +255766828252

    Barua pepe: ras.morogoro@tamisemi.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki © 2024 Ofisi Ya Mkuu wa Mkoa Morogoro. Haki Zote Zimehifadhiwa.