• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
Mkoa wa Morogoro
Mkoa wa Morogoro

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Morogoro

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Maelezo ya Mkoa
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Sehemu na Vitengo
      • Utawala na Rasilimali
      • Serikali za Mitaa
      • Uhasibu na Fedha
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Sheria
      • TEHAMA
      • Afya
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Kitengo cha Habari na Mawasiliano Serikalini
  • Wilaya
    • Morogoro
    • Mvomero
    • Gairo
    • Kilosa
    • Kilombero
    • Ulanga
    • Malinyi
  • Halmashauri
    • Manispaa ya Morogoro
    • Morogoro DC
    • Mvomero
    • Gairo
    • Ulanga
    • Malinyi
    • Mlimba
    • Ifakara Mji
    • Kilosa
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uchimbaji wa Madini
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Kilimo
    • Huduma za Mifugo
    • Huduma za Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
    • Huduma za Ugavi
  • Machapisho
    • Miongozo Mbalimbali
    • Majarida
    • Fomu Mbalimbali
    • Ripoti mbalimbali
    • Mpango Mkakati
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Sheria Ndogo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Videos
    • Hotuba
    • Picha

Katibu Mkuu OR - TAMISEMI atembelea ujenzi Ofisi ya RC Morogoro

Posted on: October 11th, 2022

Katibu Mkuu OR - TAMISEMI atembelea ujenzi  Ofisi ya RC Morogoro 

Katibu Mkuu Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa - TAMISEMI Prof. Riziki Shemdoe ametembelea ujenzi wa jengo la Ofisi mpya ya Mkuu wa MKoa wa Morogoro na kupongeza kazi inayoendelea huku akimuagiza Mkandarasi wa kazi hiyo kuongeza kasi ili kukamilisha Ujenzi huo kwa wakati.

 


Mhandisi  anayesimamia ujenzi wa Jengo jipya la Ofisi ya Mkuu wa Mkoa (Mhandisi Queen Sanga).


Prof. Shemdoe ametoa maagizo hayo Oktoba 8 Mwaka huu baada ya kutembelea eneo la ujenzi ambalo lipo pembeni kidogo mwa Ofisi ya sasa ya Mkuu wa Mkoa huo kwa lengo la kuona hatua Ujenzi iliyofikiwa baada ya Serikali kutoa fedha zaidi ya shilingi Bil.6 kujenga Ofisi hiyo.

Akiwa katika eneo la Mradi, Katibu Mkuu Prof. Shemdoe alipongeza juhudi zinazoendelea za ujenzi huo hata hivyo alimtaka Mkandarasi wa Jengo hilo lenye Ghorofa Moja kuongeza kasi na kukamilisha kazi hiyo kama Mkataba unavyoonesha.

“Nimefika kutembelea na kuona maendeleo ya kazi za Ujenzi wa jengo la Ofisi ya Mkuu wa MKoa, kazi imeanza vizuri, ongezeni juhudi ili tuwe sawa na Mpango” ameagiza Katibu Mkuu.


Mojawapo ya majengo ya sasa yanayotumika katika Ofisi ya Mkuu wa Mkoa.

Prof. Shemdoe ni muumini wa kusimamia kwa vitendo fedha zote za Serikali zinazopita katika Ofisi yake, Lengo ni kutaka miradi inayotekelezwa iwe na ubora unaofanana na fedha zilizotolewa na serikali (Value for Money) ya awamu ya sita inayoongozwa na Mhe. Samia Suluhu Hassan.  

Muonekano wa Jengo jipya la Ofisi ya Mkuu wa Mkoa litakapokamilika.

Kwa upande wake Mhandasi Queen Sanga anayesimamia Ujenzi huo kwa niaba ya Kampuni ya MCB Ltd kutoka Mbeya amesema kwa mujibu wa Mkataba wa ujenzi huo wako nyuma kidogo kutokana na sababu za kiufundi, hata hiyvo amesema wana mpango kabambe wa kufanya kazi ya ujenzi usiku na mchana ili kufidia gape lililopo hivyo kuwa sawa na Mkataba unavyoeleza.

Katibu Mkuu, OR- TAMISEMI Prof. Riziki  Shemdoe (kulia) akitoa maelekezo ya kiutendaji kwa Katibu Tawala  Msaidizi Miundombinu Mhandisi Ezron Kilamhama.

Naye Msimamizi wa Ujenzi huo Mhandisi Ezron Kilamhama ambaye Pia ni Katibu Tawala Msaidizi Sehemu ya Miundombinu Mkoa wa Morogoro amesema, ujio wa Katibu Mkuu OR - TAMISEMI kufika eneo la mradi, kupongeza na kutoa maelekezo ya namna ya kuleta ufanisi wa ujenzi huo kumempa nguvu zaidi ya kusimamia mradi huo.

Katibu Mkuu OR- TAMISEMI  Prof. Riziki Shemdoe akisaini kitabu Cha wageni alipotembelea site hiyo.


Ujenzi wa jengo la Ofisi Mpya ya Mkuu wa Mkoa wa Morogoro kwa mujibu wa Mkataba ni wa kipindi cha miaka miwili (2) kuanzia 27 May 2022 hadi 26 May 2024 na utakagharimu shilingi za kitanzania 6,597,777,757,.90

Ujenzi wa Ofisi mpya ya Mkuu wa Mkoa wa Morogoro ukiendelea.

 

MWISHO 

Matangazo

  • MATOKEO YA DARASA LA SABA 2024 October 30, 2024
  • View All

Habari Mpya

  • RC MALIMA AKEMEA ULANGUZI WA MAZAO.

    May 08, 2025
  • WAAJIRI MOROGORO WATAKIWA KUTATUA CHANGAMOTO ZA WAFANYA KAZI WAO.

    May 01, 2025
  • SERIKALI KUJENGA BARABARA YA LUPILO – MALINYI KWA KIWANGO CHA LAMI, Bil. 18 ZATOLEWA KUJENGA MADARAJA MAWILI.

    April 25, 2025
  • MWENGE WA UHURU 2025 WATAJA TUNU NNE ZA TAIFA.

    April 19, 2025
  • View All

Video

Mkuu wa Mkoa wa Morogoro Mhe. Adam Kighoma Malima akikagua ujenzi wa jengo la ofisi mpya ya Mkuu wa Mkoa.
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Maelezo ya Mkoa
  • Tangazo la Zabuni
  • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
  • Hotuba
  • Taarifa kwa Umma

Kurasa Mashuhuri

  • Tovuti ya Tanzania
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • TAMISEMI
  • Ikulu
  • Katibu Mkuu Kiongozi
  • Tovuti ya Ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Morogoro

    Sanduku la Posta: S.L.P 650 MOROGORO

    Simu: +2550232934305

    Simu: +255766828252

    Barua pepe: ras.morogoro@tamisemi.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki © 2024 Ofisi Ya Mkuu wa Mkoa Morogoro. Haki Zote Zimehifadhiwa.