• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
Mkoa wa Morogoro
Mkoa wa Morogoro

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Morogoro

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Maelezo ya Mkoa
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Sehemu na Vitengo
      • Utawala na Rasilimali
      • Serikali za Mitaa
      • Uhasibu na Fedha
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Sheria
      • TEHAMA
      • Afya
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Kitengo cha Habari na Mawasiliano Serikalini
  • Wilaya
    • Morogoro
    • Mvomero
    • Gairo
    • Kilosa
    • Kilombero
    • Ulanga
    • Malinyi
  • Halmashauri
    • Manispaa ya Morogoro
    • Morogoro DC
    • Mvomero
    • Gairo
    • Ulanga
    • Malinyi
    • Mlimba
    • Ifakara Mji
    • Kilosa
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uchimbaji wa Madini
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Kilimo
    • Huduma za Mifugo
    • Huduma za Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
    • Huduma za Ugavi
  • Machapisho
    • Miongozo Mbalimbali
    • Majarida
    • Fomu Mbalimbali
    • Ripoti mbalimbali
    • Mpango Mkakati
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Sheria Ndogo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Videos
    • Hotuba
    • Picha

KAMATI YA TAMISEMI YAITAKA TARURA KUHARAKISHA UJENZI WA BARABARA YA KIWANGO CHA LAMI

Posted on: June 24th, 2023


Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge  Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mhe. Dennis Lazaro Londo ameutaka uongozi wa Wakala ya Barabara za Vijijini na Mijini (TARURA) kuharakisha ujenzi wa miundombinu ya barabara kwa maslahi mapana ya wananchi na kukuza uchumi wa Taifa.

Mhe. Londo amesema hayo Juni 24, 2023 akiwa ameambatana na wajumbe wa kamati hiyo wakati wa ziara ya kukagua  miradi ya miundombinu ikiwemo ya ujenzi wa barabara zinazotekelezwa katika Halmashauri za Manispaa ya Morogoro na  Morogoro vijijini Mkoani humo.

Amesema, ujenzi wa barabara ya Ngerengere - Mkulazi hadi Kidunda  yenye urefu wa kilometa 70.54 inayounganisha  vijiji vya kata za matuli, mkulazi-  na ngerengere imeondoa changamoto ya kukosa mawasiliano kwa wakazi wanaoishi katika maeneo hayo.

"... tuharakishe miundombinu ikiwemo Barabara hii ambayo ni uthibitisho wa Serikali  kuwaunganisha wananchi wetu kimawasilino ya shughuli za kiuchumi na kijamii zikiwemo shughuli za mashambani kwenda sokoni kwa ajili ya kupeleka mzao yao" amesema Mhe. Londo

Aidha, amepongeza maamuzi ya TARURA ya kujenga barabara katika maeneo yenye uhitaji mkubwa ili kuwakwamua wananchi kiuchumi hasa  wananchi wa Mkoa wa Morogoro, Pwani na Dar es Salaam.

Sambamba na maagizo hayo amempongeza Mhe. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu  Hassan kwa kuiongezea Bajeti TARURA kwani kwa mwaka wa fedha 2023/2024 Bajeti ya TARURA imeongezeka kwa Shilingi Bil.350

Kwa upande wake Naibu Katibu Mkuu Ofisi ya Rais TAMISEMI (Miundombinu) Mhandisi Rogatus Mativila ameishukuru Kamati hiyo na kuahidi kuendelea kuisimamia TARURA pamoja na kuyafanyia kazi maelekezo ya kamati na ushauri walioutoa kwa maslahi mapana ya wananchi.

Kwa upande wake, Mkuu wa  Wilaya ya Morogoro Mhe. Rebecca Nsemwa kwa niaba ya  Mkuu wa Mkoa wa Morogoro Mhe. Adam Kighoma Malima ameishukuru kamati hiyo kufanya ziara Wilayani humo na kwa niaba ya watendaji wa Serikali Wilayani humo amesema ameyapokea maelekezo ya Kamati hiyo na watayatekeleza.

Kamati hiyo imehitimisha ziara yake Mkoani Morogoro ambapo miradi mbalimbali imekaguliwa ukiwemo ujenzi wa Daraja la Berega la Wilayani Kilosa lenye urefu wa mita 140.

MWISHO

Matangazo

  • MATOKEO YA DARASA LA SABA 2024 October 30, 2024
  • View All

Habari Mpya

  • RC MALIMA AKEMEA ULANGUZI WA MAZAO.

    May 08, 2025
  • WAAJIRI MOROGORO WATAKIWA KUTATUA CHANGAMOTO ZA WAFANYA KAZI WAO.

    May 01, 2025
  • SERIKALI KUJENGA BARABARA YA LUPILO – MALINYI KWA KIWANGO CHA LAMI, Bil. 18 ZATOLEWA KUJENGA MADARAJA MAWILI.

    April 25, 2025
  • MWENGE WA UHURU 2025 WATAJA TUNU NNE ZA TAIFA.

    April 19, 2025
  • View All

Video

Mkuu wa Mkoa wa Morogoro Mhe. Adam Kighoma Malima akikagua ujenzi wa jengo la ofisi mpya ya Mkuu wa Mkoa.
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Maelezo ya Mkoa
  • Tangazo la Zabuni
  • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
  • Hotuba
  • Taarifa kwa Umma

Kurasa Mashuhuri

  • Tovuti ya Tanzania
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • TAMISEMI
  • Ikulu
  • Katibu Mkuu Kiongozi
  • Tovuti ya Ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Morogoro

    Sanduku la Posta: S.L.P 650 MOROGORO

    Simu: +2550232934305

    Simu: +255766828252

    Barua pepe: ras.morogoro@tamisemi.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki © 2024 Ofisi Ya Mkuu wa Mkoa Morogoro. Haki Zote Zimehifadhiwa.