• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
Mkoa wa Morogoro
Mkoa wa Morogoro

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Morogoro

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Maelezo ya Mkoa
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Sehemu na Vitengo
      • Utawala na Rasilimali
      • Serikali za Mitaa
      • Uhasibu na Fedha
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Sheria
      • TEHAMA
      • Afya
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Kitengo cha Habari na Mawasiliano Serikalini
  • Wilaya
    • Morogoro
    • Mvomero
    • Gairo
    • Kilosa
    • Kilombero
    • Ulanga
    • Malinyi
  • Halmashauri
    • Manispaa ya Morogoro
    • Morogoro DC
    • Mvomero
    • Gairo
    • Ulanga
    • Malinyi
    • Mlimba
    • Ifakara Mji
    • Kilosa
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uchimbaji wa Madini
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Kilimo
    • Huduma za Mifugo
    • Huduma za Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
    • Huduma za Ugavi
  • Machapisho
    • Miongozo Mbalimbali
    • Majarida
    • Fomu Mbalimbali
    • Ripoti mbalimbali
    • Mpango Mkakati
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Sheria Ndogo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Videos
    • Hotuba
    • Picha

Kadinali Pengo amtembelea RC Morogoro.

Posted on: August 9th, 2023

Askofu Mkuu Mstaafu wa Jimbo Kuu la Dar es Salaam Kadinali Polycarp Pengo amemtembelea Mkuu wa Mkoa wa Morogoro Mhe. Adam Malima na kuzungumza mambo kadha wa kadha yanayohusu maendeleo ya nchi na watanzania kwa ujumla.

Askofu Mkuu Mstaafu Jimbo Kuu la Dar es salaam Kadinali Polycarp Pengo wakati akizungumza na Mkuu wa Mkoa wa Morogoro Mhe Adam Malima.

Mapema leo Agosti 9 mwaka huu, Mhasham Kadinali Polycarp Pengo aliwasili katika Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Morogoro na kufanya mazungumzo na mwenyeji wake yalihusu ustawi wa jamii ya Morogoro na taifa la Tanzania.

Katika mazungumzo yao Mhasham Kadinali Pengo amesisitiza kutoruhusu dhana ya udini hapa nchini kwamba dhana hiyo inaweza kuiingiza nchi katika machafuko na kurudisha nyuma uchumi wa nchi na wa jamii. 

Akigusia suala la uwekezaji wa bandari amesema suala hilo halihusiani kabisa na hoja ya Udini isipokuwa ni suala linalohusu maendeleo ya watanzania na taifa kwa ujumla.

“...nakumbuka mara ya mwisho niliongelea suala la Bandari nakuja kusikia wewe ni kwasababu ya udini...lakini basi mtu kama wewe utaelewa kwamba hii concern ilikuwa ni kwa ajili ya watanzania...“ amesema Kadinali Pengo.

Kwa upande wake Mkuu wa Mkoa wa Morogoro Mhe. Adam Malima amesema viongozi wa dini hapa nchini wana nafasi kubwa ya kusaidia kutatua migogorondani ya jamii na kwamba kwa Mkoa wa Morogoro wanasaidia kutatua migogoro ya wakulima na wafugaji, hivyo amewashukuru viongozi hao na kuwataka waendelee kushirikiana na Serikali yao  katika kuijenga jamii.

Aidha, Mkuu wa Mkoa amewapongeza viongozi wa dini kwa kuwa wavumilivu, wastahimilivu, wawazi na wenye busara katika kutatua changamoto zinazojitokeza katika maeneo yao.

Mkuu wa Mkoa wa Morogoro Mhe Adam Malima wakati akizungumza na Mhasham Kadinali Pengo.

Sambamba na hayo Mhe. Malima amewaomba viongozi hao kuendelea kuliombea Taifa na kumuombea Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan ambaye kimsingi anafanya kazi nyingi za kimaendeleo na zote ni kwa ajili ya watanzania na Taifa hili.

Mkuu wa Wilaya ya Kilombero Mhe. Danstan Kyobya (kulia) akiwa pamoja na wasaidizi wa Mhasham Askofu Kadinali Pengo.

MWISHO.

Matangazo

  • MATOKEO YA DARASA LA SABA 2024 October 30, 2024
  • View All

Habari Mpya

  • RC MALIMA AKEMEA ULANGUZI WA MAZAO.

    May 08, 2025
  • WAAJIRI MOROGORO WATAKIWA KUTATUA CHANGAMOTO ZA WAFANYA KAZI WAO.

    May 01, 2025
  • SERIKALI KUJENGA BARABARA YA LUPILO – MALINYI KWA KIWANGO CHA LAMI, Bil. 18 ZATOLEWA KUJENGA MADARAJA MAWILI.

    April 25, 2025
  • MWENGE WA UHURU 2025 WATAJA TUNU NNE ZA TAIFA.

    April 19, 2025
  • View All

Video

Mkuu wa Mkoa wa Morogoro Mhe. Adam Kighoma Malima akikagua ujenzi wa jengo la ofisi mpya ya Mkuu wa Mkoa.
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Maelezo ya Mkoa
  • Tangazo la Zabuni
  • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
  • Hotuba
  • Taarifa kwa Umma

Kurasa Mashuhuri

  • Tovuti ya Tanzania
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • TAMISEMI
  • Ikulu
  • Katibu Mkuu Kiongozi
  • Tovuti ya Ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Morogoro

    Sanduku la Posta: S.L.P 650 MOROGORO

    Simu: +2550232934305

    Simu: +255766828252

    Barua pepe: ras.morogoro@tamisemi.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki © 2024 Ofisi Ya Mkuu wa Mkoa Morogoro. Haki Zote Zimehifadhiwa.